11.07.2015 Views

mwalimu na fikra mpya za ufundishaji unaolenga ujenzi jkatika elimu

mwalimu na fikra mpya za ufundishaji unaolenga ujenzi jkatika elimu

mwalimu na fikra mpya za ufundishaji unaolenga ujenzi jkatika elimu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kasoro ndogo ya hapa ni mwingiliano wa kiwango cha chini kati ya <strong>mwalimu</strong> <strong>na</strong> mwa<strong>na</strong>funzi,<strong>mwalimu</strong> hupote majukumu katika mchakato wa ujifun<strong>za</strong>ji wa mwa<strong>na</strong>funzi. Uzuri ni kuwawa<strong>na</strong>funzi huwe<strong>za</strong> kujifun<strong>za</strong> wao kwa wao.TUNAKOTAKIWA KUFIKAMWALIMU MWEZESHAJI (mwingiliano).Huu ndio mchakato ambao mwa<strong>na</strong>funzi ndiye kiini cha kujifun<strong>za</strong> <strong>na</strong> <strong>mwalimu</strong> ni mweleke<strong>za</strong>ji. Nimchakato wenye njia mbili, <strong>mwalimu</strong> <strong>na</strong> mwa<strong>na</strong>funzi hutegemea kama timu moja <strong>na</strong> ku<strong>na</strong>majukumu ya pande zote <strong>na</strong> hivyo kujenga ukuaji wa ukweli kwa pande zote.MWALIMUVichocheoMWANAFUNZIVichocheoKuta<strong>za</strong>ma <strong>na</strong> kuele<strong>za</strong>kukubaliKuchungu<strong>za</strong> <strong>na</strong> kueleke<strong>za</strong>kufikiri <strong>na</strong> kutendaKuene<strong>za</strong> taarifakutumia mahitaji <strong>na</strong> ku<strong>za</strong>lishaKutathminikutathmini.Tatizo katika mfumo huu ni sharti <strong>mwalimu</strong> awe <strong>na</strong> stadi nyingi <strong>na</strong> pa<strong>na</strong>, awe <strong>na</strong> matumaini,ukweli, kujiamini, uwezo <strong>na</strong> nguvu juu ya kile a<strong>na</strong>chotaka mwa<strong>na</strong>funzi kujifun<strong>za</strong>. Kwa halihiyouongozi wa shule <strong>na</strong> uongozi wa <strong>elimu</strong> ngazi zingine sharti uwe <strong>na</strong> msaada mkubwa kwa<strong>mwalimu</strong> (Don<strong>na</strong>(1996).Mbinu hizi <strong>mpya</strong> ni ngumu <strong>na</strong> ni vigumu sa<strong>na</strong> kuzimudu bila ya mwendelezo wa mafunzo.Mwalimu ambaye ameshakwisha kuzimudu stadi hizo i<strong>na</strong>maa<strong>na</strong> tayari amekwisha kubadilimta<strong>za</strong>mo wa <strong>za</strong>mani <strong>na</strong> maelekeo ya kale <strong>na</strong> kuku<strong>za</strong> mbinu tafauti kisha kuingia katikautamaaduni <strong>mpya</strong>.4


Kozi fupi katika eneo mhimu a<strong>na</strong>lohitaji ili kumuendele<strong>za</strong> <strong>mwalimu</strong> katika eneo maalumua<strong>na</strong>loshughulikia.Miaka kumi <strong>na</strong> tano (15) hadi ishirini (20) kazini.Mahitaji muhimu ya <strong>mwalimu</strong> katika majukumu mapya, kozi <strong>mpya</strong> kwa ajili ya kumpa motisha <strong>na</strong>kumfanya aendane <strong>na</strong> wakati.Maeneo mengine ya<strong>na</strong>yowe<strong>za</strong> kuboresha <strong>ufundishaji</strong> fanisi ni kuimarisha uwezo eneo la utawala,ulezi/mentor <strong>na</strong> uhusiano imara kati ya watafiti wa <strong>elimu</strong> <strong>na</strong> walimu.ENEO LA UTAWALA.Mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wakuu ni muhimu sa<strong>na</strong> kwa kuwa eneo la utawala ndiloli<strong>na</strong>losimamia maendeleo ya shule, walimu wakuu wa<strong>na</strong>takiwa wawe <strong>na</strong> uwezo wa kuandaamikakati ya uboreshaji wa wa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong> <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kufuatilia maeneo maalumu kama vilevipaumbele, <strong>ufundishaji</strong> u<strong>na</strong>oambata<strong>na</strong> <strong>na</strong> upimaji, uandaaji <strong>na</strong> utoaaji taarifa, ushirikishajimipango, ufuatiliaji <strong>na</strong> usimaizi imara.UHUSIANOKATI YA WATAFITI NA MWALIMU.Walimu wa<strong>na</strong>paswa kuhusishwa kikamilifu katika tafiti mbalimbali <strong>za</strong> ki<strong>elimu</strong> <strong>na</strong> pia kuwapamrejesho kuhusu matokeo ya tafiti mbalimbali, changamoto <strong>na</strong> mahitaji ya<strong>na</strong>yojitoke<strong>za</strong> ki<strong>elimu</strong>(deogratias 2011).Utafiti ki<strong>elimu</strong> u<strong>na</strong>we<strong>za</strong> kuimarisha kwa kuunda jumuia ya watafiri wa <strong>elimu</strong>nchini.UTAFITI WA KIUTENDAJI DARASANIMradi wa EQUIP (Education Quality Improvement Through Pendagogy) katika wilaya yaShinyanga uliibua eneo hili mhimu kwa walimu, changamoto niliyoio<strong>na</strong> ni kukoseka<strong>na</strong> kwausimamizi baada ya mradi kumali<strong>za</strong> muda wake. Pamoja <strong>na</strong> kuwa tafiti hizi zilihusu <strong>mwalimu</strong>bi<strong>na</strong>fsi shuleni <strong>na</strong> darasani lakini endapo zitatiliwa mkazo <strong>na</strong> kuwaimarisha walimu katikakumudu stadi <strong>na</strong> mbinu <strong>za</strong> kufanya tafiti hizo zitasaidia sa<strong>na</strong> katika kuendele<strong>za</strong> mipango ya shule<strong>na</strong> maendeleo ya <strong>mwalimu</strong> kitaaluma.6


MENTORING/ULEZIUlezi pia ni eneo mhimu li<strong>na</strong>lopaswa kutiliwa mkazo katika <strong>elimu</strong>, kazi ya mentor/mlezi ni kutoamsaada <strong>na</strong> kutatua changamoto zi<strong>na</strong>zojitoke<strong>za</strong> kwa <strong>mwalimu</strong> mwen<strong>za</strong>ke a<strong>na</strong>ye mlea kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong>kuwa yeye a<strong>na</strong>zo stadi, maarifa, mbinu nyingi <strong>na</strong> uzoefu kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> ai<strong>na</strong> ya mafunzo a<strong>na</strong>yo lea.Umhimu wake ni kule kuku<strong>za</strong> uwezo <strong>na</strong> uelewa wa kitaalam wa pamoja kwa kumwonesha uhitajiwa kujiendele<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi. Pia ni kurithisha maarifa, stadi <strong>na</strong> mbinu kutoka ki<strong>za</strong>zi kimoja kwendakuingine.Idara ya ukaguzi i<strong>na</strong>we<strong>za</strong> kufanya ushirikiano <strong>na</strong> walezi wa walimu katika changamotombalimbali zi<strong>na</strong>zowakabili walimu darasani. Hata hivyo ufanisi wa ulezi utakuwa <strong>na</strong> nguvu iwapomfumo wa <strong>elimu</strong> <strong>na</strong> mtaala wa shule utawatambua <strong>na</strong> kuwafun<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi.USHIRIKIANO NI NGUZO YA KUMWENDELEZA MWALIMUMaendeleo ya <strong>mwalimu</strong> kitaaluma ya<strong>na</strong>hitaji nguvu ya pamoja kutoka serikali kuu, serikali<strong>za</strong> mitaa, wa<strong>na</strong>siasa, watunga sera, mashirika ya kimataifa <strong>na</strong> asasi <strong>za</strong> kijamii zi<strong>na</strong>zojishughulisha <strong>na</strong> maswala ya <strong>elimu</strong> Tan<strong>za</strong>nia.Pamoja <strong>na</strong> ushirikiano huo ni mhimu sa<strong>na</strong> wi<strong>za</strong>ra ya <strong>elimu</strong> ianzishe bodi ya walimu ambayoitasimamia maendelo ya taaluma ya walimu nchini. Bodi hiyo ndiyo itakayo ratibu mpango wamafunzo ya walimu kazini pamoja <strong>na</strong> kuweka vingezo ambavyo <strong>mwalimu</strong> atatakiwa kuvifikia ilikuwa <strong>mwalimu</strong> mahiri.MTANDAO WA ELIMU TANZANIAMtandao wa <strong>elimu</strong> Tan<strong>za</strong>nia uimarishe <strong>na</strong> kutanua matawi yake katika maeneo ya msingi kamavile kata, wilaya <strong>na</strong> mkoa ili kusudi matawi hayo yasimamie kikamilifu mitandao midogomidogokamavile, virabu vya masomo <strong>na</strong> watafiti wadogowadogo. Lakini pia ushirikiano <strong>na</strong> asasi zingine<strong>za</strong> ki<strong>elimu</strong> kama vile HAKI ELIMU i<strong>na</strong>we<strong>za</strong> kuleta nguvu ya pamoja <strong>na</strong> kumwinua <strong>mwalimu</strong>.NINI KIFANYIKE NA NANI AFANYE.Katika ngazi ya shule <strong>za</strong> msingi yapo maeneo mhimu ya<strong>na</strong>yohitajika kuboreshwa <strong>za</strong>idi: Maeneohayo ni uongozi <strong>na</strong> utawala (mafunzo kwa walimu wakuu), ufuatiliaji <strong>na</strong> tathmini (mentors waleziwatafiti wa kiutendajidarasani) <strong>na</strong> <strong>ufundishaji</strong> darasani katika maeneo mhimu kama vile walimuwa masomo ya hisabati, sayansi <strong>na</strong> Lugha <strong>na</strong> stadi <strong>za</strong> kufundisha darasa la kwan<strong>za</strong> <strong>na</strong> pili.7


Mafunzo hayo yafanyike mara mbili kwa mwaka <strong>na</strong> yawe ni kozi fupi <strong>na</strong> ndefu kati ya wiki mbiliau tatu wakati wa likizo.hali hiyo i<strong>na</strong>toka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukweli kuwa mabadiliko katika <strong>elimu</strong> yapo kilasiku.Ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa wilaya idara ya <strong>elimu</strong> igharimikie mafunzo hayo kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong>fedha i<strong>na</strong>yotengwa <strong>na</strong> wi<strong>za</strong>ra kwa ajili ya kuendesha mafunzo ya walimu kazini.Maeneo ambayo bado ya<strong>na</strong> miradi ya ki<strong>elimu</strong> <strong>na</strong> ambayo bado ya<strong>na</strong> ufadhili kama vile EQUIP –Shinyanga yaunganishe fedha <strong>za</strong> ufadhili <strong>na</strong> ruzuku kutoka serikali kuu ili yasfikie kila <strong>mwalimu</strong>katika eneo husika la mafunzo.Mafunzo hayo yatolewe katika maeneo ya klasta <strong>na</strong> vituo vya walimu (TRCS) ili kupungu<strong>za</strong>gharama <strong>za</strong> mafunzo.HITIMISHO:Umahiri ni faida kubwa katika shughuli yoyote <strong>na</strong> <strong>mwalimu</strong> akifanyya kazi yake vuzuri, thamaniyake ni kubwa kwa wengine kwa sasa <strong>na</strong> baadaye. Ualimu pia ni kundi la wataalamu mahala pao<strong>na</strong> pa<strong>na</strong>huduma mhimu katika jamii (kuelimisha).REJEA.1. Don<strong>na</strong> Branders & Paul Ginnis(1996) ‘A guide to student – centred learning’uk.19’.2. Pollard A(2005) ‘Reflective teaching’ 2 nd Edition London, New York(uk 402-404).3. J.S. Farant (MA) (1980) “Principle and Practice of Education” Longiman education. GPSMalesia(uk 363)4. Abel Ishumi (March 2011)”Towards Improving the teaching profession for Qualityeducation”5. M. Wasse<strong>na</strong> & Eliamling (March 2011) ‘Towards Improving the teachingprofession forQuality education.6. Mary V. Soko (March 2011) Professio<strong>na</strong>l development among primary school teachingexperiences and perception of their work.7. Enea Mhando (March 2011) ‘miss reading teacher professio<strong>na</strong>lism.8. Masawe Deogratias (2010) why should Teachers Conduct School bassed research.8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!