Hadithi ya Carol Utambulisho - Raising Voices

Hadithi ya Carol Utambulisho - Raising Voices Hadithi ya Carol Utambulisho - Raising Voices

raisingvoices.org
from raisingvoices.org More from this publisher

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong><strong>Utambulisho</strong>A1


<strong>Utambulisho</strong>Jina langu ni <strong>Carol</strong>, na nina umri wa miaka 16. Ninaishi maeneo <strong>ya</strong> kijijini ambako umeme hautabirikimacho makubwa <strong>ya</strong> kupendeza, na midomo iliyojaa, lakini niliugua ugonjwa wa polio nilipokuwa nawatoto wengine wakicheza na kukimbia huku na huko, mimi nilitambaa na kuachwa nyuma. Baadhimiguu <strong>ya</strong>ngu chini. Sikuweza kufurahia utoto kama inavyotakiwa, badala <strong>ya</strong>ke nilitumia masaa mengikufuma, ufundi stadi na kujifundisha mwenyewe kusoma.Nilijaribu kusoma shuleni pamoja na ndugu zangu lakini ilikuwa mbali sana kiasi kwamba karibu hatajambo lililonifan<strong>ya</strong> nisiendelee na elimu <strong>ya</strong>ngu baada <strong>ya</strong> shule <strong>ya</strong> msingi.Watu wanaponitazama, wanachokiona sana sana ni ulemavu wangu tu, lakini na mimi nina ndotonajitahidi tu kupata manufaa <strong>ya</strong> siku…<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B1


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Ukatili Watokea 1A2


Ukatili Watokea 1kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kila siku. Unapenda kukaa kwenye baraza la mbele <strong>ya</strong> nyumba kupataunashtuka kumuona aliyepo mlangoni, ni kijana mwenye tabia mba<strong>ya</strong> unamfahamu anakaa maeneo<strong>ya</strong> jirani anaingia ndani, anakukan<strong>ya</strong>ga kwa mguu, anabamiza mlango na kuufunga kwa komeo nyuma<strong>ya</strong>ke. Kabla hujajua kinachoendelea, anakunyenyua na kukubeba akikupeleka kwenye moja <strong>ya</strong> vyumbaUnajaribu kupiga kelele lakini anakuziba mdomo kwa kukubana kwa mikono <strong>ya</strong>ke. Amekubana chini kiasikwamba hata mikono <strong>ya</strong>ko yenye nguvu sana haiwezi kumsukuma. Anafungua suruali <strong>ya</strong>ke, anakuvuawa kitendo hiki unaonekana kama kitambo kirefu sana. Anakukaba shingo na kukuon<strong>ya</strong> usimwambieni kama dakika moja tu imepita unahisi ni kitu cha maishani. Unasikia mlango umebamizwa tena naunaanza kulia kim<strong>ya</strong>kim<strong>ya</strong> bila kujizuia. Kamwe hutabaki kama awali.Unapogundua kwamba una mimba miezi michache baadaye, hujui ujielezee jinsi gani kwa wazaziwako. Mama <strong>ya</strong>ko ameshtushwa na amekasirika na baba <strong>ya</strong>ko anakuita wewe kahaba, anasemawewe na mtoto wako mtarajiwa na hivyo wanakwambia ni lazima uhame nyumbani haraka kadriinavyowezekana.Ikiwa unaamua kwenda kukaa na dada <strong>ya</strong>ko mkubwa aliyeko mjini, nenda kwenye Familia nauchukue kadi namba 1.Ikiwa unawaomba wazazi wako wakuruhusu ukae nyumbani mpaka mtoto azaliwe, nenda kwenyeKurudi Nyumbani na uchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B2


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Fursa 1A5


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Ukatili Watokea 2A6


Ukatili Watokea 2“Nini? Hapana, haiwezekani lazima kuna kosa hapa. Watu kama wewe hawawezi kushika mimba,”utafurahia. Tungeweza kuishi maisha mazuri pamoja…” tabasamu lako linapotea.“Umerukwa na nini <strong>Carol</strong>?” anauliza. “Siwezi kamwe kukuoa wewe! Wala hakuna hata mtuanayepaswa kujua kuhusu uhusiano wetu!” Ibrahim anasukumiza mbali chakula chake na kusimama.uhusiano wetu, naapa, nitakataa kila kitu.” Anatoka nje haraka bila kusema neno jingine. UnahisiHumwambii mtu yeyote kuhusu mimba <strong>ya</strong>ko lakini tumbo linapoanza kutuna, dada <strong>ya</strong>ko anataka<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B6


Huduma za Matibabu 1Unajaribu kumpigia simu Ibrahim tena na tena. Hapokei simu tena na unapokwenda mjini karibuatarudi.Maumivu <strong>ya</strong> uchungu <strong>ya</strong>lipoanza ambayo kwa sasa siyo mageni tena kwako, unamuomba dadachako cha magurudumu, na unabingirika mbali zaidi kwenye kona ukiwa unalalamika kwa maumivu.kwenye chumba cha wanawake wengine wenye hali kama <strong>ya</strong>ko. Hakuna faragha, na unaweza kusikiabaadhi <strong>ya</strong> kina mama na manesi wakikuzungumzia.Uchungu unapoongezeka, daktari anakuja kukuandaa kwa ajili <strong>ya</strong> kuzaa kwa kupasuliwa. Unapomuulizani nini anachofan<strong>ya</strong>, anakwambia kwa sababu huwezi kusukuma, utapasuliwa. Unaghadhabika nakudai unaweza kusukuma kama mwanamke mwingine yeyote na kwamba mtoto wako hatolewitumboni kwa kupasuliwa. Daktari anawaita manesi kuja, huku akicheka, anawaonesha kwambajinsi ulivyojifungua mtoto wako wa kwanza ndipo daktari anakubali kukuacha ujaribu kusukuma. Anamashaka kama mwili wako unaweza kuhimili maumivu na anasema wewe ni mbishi tu.Unajaribu kumpigia simu Ibrahim ili umpashe habari hizi njema, lakini simu <strong>ya</strong>ke inaonekana haikohewani.Ikiwa unaamua kutafuta kazi ili upate pesa, nenda kwenye Kazi na uchukue kadi namba 1.Ikiwa unahitaji muda kidogo ili upone vizuri baada <strong>ya</strong> kujifungua, nenda kwenye Songa Mbele nauchukue kadi namba 1.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B7


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Kazi 1A9


Kazi 1Maisha ukiwa na mtoto mdogo ni magumu sana, na unahitaji sana kuwa na kazi. Tangu Ibrahimakuache, unajihadhari na madereva taksi na badala <strong>ya</strong>ke unaendesha mwenyewe kwenye mitaayenye shughuli nyingi. Unapita magenge mengi <strong>ya</strong>kiuza vitu mbalimbali na unaanza ku<strong>ya</strong>fuata mojabaada <strong>ya</strong> jingine, ukiuliza kama unaweza kupata kazi yoyote <strong>ya</strong> ziada unayoweza kufan<strong>ya</strong>.Baadhi <strong>ya</strong> wamiliki wa magenge wanakucheka hata kabla hujauliza, wengine wanakupuuza, nawengine hata wanakufukuza kabisa. “Kazi gani ambayo huenda unaweza kufan<strong>ya</strong>?” mtu mmojakupindukia kwenye magari lakini unawahi kushikiria breki kabla hujapata ajali.Unajihisi umeshindwa kabisa na unawaza kama ni kweli hufai kwa lolote kama jinsi mama <strong>ya</strong>kounataka kukataa msaada wake kununua chakula, lakini anakusimamisha. Anaeleza kwamba alikuwaanatazama jinsi walivyokuwa wanakutendea wale watu, na kwamba yeye ana duka dogo la mambo<strong>ya</strong> ufundi ambapo anashona vikapu na kutengeneza vitu vingine v<strong>ya</strong> ufundi mdogo mdogo.Anasema kipato sio kikubwa lakini anakukaribisha uungane naye. Unakubaliana na msaada wake<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B9


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Shirika Lisilo laKiserikali 1A10


Shirika Lisilo la Kiserikali 1kadhaa kuelekea mlango wa mbele. Unamuomba mlinzi akusaidie, lakini anasema hawezi kuondokaeneo lake la kazi lakini badala <strong>ya</strong>ke anapiga simu, na anakwambia kuna mtu atakuja kukusaidia mudasi mrefu.na misaada au kupata kazi. Unakwambia umfuate na anatembea kushuka kwenye ushoroba kwaujikumbushie kutambaa sakafuni na unainamisha kichwa kwa mateso hayo.wanaweza kukutolea huduma za rufaa tu, na sio msaada wowote wa kifedha kusaidia watu “kamakwamba anawajua wanawake walemavu ambao wanaendesha kikundi kidogo cha ufundi stadi.Nenda kwenye Kazi na uchukue kadi namba 2.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B10


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Kazi 2A11


Kazi 2Unahisi kukata tamaa baada <strong>ya</strong> kutembelea Shirika Lisilo la Kiserikali, kiasi kwamba unakosa nguvukwa kitambo kidogo. Lakini dada <strong>ya</strong>ko anaendelea kukubughudhi na unapotazama hali <strong>ya</strong> watotouendelee kutafuta kazi.mmoja anayeonekana kuwa ni mkarimu anayetumia magongo kutembea anakusogelea na kukuulizaikiwa unahitaji akusaidie kupata kitu fulani. Unatabasamu na kumwelezea kuwa umeelekezwa nauzungumze na mwanamke ambaye ni msimamizi.zimetengezwa vizuri na zinapendeza sana. Japokuwa uliwahi kutamani kuwa mwandishi, unahisimkubwa na anakuuliza una ujuzi gani. Unamwambia umekuwa ukishona na kufuma vikapu tangumtu mwenye ujuzi wa kushona. Anakutahadharisha kipato sio kikubwa, lakini kwako unafurahia<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B11


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Ukatili Watokea 3A12


Ukatili Watokea 3Kadri muda unazidi kwenda, unajiimarisha mwenyewe kama fundi stadi aliyebobea pale bandani.Umekusan<strong>ya</strong> pesa za kutosha kuwalipia watoto wako ada za shule <strong>ya</strong> msingi, na Mtoto IbbyJioni moja, unajisukuma mwenyewe ukitoka kazini kwako. Ulibaki kazini kwa muda mrefu kulikowako unahuzunika kwa sababu umebeba pesa zote kutoka kibandani upeleke nyumbani kwa sababuwewe ndiye ulikuwa wa mwisho kuondoka kazini. Anapata kimkoba kidogo cha mapato <strong>ya</strong> siku nangumi baada <strong>ya</strong> ngumi zikitua mwilini na lazima iwe ulipoteza fahamu kwa sababu unapozinduka,tena kukaa mjini.Ikiwa unataka kusahau <strong>ya</strong>liyotokea na kuendelea kufan<strong>ya</strong> kazi, nenda kwenye Kazi na uchukuekadi namba 3.Ikiwa unataka kutumia fursa na kurudi nyumbani kwa wazazi wako ambako ni salama zaidi, nendakwenye Fursa na uchukue kadi namba 2.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B12


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Kazi 3A13


Kazi 3Umeumizwa viba<strong>ya</strong> na unaogopa kushambuliwa tena. Hutaki kutoka nje <strong>ya</strong> nyumba, lakini unadhaniwanawake wa kibanda cha ufundi stadi watakuwa na wasiwasi juu <strong>ya</strong>ko. Na bado unadaiwa kulipaada <strong>ya</strong> shule. Unapotokea kazini siku chache baadaye, Furaha anaona wasiwasi sana. Anapoangaliahali <strong>ya</strong>ko, anakuuliza nini kimekusibu. Unamsimulia kuhusu kibaka alivyokushambulia, huku akiwana hasira kwa sababu pesa zimeporwa, anaendelea kuonyesha wema na kukusaidia. Anakuombaradhi na kusema kwamba hakupaswa kukuacha ufunge na kwenda nyumbani peke <strong>ya</strong>ko ukiwa nafuraha anakukaribisha uende naye kwenye kikundi cha kutoa msaada ambako anahudhuria marambili kwa mwezi.Unasitasita, lakini unaanza kuhudhuria pamoja naye na unashangaa kwa kukutana na walemavuwengine wengi. Baada <strong>ya</strong> kipindi mojawapo, kiongozi anakuita na anakuambia amefurahishwa sanana wewe na angependa akusaidie urudi shuleni kusoma. Unafurahia sana kupata fursa hiyo, lakinimasomo <strong>ya</strong>nagharimu pesa kiasi. Huna uhakika kama unaweza kumudu, hivyo hujui ufanye nini.Ikiwa unataka ujiandikishe kwenye darasa la elimu <strong>ya</strong> watu wazima, nenda kwenye Elimu nauchukue kadi namba 1.Ikiwa unaamua kwamba umri wako ni mkubwa sana kwa wewe kuanza kusoma na ungependaurudi nyumbani ukaishi na wazazi wako, nenda kwenye Fursa na uchukue kadi namba 2.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B13


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Elimu 1A14


Elimu 1Kuna mambo mengi sana unajifunza nje <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>nayofundishwa vitabuni, na unatarajia kuwezana Furaha. Hutaki kuachana naye, lakini sasa kwa kuwa una elimu kubwa unaamini unaweza kupatakazi bora zaidi.simu na kusalimiana na wateja. Kwa sehemu kubwa unafurahia kazi <strong>ya</strong>ko, ingawa mara nyingi watuwanatoa maoni <strong>ya</strong> dharau kuhusu miguu <strong>ya</strong>ko au wanakusema kila wanapodhani huwasikii.Unatamani kuongea na wazazi wako kuhusu mafanikio <strong>ya</strong>ko ili wajivunie japo tu kwa hilo. Unatumiaataendelea kuwaza kwamba wewe hufai kwa lolote.vile unavyoishi wewe mwenyewe na unaweza hata kulimbikiza kiasi cha kutosha kujenga nyumba<strong>ya</strong>ko mwenyewe.MWISHOHuu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<strong>Carol</strong>. Unapokuwa ta<strong>ya</strong>ri, muombe mwezeshaji akupe hadithi <strong>ya</strong> mwanamke mwingine.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B14


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>Fursa 2A15


Fursa 2wewe na watoto wako nyumbani kwa wazazi wako na kuchangia kiasi kidogo kwenye gharama zamaisha. Una hofu juu <strong>ya</strong> kurudi nyumbani, lakini unajua hawawezi kukufukuza.Dada <strong>ya</strong>ko anasema wazo la kurudi kijijini sio wazo zuri, lakini unajua atapata nafuu <strong>ya</strong> matumizi kwakuondoka kwenu. Baada <strong>ya</strong> kushambuliwa unaona hilo ndio suluhisho pekee. Kwa sababu unaishiUnajisikia viba<strong>ya</strong> kuondoka, lakini huwezi kuendelea kuishi mjini.Wazazi wako wanakukaribisha kwa shingo upande lakini wanaendelea kukwambia kwamba wewehufai kwa lolote. Hata unapomlipia mwanao ada <strong>ya</strong> shule na kuchangia gharama za maisha nyumbani,bado hawaridhiki wala kuona mafanikio <strong>ya</strong>ko, wanaendelea kukunung’unika kwa kila kitu.wako Ibby. Unajiona uko salama zaidi kuliko ulivyokuwa unaishi na dada <strong>ya</strong>ko mjini.Siku moja ukiwa unaenda kununua mboga, unatumbukia kwenye shimo ambalo limechimbwa hivikaribuni kando <strong>ya</strong> barabara. Unafanikiwa kutoka mwenyewe lakini umelala hapo ukiwa umeumiaviba<strong>ya</strong> huku gari linakuja na karibu hata likugonge. Unaita kuomba msaada lakini hakuna anayetokea.Unagundua kwamba maisha ha<strong>ya</strong> si kweli kwamba ni bora kuliko maisha <strong>ya</strong> mjini. UnamkumbukaFuraha na jinsi ulivyokuwa unajivunia kazi zako za ufundi stadi. Unatamani uishi salama lakini hakunasehemu yoyote duniani ambayo ni salama kwako.MWISHOHuu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<strong>Carol</strong>. Unapokuwa ta<strong>ya</strong>ri, muombe mwezeshaji akupe hadithi <strong>ya</strong> mwanamke mwingine.<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Carol</strong> B15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!