10.07.2015 Views

Kujenga mahusiano na Wateja Mambo Muhimu katika Mawasiliano ...

Kujenga mahusiano na Wateja Mambo Muhimu katika Mawasiliano ...

Kujenga mahusiano na Wateja Mambo Muhimu katika Mawasiliano ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

6/11/2012Kujifunza Nam<strong>na</strong> Ya Kufanya Kazi NaWatoto Yatima Na Wa<strong>na</strong>oishi KatikaMazingira HatarishiMradi wa ushirikiano wa ustawi wa jamii kuhusuUKIMWI kwa ajili ya watoto yatima <strong>na</strong> waishio<strong>katika</strong> mazingira hatarishi.<strong>Kujenga</strong> <strong>mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wateja</strong><strong>Mambo</strong> <strong>Muhimu</strong> <strong>katika</strong><strong>Mawasiliano</strong> <strong>na</strong> Mahojiano <strong>na</strong>Familia.Siku ya 3<strong>Kujenga</strong> <strong>mahusiano</strong> <strong>na</strong> watoto waishio <strong>katika</strong>mazingira hatarishi <strong>na</strong> familia zao.Imetoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Mtaala wa huduma ya Saikolojia jamii wa shirikala Catholic AID Action, NamibiaMchakato Wa Huduma Za Jamii Kwa AjiliYa Watoto Yatima Na Wale Walio KatikaMazingira HatarishiWalioathirika/Walioathiriwa Na UKIMWI.1. Kuwafikia <strong>na</strong> kuwatambua2. <strong>Kujenga</strong> <strong>mahusiano</strong> ya watoto yatima <strong>na</strong>familia zao3. Kutathmini mahitaji <strong>na</strong> uwezo uliopoMchakato Wa Huduma Za jamii Wa JinsiTakufanya Kazi Na Watoto Yatima Na WaleWalio Katika Mazingira HatarishiWalioathiriwa Na UKIMWI4. Kutengeneza mpango wa huduma: Kuunda mitandao,kufanya utambuzi <strong>na</strong> kutoa rufaa kwenye vyanzo vinginevya huduma5. Kutoa huduma <strong>na</strong> misaada mingine i iliyo ndani ya uwezo wataasisi yako• Kuwasaidia watoto yatima <strong>na</strong> walio <strong>katika</strong> mazingirahatarishi• Kuwapa huduma ya ushauri <strong>na</strong>saha pamoja <strong>na</strong> familiazao• Kubuni mifumo saidizi kwa ajili ya watoto yatima <strong>na</strong>waishio <strong>katika</strong> mazingira hatarishi <strong>na</strong> familia zao6. Kuendeleza Kesi menejimenti, utetezi <strong>na</strong> ufuatiliaji1


6/11/2012MalengoMwisho wa siku, msaidizi ustawi wa jamii atakua <strong>na</strong> uwezowa :• Kutoa maa<strong>na</strong> <strong>na</strong> sababu ya kujenga ukaribu <strong>na</strong> watotowaishio <strong>katika</strong> mazingira hatarishi pamoja <strong>na</strong> familia• Kuelezea mitazamo <strong>na</strong> mambo ya muhimu kwa ajili yakujenga <strong>mahusiano</strong> mazuri kati ya mtoa huduma <strong>na</strong>mteja• Kubaini sifa za mawasiliano• kujenga stadi za msingi za mawasiliano bora• Kubaini stadi za kujenga <strong>mahusiano</strong> <strong>na</strong> mawasilianokulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> umri wa mtejaMajukumu Ya Msadizi Ustawi WaJamii• Kusikiliza <strong>na</strong> kutoa msaada• Kutathmini mahitaji <strong>na</strong> uwezo• Kupanga huduma kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> familia• Kusaidia kutatua matatazo• Kutoa rufaa• Kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya• Kutoa taarifa• Kusaidia wakati wa matatizo• Zingatia: Watoto <strong>na</strong> familia ambao hawa<strong>na</strong> uwezowa kukabilia<strong>na</strong> kikamilifu <strong>na</strong> matatizo wapewe rufaakwenda kwa wataalamu wa ustawi wa jamiiMsaidizi Ustawi Wa JamiiHAWEZI..• Kutoa u<strong>na</strong>sihi wa ki<strong>na</strong>• kutoa huduma za kiafya au za kitabibu• Kushughulikia matatizo makubwa ya kihisia <strong>na</strong> kiakili• Kutatua matatizo yote ya mtoto!!!<strong>Kujenga</strong> uhusiano <strong>na</strong>watoto <strong>na</strong> familiaNi nini maa<strong>na</strong> ya kujenga uhusiano?2


6/11/2012<strong>Kujenga</strong> Uhusiano Kati YaFamilia Na Watoto• <strong>Kujenga</strong> uhusiano ni mchakato ambao u<strong>na</strong>wasaidiawatu kuondoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> vikwazo vya kupata huduma aumsaada.• Matatizo haya ya<strong>na</strong>weza kuwa yamesababishwa <strong>na</strong>kutokupata k t taarifa yahuduma fulani au kutokua k <strong>na</strong>njia ya kapata huduma hizo.• Matatizo haya ya<strong>na</strong>weza kuwa ya mtu bi<strong>na</strong>fsi kamavile mtu kutotaka kuomba msaada au hata kutodhaniya kwamba huduma zi<strong>na</strong>weza kumsaidia• Uhusiano mzuri hutegemea uwezo wa mtoa hudumakujenga uhusiano sahihi <strong>na</strong> watu, familia, vikundi aujamii kwa ujumla<strong>Mambo</strong> Ya Msingi Ya <strong>Kujenga</strong>Uhusiano• Jenga mawasiliano <strong>na</strong> ukaribu kati yako <strong>na</strong>familia• Jitambulishe kwa ndugu wa karibu <strong>na</strong> familia• Jieleze kikamilifu <strong>na</strong> eleza majukumu yako• Onyesha kuwa mwaminifu• Jenga uelewa wa huduma ambazo msaidiziustawi wa jamii a<strong>na</strong>weza kutoa• Kazi ya msadizi ustawi wa jamii ni kusaidia familia<strong>katika</strong> kutatua matatizo yake kwa kutumia uwezo wao<strong>na</strong> rasilimali zilizopo <strong>katika</strong> jamiiMada Za Kujadilia<strong>na</strong>Sifa Za Mahusiano Mazuri Ya KikaziMsaidizi ustawi wa jamii hufanya kazi kwa kushirikia<strong>na</strong><strong>na</strong> wale wa<strong>na</strong>owasaidiaMahusiano tu<strong>na</strong>yojenga <strong>na</strong> watu tu<strong>na</strong>ofanya <strong>na</strong>o kazini tofauti <strong>na</strong> urafiki <strong>na</strong> <strong>mahusiano</strong> mengine bi<strong>na</strong>fsitu<strong>na</strong>youkuwa <strong>na</strong>yo. Je tofauti ni zipi?Bungua Bongo• Mahusiano mazuri kati ya mtoa huduma <strong>na</strong> mteja:• Ndani ya mipaka• Ya<strong>na</strong> lengo• Ya<strong>na</strong> muda maalumu• Ya<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> maadili ya kitaaluma• Ya<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> imani juu ya thamani ya utu <strong>na</strong>heshima3


6/11/2012Jadilia<strong>na</strong> Na Jirani Yako• Ni sifa gani ungependa mtu awe <strong>na</strong>yo ili uwezekumshirikisha siri zako za ndani haswa juu yamambo ya<strong>na</strong>yokuumiza?• Mgeukie jiranii yako <strong>na</strong>mjadili swali hili kwadakika 2-3 <strong>na</strong> muwasilishe kwenye darasaSifa zi<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> maadili ya kitaaluma ambazo ni:• Toa kipaumbele kwa Huduma kwa wengine dhidiya maslahi bi<strong>na</strong>fsi• Heshimu utu <strong>na</strong> thamani ya kila mmoja• Tambua umuhimu wa <strong>mahusiano</strong> <strong>na</strong> bi<strong>na</strong>damuwengine• Kuwa mwaminifu• Heshimu usiri <strong>na</strong> ufaragha wa watejaMitazamo <strong>Muhimu</strong> Katika <strong>Kujenga</strong>Uhusiano Mzuri Kati Ya Mtoa HudumaNa Mteja• Zi<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> mitazamo ambayo i<strong>na</strong>heshimu utu<strong>na</strong> kuchochea heshima ya kila bi<strong>na</strong>damu• Ushirikeli• Kutohukumu• Kutokubagua• Kuthamini hisiaUshirikeli ni uwezo wa mtu kuelewa hali ya mwenzake <strong>na</strong>kuwa pamoja <strong>na</strong>ye kwa hisia <strong>katika</strong> mazingira hayo,vile vile kuwa <strong>na</strong> uwezo wa kutoka <strong>katika</strong> hisia hizo.Tofauti ya Ushirikeli, Huruma Na Husini• USHIRIKELI - Kuwa pamoja <strong>na</strong> mtu kwa hisia<strong>katika</strong> hali Fulani.• HURUMA - Kufikiria kuwa <strong>katika</strong> hali sawasawa <strong>na</strong>muhusika mwenye tatizo.• HUZUNI- Kuwa <strong>na</strong> hisia ya huruma <strong>na</strong> mtu.4


6/11/2012Mbinu Za Msingi Za <strong>Kujenga</strong>Mahusiano1: Anzia Pale Mteja Alipo1. Anzia pale mteja alipo2. Jenga <strong>na</strong> dumisha uaminifu if <strong>na</strong>ushirikeliik 3. Tumia mbinu za kuwasilia<strong>na</strong> kama vile kusikilizakwa makini, kuuliza maswali <strong>na</strong> kujibu• Mteja a<strong>na</strong>lio<strong>na</strong>je tatizo?• Je a<strong>na</strong>taka umsaidieje au mtu mwingine amsaidiaje?• A<strong>na</strong>taka kuanzia wapi?Kuwa mvumilivu- I<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> mteja amekaa <strong>na</strong> tatizokwa muda mrefu kwa hiyo utatuzi wake utachukuamudaSifa Za Kuweza Kuwasilia<strong>na</strong>Vizuri• Wakubali watu kama walivyo• Usihukumu• Chukulia taarifa zote za mteja kama siri• Uwe mkweli <strong>na</strong> mwaminifuKuwa MshirikeliUshirikeli ni uwezo wa mtu kuelewa hali ya mwenzake <strong>na</strong>kuwa pamoja <strong>na</strong>ye kwa hisia <strong>katika</strong> mazingira hayo,vile vile kuwa <strong>na</strong> uwezo wa kutoka <strong>katika</strong> hisia hizo.Tofauti ya USHIRIKELI, HURUMA NA HUZUNI• USHIRIKELI- Kuwa pamoja <strong>na</strong> mtu kwa hisia<strong>katika</strong> hali Fulani.• HURUMA- Kufikiria kuwa <strong>katika</strong> hali sawasawa <strong>na</strong>muhusika mwenye tatizo.• HUZUNI- Kuwa <strong>na</strong> hisia ya huruma <strong>na</strong> mtu.6


6/11/2012Kazi Ya Kikundi• Kaeni kwenye makundi ya watu wawili• Mmoja aeleze kitu kimoja kilichomtokea k wiki iliyopitait• Mwingine ajibu kwa mbinu ya kutumia ushirikeli• Badilishaneni baada ya dakika 5• Jiandae kuwasilisha darasaniWakati ukiwa mshirikeli, tu<strong>na</strong>msaidia mtoto auwa<strong>na</strong>familia kutambua hisia zao <strong>na</strong> kuwasaidiakuzitoa. Lakini hakikisha u<strong>na</strong>zungumza mawazoyako kwa kuanza sentensi <strong>na</strong> maneno kama “Nafikiri..” au “Najiuliza kama…”3. Jinsi Ya KuulizaUulizaji Maswali….Maswali Hii ni mbinu ya kwanza tu<strong>na</strong>yotumia kupatataarifa kutoka kwa mteja <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yomsaidia mteja kujuakwamba tu<strong>na</strong>jali <strong>na</strong> i<strong>na</strong>mfanya aanze kufikiri/kutafakaritatizo au hitaji lake.Maswali ya kujieleza (open ended) ya<strong>na</strong>mwezesha mtejakujiweka wazi <strong>katika</strong> kuelezea tatizo lake, huku mtejaakibaki a<strong>na</strong>jiweka sawa juu ya taarifa a<strong>na</strong>yoitoa.Maswali ya moja kwa moja (closed) ya<strong>na</strong>weza kujibiwa kwanjia ya mkato kama “ndio”, “hapa<strong>na</strong>”, “kesho” au“miaka 10”.Maswali ya kujielezaNani …..mwingine a<strong>na</strong>yejua?Ilianza…..lini?Ilianzia ……….wapi?Ungependa .. kufanya nini?Je u<strong>na</strong>fikiri hii itasaidiaje?Utafanyaje?• Angalia usiulize maswaliyenye kuashiria majibukama vile, “ ungependakufanya hivyo, sio?Maswali ya moja kwamojaJe, ku<strong>na</strong> mwingine a<strong>na</strong>yejua?Je, ilianza ……. karibuni?Je, limekuwa ni tatizo kilawakati?Je, Ungependa kulitatua?Je, u<strong>na</strong>fikiri …hii itasaidia?Je, utaweza kufanya hivyo?7


6/11/2012Uulizaji Maswali….Kazi Ya Kikundi• Ai<strong>na</strong> zote mbili za maswali zi<strong>na</strong> matumizi yake.Maswali ya moja kwa moja husaidia kupatataarifa maalum <strong>na</strong> pia humsaidia mtu mwenyeaibu kuweza kuongea. Lakini pia maswaliKama haya humfanya mtu ajihisi kamaa<strong>na</strong>hojiwa.Maswali ya kujieleza humpa mtu uhuru wakuongea <strong>na</strong> kukusaidia muulizaji kukusanyataarifa kuhusu tatizo la mteja wake.• Gawanyikeni te<strong>na</strong> kwenye kikundi cha watu wawili• Mtu mmoja ajifanye msadizi ustawi wa jamii <strong>na</strong>mwingine ajifanye mteja• Kazi yako ni kujifunza mambo zaidi kuhusu mteja• Uliza maswali ya kujieleza <strong>na</strong> yale ya moja kwa moja• Badilishaneni baada ya dakika 2-3• Jiandae kuwasilisha darasani4: Mbinu Za KujibuNi mbinu zipi nzuri za kujibu ambazo utatumiawakati wa kuzungumza <strong>na</strong> watoto <strong>na</strong> familiazao?Bungua Bongo4. Vitu Vya Kuzingatia Katika<strong>Mawasiliano</strong>• Sikiliza kwa makini iwezeka<strong>na</strong>vyo mawazo <strong>na</strong> hisiazote za mteja.• Usijibu mpaka uwe <strong>na</strong> uhakika kwamba umeelewamawazo <strong>na</strong> hisia za mteja. (usimkatishe mteja mpakaawe amemaliza kuongea) Kwa mfano, “<strong>na</strong> hisi kamau<strong>na</strong>jisikia upweke, ni kweli?• Usiingilie ukimya wa mshauriwa8


6/11/2012Vitu Vya Kuzingatia Katika<strong>Mawasiliano</strong>Vitu Vya Kuzingatia Katika<strong>Mawasiliano</strong>• Tikisa kichwa au tumia maneno machachemafupi kama ‘mhh’ kumpa moyo mteja aongeezaidi• Jitahidi kutomshauri au kutoa maamuzi.• Usimwingilie mteja kwenye maongezi yake walakuingiza mada zisizohusika.• Usiongee mara kwa mara au kwa muda mrefu.Usihubiri!• Chunguza hisia za mteja wako juu ya majibu yako• Fanya majumuisho ya kile ulichokisikia• Jitahidi kupata maoni ya mtoto au mmoja wawa<strong>na</strong>familia juu ya hatua zifuatazo5. Njia Nyingine Za KumsikilizaMtejaNjia Nyingine Za Kusikiliza• Kutoa mawazo (maoni) yako juu ya mchakato• - Mara nyingine wateja wa<strong>na</strong>weza kuwa kimya,au wakacheka, hapo u<strong>na</strong>weza kumuulizamteja “u<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> mwenye huzuni,je u<strong>na</strong>jihisiikulia?”• - Tamka u<strong>na</strong>chokio<strong>na</strong>/u<strong>na</strong>chokihisi, kama “u<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> u<strong>na</strong>taka kucheka” Usihukumu.• Kurudia kwa ufupi kile mteja alichosema i<strong>na</strong>saidiakuleta maa<strong>na</strong> au kitu halisi ya kile ki<strong>na</strong>choongelewa• i<strong>na</strong>saidia kufafanua• i<strong>na</strong>msaidia mteja kujieleza• i<strong>na</strong>onyesha kwamba ulikuwa u<strong>na</strong>sikiliza kwa makini• I<strong>na</strong>mpa mteja fursa ya kukurekebisha9


6/11/2012Njia Nyingine Za Kusikiliza• Kutoa mukhtasari• kurudia kwa kifupi alichosema mteja, kwa kuchukuamaelezo ya muhimu yaliyojadiliwa.• Mukhtasari u<strong>na</strong>tumika kwa• Kuhakikisha kwamba umemuelewa mteja• Wakati wa kubadili mada• M<strong>na</strong>pofunga mjadala au kufafanua jambo• Kujikumbushia endapo mtakwama• Kuonyesha kwamba umewaelewa watu wote <strong>na</strong>kwamba u<strong>na</strong>heshimu michango yaoMuhtasari Wa Mbinu Za <strong>Kujenga</strong>Uhusiano1. Anzia pale mteja alipo2. Tumia ushirikeli ili kumfanya mtu ajue ya kwambau<strong>na</strong>jaribu kuelewa hisia zake-ya kwamba mkopamoja3. Tumia maswali stahili ili kumfahamu mteja kikamilifuKila ai<strong>na</strong> ya swali li<strong>na</strong> sababu yake- iwe swali lamoja kwa moja au la kujieleza4. Tumia mbinu ya kusikiliza kwa makini <strong>na</strong> kujibu5. Jenga maelewano kwa kufanya majumuisho <strong>na</strong>muhtasari wa mliyozungumzaSifa Za Kuweza Kuwasilia<strong>na</strong> Vizuri• Taaluma <strong>na</strong> uwezo wa kufanya kazi <strong>na</strong> watu• Kujiamini – usijishuku• Mfumo wa ushauri <strong>na</strong>saha uwe mrahisi hasau<strong>na</strong>powahusu watoto• Uwe msikilizaji mzuri• Uwe <strong>na</strong> moyo wa ushirikeli• Weka mipaka <strong>na</strong> heshimu siri za mtejaMasuala Ya<strong>na</strong>yohusu <strong>Kujenga</strong>Uhusiano Na Watoto10


6/11/2012<strong>Kujenga</strong> Uhusiano Na WatotoKuwasilia<strong>na</strong> Na Watoto• Ni muhimu kuelewa kwanza mila <strong>na</strong> desturi za jamiifulani zi<strong>na</strong>zohusu jinsi mtu mzima a<strong>na</strong>vyowezakuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> watoto• Ukiwa u<strong>na</strong>fanya kazi <strong>na</strong> watoto ni muhimu kupataridhaa ya walezi wao kabla ya kujenga <strong>mahusiano</strong><strong>na</strong>o:• Wazazi au walezi• Viongozi wa kijiji wa<strong>na</strong>owalinda watoto• Watu wazima au ndugu• Elewa mila <strong>na</strong> desturi zi<strong>na</strong>zohusu mawasiliano <strong>na</strong>watoto. Taja baadhi ya mila <strong>na</strong> desturi za kuwasilia<strong>na</strong><strong>na</strong> watoto <strong>katika</strong> jamii yakoBungua Bongo<strong>Mambo</strong> Ya Kimila Ya<strong>na</strong>yohusuKuwasilia<strong>na</strong> Na Watoto• Baadhi ya tamaduni zi<strong>na</strong>kataza watoto kumtazamamtu mzima usoni au kujibiza<strong>na</strong> moja kwa moja.• Saa nyingine ku<strong>na</strong> tofauti za kijinsia <strong>katika</strong>mawasiliano.• I<strong>na</strong>wezaka<strong>na</strong> kukawepo <strong>na</strong> tofauti kati ya wavula<strong>na</strong><strong>na</strong> wasicha<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>vyoweza kuzungumza <strong>na</strong> watuwazima wasiowajua.• Lazima tutambue muktadha wa kimila ili kuwezakuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> watoto ipasavyo.• Ni vizuri kupata msaada toka kwa mtu a<strong>na</strong>yeelewamila husika• Changamoto <strong>katika</strong> mawasiliano hutatuliwa baada yakujenga uaminifu kwa muda mrefuTu<strong>na</strong>weza Kufanya Nini IliKuboresha <strong>Mawasiliano</strong> Yetu NaWatoto?Bungua Bongo11


6/11/2012Miongozo Ya Kuwasilia<strong>na</strong> NaWatotoToa Maelekezo Chanya (U<strong>na</strong>yotakaMtoto Afanye) Na Sio Kinyume Chake• Kichwa kiwe sambamba <strong>na</strong> urefu wa mtoto• Tazama<strong>na</strong> <strong>na</strong> mtoto uso kwa uso• Mwonyesha upendo• Ongea <strong>na</strong> mtoto bila kuyumbisha maneno, <strong>na</strong> siohasira, kubembeleza au kulalamika• Badala ya: ”Usicheze <strong>katika</strong> kiti chako”• Jaribu: ”Keti <strong>katika</strong> kiti chako”• Badala ya: ”Usiguse kitu chochote, wewe ni mchafu”• Jaribu: ”Futa mikono yako kwa kutumia taulo hili”Usikivu Makini Ni Upi?• Ongeza uelewa <strong>na</strong> ufahamu wa uzoefu wa maisha yawatoto – kama u<strong>na</strong>vyoyao<strong>na</strong> wewe wenyewe kutokakwa mtoto. Hii itakuwezesha kuwahudumia haraka –kuwapa raha, utulivu <strong>na</strong> uelewa wa sababu yamatukio yaliyowapata <strong>na</strong> maa<strong>na</strong> ya matukio hayo.“ Usikivu makini” kwa mtoto mwenye msongo ni uelewathabiti wa yale a<strong>na</strong>yozungumza.Usikivu Makini Ni Upi?• Jifanye kama chombo ki<strong>na</strong>chopokea hisia za mtoto iliaweze kujisikia huru <strong>na</strong> aweze kutoa hisia kalizilizomo ndani yake kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> nzuri• Mfanye mtoto ajisikie kuwa amesikilizwa <strong>na</strong> kwambahisia zake zimetambulika <strong>na</strong> kueleweka. Huenda hiiikamfanya asijisikie iki mpweke te<strong>na</strong>.• Uwe mfano wa yule mtu wa muhimu <strong>katika</strong> maisha yamtoto ambaye hakutambua haja yake ya kusikilizwa<strong>na</strong> kufarijiwa.• Sikiliza kwa upendo <strong>na</strong> mtazamo wa kujali12


6/11/2012Vipengele Vya Kuzingatia KatikaMazungumzo Na MtotoKujitambulisha: Utajitambulishaje kwa mtoto ili awezekukuelewa wewe ni <strong>na</strong>ni <strong>na</strong> kwa nini u<strong>na</strong>zungumza<strong>na</strong>ye?Matumizi ya lugha rahisi ni muhimu sa<strong>na</strong>.Muda:Tenga muda wa kutosha wa mazungumzo iliumweke mtoto <strong>katika</strong> mazingira ya kuhimili hisiazake.Iwapo muda ni mfupi, epuka kumuibulia mtoto hisianzito.Vipengele Vya Kuzingatia KatikaMazungumzo Na MtotoMsaada chanya: Muunge mkono mtoto kwa jitihadaa<strong>na</strong>zozifanya kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mishtuko ya maono, <strong>na</strong>maisha magumu ya kila siku.Mtie moyo azungumzie yale ya<strong>na</strong>yomsaidia <strong>katika</strong>mchakato huo.Faragha: Hakikisha kwamba mazungumzo yako katiyako <strong>na</strong> mtoto/familia ya<strong>na</strong>fanyika pahala pa faragha.Vipengele Vya Kuzingatia KatikaMazungumzo Na MtotoVipengele Vya Kuzingatia KatikaMazungumzo Na MtotoNani awepo?• Muulize mtoto mtu gani angependa awepo.• Ni muhimu kuwepo <strong>na</strong> mtu ambaye mtotoa<strong>na</strong>mfahamu <strong>na</strong> kumuamini <strong>na</strong> ambaye a<strong>na</strong>wezakumfuatilia baadae.(Wazazi, ndugu, mwalimu, auni mwa<strong>na</strong>jamii a<strong>na</strong>yeaminika)Kukaa au kuketi?:• Kila jamii i<strong>na</strong> mila <strong>na</strong> desturi zake kuhusu <strong>na</strong>m<strong>na</strong>watu wazima <strong>na</strong> watoto wa<strong>na</strong>paswa kuwasilia<strong>na</strong>.• Hakikisha kuwa uko karibu <strong>na</strong> mtotoTambua hali ya mtoto:• Mtoto a<strong>na</strong>weza kuwa amechoka, a<strong>na</strong> njaa, a<strong>na</strong>umwa, mwogaa<strong>na</strong>sikia baridi n.k vyote hivi vi<strong>na</strong>weza kuathiri <strong>mahusiano</strong>yako <strong>na</strong> mtoto.• Usimlazimishe mtoto au kumruhusu mtu mwinginekumlazimisha mtoto kusema mambo asiyoyataka. Kufanyahivyo ni kuharibu majadiliano yote, <strong>na</strong> mtoto hatakuaminite<strong>na</strong>.• Ukio<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> kitu ki<strong>na</strong>msononesha mtoto u<strong>na</strong>weza kusema:”<strong>na</strong>dhani swali nililokuuliza ni gumu kulizungumzia”13


6/11/2012Kuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> WatotoKuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> WatotoUsimwache mtoto akiwa <strong>na</strong> fikra za kushindwa kwasababu tu ya kutokuweza kujibu maswali yako.Weka kumbukumbu u buya mazungumzo yako <strong>na</strong> watoto• ikiwezeka<strong>na</strong> kwa maandishi. Ni muhimu sa<strong>na</strong>watoto wapewe uangalizi mkubwa <strong>katika</strong>mazingira kama hayaFafanua – usiingilie kati:Kuingilia maelezo ya mtoto ku<strong>na</strong>weza kumfanyamtoto akae kimya hivyo kumpa hisia kwambaayasemayo siyo sahihi.Msubiri i mtoto t atulie, fafanua f yale u<strong>na</strong>yotakakuelewa; ”ulikuwa <strong>na</strong> maa<strong>na</strong> hiyo”? ”Baadayeikawaje”?Kuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> WatotoLugha rahisi:Tumia lugha rahisi/nyepesi,Uliza maswali mafupi,Toa maelezo mafupi <strong>na</strong> rahisi.Usiri:Mtoto i<strong>na</strong>bidi aelewe kuwa ’utambulisho’ wakehautaanikwa baya<strong>na</strong>; siri zitafichwa pamoja <strong>na</strong> mipakaya usiriNjia nyingine za Kumuwezeshamtoto aongeeKupima tatizo –uliza swali ili kutambua ukubwa wa tatizo.K t t k t i ik bKwa watoto, u<strong>na</strong>weza ukatumia mikono au <strong>na</strong>mbakuuliza swali hili; mara ya mwisho ulisema u<strong>na</strong> hasirakiasi hiki, hebu nionyeshe leo u<strong>na</strong> hasira kiasi gani?14


6/11/2012Maisha Ya Mtoto IIKukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Matatizo ya watoto yatima<strong>na</strong> wale waishio <strong>katika</strong> mazingira hatarishiKukabilia<strong>na</strong> Na Matatizo YaWatoto Yatima Na WaleWaishio Katika MazingiraHatarishi.Malengo• Mwisho wa siku msaidizi ustawi wa jamii ataweza:• Kutoa maa<strong>na</strong> ya tatizo kubwa,ai<strong>na</strong> ya matatizo, <strong>na</strong>mchakato wa kuvurugikiwa kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kupatatatizo kubwa• Baini viashiria vya kukabilia<strong>na</strong> au kushindwakukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> tatizo kubwa• Elezea jinsi ya kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> tatizo• Onyesha stadi za kuweza kuwasaidia watoto <strong>na</strong>familia zao kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> tatizo• Je umeshawahi kupata tatizo kubwa?• Kama ndio, ulijisikiaje? Ilichukua mudagani?ulijisikiaje baadaye?• Je watu walikufanyia nini au walikuambia vitugani ambavo vilikusaidia <strong>katika</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong>tatizo?• Mjadala wa darasani16


6/11/2012Matatizo Ni Nini?Matatizo Ni Nini.......?• Wakati fulani <strong>katika</strong> maisha yetu sisi wenyewe au mtuwa karibu hufikwa <strong>na</strong> matatizo makubwa.• Ni hali isiyokuwa ya kawaida yakupotelewa <strong>na</strong> ,mabadiliko au mashinikizo ya<strong>na</strong>mfanya a a mtu kukosafuraha au kushindwa kuendelea <strong>na</strong> maisha yake yakawaida•Huchochewa <strong>na</strong>:•Tukio la ghafla <strong>na</strong> la ajabu li<strong>na</strong>lomfanya mtukushindwa kuyapokea mabadiliko – ugonjwa,matukio ya awali <strong>na</strong> mashinikizo <strong>katika</strong> maisha.Wakati mwingine jambo dogo tu li<strong>na</strong>weza kuwa <strong>na</strong>madhara makubwa.•kipindi cha mabadiliko <strong>katika</strong> maisha ya mtukisichoepukika-kustaafu,mtoto kuondoka nyumbanikufiwa <strong>na</strong> mzazi,kufiwa <strong>na</strong> mwenza.Mchakato Wa Kujengeka KwaHali Ya Kuvurugikiwa• Ni yapi baadhi ya mambo ambayo ya<strong>na</strong>wezakusababisha hali ya kuvurugikiwa kwa watotowaishio <strong>katika</strong> mazingira hatarishi?Bongoa BongoAi<strong>na</strong> Ya Matatizo Makubwa• Matatizo yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> makuzi• ya kawaida, <strong>na</strong> yatarajiwa• kukua toka umri fulani kwenda mwingine• kutoka hatua moja ya kimajukumu ya familiakwenda nyingine• Matatizo ya ghafla• hayategemewi,sio ya kawaida• hutokea ghafla,ya kidharura,<strong>na</strong> ya<strong>na</strong>wezakuwa <strong>na</strong> madhara kwa jamii17


6/11/2012Matatizo Makubwa Ni Hatari Na NiFursa• Fursa• Akisaidiwa/kupewa ushauri <strong>na</strong>saha, mtualiyepitia matatizo makubwa, uwezo wake wakuhimili mambo, kukua kihisia <strong>na</strong> ujuzi wakupitia matatizo ti utamfanya kuwa jasiri i apatapomatatizo hapo baadaye.• Hatari• Bila msaada, mtu a<strong>na</strong>weza kudhoofu kihisia,kushindwa kufanya kazi <strong>na</strong> kufikiri <strong>na</strong> a<strong>na</strong>wezakulaumu watu wengine au kujitetea badala yakukubali ukweli. Huwaza kujiua, hisia za kuuaau matatizo makubwa ya kisaikolojia.Mchakato Wa KuvurugikiwaKutoka<strong>na</strong> Na Kupata Tatizo Kubwa• Kutokea kwa tukio kubwa la ghafla.• Kulitafsiri tukio kwa njia ambayo humpelekea mtukuwa <strong>na</strong> huzuni kuo<strong>na</strong> machungu makubwazi<strong>na</strong>zopelekea tabia hasi.• Huzuni <strong>na</strong> machungu humfanya mtu kushindwakufikiri, kufanya kazi au kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wenginekama hapo awali.• Uwezo wa kulipokea jambo <strong>na</strong> kulikubali hushuka.Jinsi Ya kukabilia<strong>na</strong> Na TatizoJinsi Ya Kukabilia<strong>na</strong> Na TatizoChanganua hali halisi <strong>na</strong> tafuta taarifaKutoa hisia zote hasi <strong>na</strong> chanya <strong>na</strong> kuvumiliaTafuta msaada kutoka kwa watu wengine• Kuligawanya tatizo <strong>katika</strong> sehemu mbalimbali <strong>na</strong>kulishughulikia sehemu moja baada ya nyingine• Kutambua uchovu <strong>na</strong> kuruhusu muda upiote ili uwezoujengeke• Kujitahidi kuzidi kuendelea kuyatawala maeneo mengikadiri iwezeka<strong>na</strong>vyo• Kuzimudu hisia• kuwa tayari kubadilika• Kujiamini pamoja <strong>na</strong> kuamini wengine <strong>na</strong> kuwa <strong>na</strong>matumaini ya matokeo mazuri18


6/11/2012Kushindwa Kuhimili Matatizo Makubwa• Mtu a<strong>na</strong>sumbuliwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> tukio fulani kiasi chakushindwa kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong>lo mwenyewe <strong>na</strong> uwezou<strong>na</strong>pungua.• Hali ya kuvurugikiwa ambayo i<strong>na</strong>weza kuchukuatakriban wiki 4-6.• Haku<strong>na</strong> msaada wa kutosha <strong>na</strong>/au mtu hajishughulishite<strong>na</strong> kutafuta msaada.Kushindwa Kuhimili MatatizoMakubwa• Mtu a<strong>na</strong>shindwa kukabilia<strong>na</strong> kiukamilifu <strong>na</strong> tukio fulani<strong>na</strong> uwezo wake u<strong>na</strong>kua umeshuka• Mtu a<strong>na</strong>achwa akiwa hajajiandaa kihisia kupamba<strong>na</strong><strong>na</strong> matukio mengine ya<strong>na</strong>yoweza kutokea hukombeleni <strong>na</strong> i<strong>na</strong>kua rahisi kuvurugukiwa endapoatapatwa <strong>na</strong> hata tatizo dogo huko mbeleniAfua (Intervention)• Jitahidi kutatua tatizo mapema kumsaidia mtejakumudu tatizo.• Punguza/ondoa wasiwasi.• Zuia kuendelea kuwa <strong>na</strong> hisia mbaya.• Hakikisha aliyepata tatizo hajiumizi.Kutatua Tatizo• Msaidizi ustawi wa jamii a<strong>na</strong>kua mstari wa mbele<strong>katika</strong> kutoa msaada kwani ndugu wa familiahawatakuwa <strong>na</strong> uwezo wakati wa tatizo• Kuwa imara• Kuwa <strong>na</strong> uhakika <strong>na</strong> jambo <strong>na</strong> mtu u<strong>na</strong>yejaribukumsaidia• Kuwa jasiri, mwenye kusaidia• Toa utangulizi u<strong>na</strong>oeleweka wazi• Usiahidi mambo ya<strong>na</strong>yoweza yasitimie• Muongoze mshauriwa19


6/11/2012Jinsi Ya Kusaidia <strong>Wateja</strong> Wa<strong>na</strong>opitiaTatizo <strong>Kujenga</strong> Uwezo Wa Kuhimili• Wasaidie kuwa <strong>na</strong> fikra chanya juu ya maisha yambele• Tilia mkazo hatua ndogo ndogo ambazozi<strong>na</strong>tekelezeka• Sikiliza kwa makini ili kuwapa wateja fursa yakujieleza <strong>na</strong> kutoa hisia zao kwa njia mwafaka• Toa msaada kwa mahitaji ya msingi ya kila sikukama vile, chakula, kuhamasisha jamii isaidiemahitaji ya muda mfupiHatua 3 za Kutatua MatatizoA. Kuunda <strong>na</strong> kudumishaMahusiano•Mbinu za msingi kumsikilizamteja wakati wa mahojiano.• Kumsikiliza Mteja• Kumwangalia mtumachoni, ukaribu, mkao,sauti• Kufuatilisha maneno,huruma (empathy)• Mjali mteja• Kuuliza maswali•-Maswali ya wazi <strong>na</strong> ya mojakwa moja• Kuyarudia maneno <strong>na</strong>kuyafafanua• Kujitambua• -Kutambua hisia chanya,hasi, zi<strong>na</strong>zoweza kuumiza,zenye utata, t hisiai zandanizisizoelezeka• Kufupisha maneno• -Kuunganisha hisia <strong>na</strong> halihalisi.• -Kuunganisha matukio yaawali, hisia bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong>maa<strong>na</strong> ya tukioHatua 3 za Kutatua MatatizoB. Kutambua tatizo <strong>na</strong> tiba ya kitaalamu• Kutambua matukio ya awali,tafuta maa<strong>na</strong> <strong>na</strong>mitazamo juu ya tukio,tambua mifadhaikobi<strong>na</strong>fsi kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> tukio, tambua uwezo wakijamii,kitabia,kitaaluma,<strong>na</strong> kikazi wa sasa auwa awali.• Tathimini ya jaribio la kujiua, matumizi ya dawaza kulevya.• Msaada wa kitaalamu: kielimu, uwezeshaji,kulipa tukio tafsiri mpya.Hatua 3 za Kutatua MatatizoC. Kumudu tatizo• Mtie mteja moyo ili aweze kubuni mbinu zakulimudu tatizo.• Toa mbinu mbadala za kulimudu tatizo:makundi, rufaa ya kisheria au kimatibabu,mashirika mengine.• Ufuatiliaji20


6/11/2012Msaidizi Ustawi A<strong>na</strong>wezaje KusaidiaWakati Wa Matatizo Makubwa?Msaidizi Ustawi A<strong>na</strong>wezaje KusaidiaWakati Wa Matatizo Makubwa?• Saidia kumuunganisha <strong>na</strong> vikundi vya kujisaidiaau watu wenye uzoefu ili watoe mbinu <strong>na</strong> mifano• Wasaidie mtoto <strong>na</strong> familia kutumia mbinuwalizozoea kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> matatizo• Kuendelea kufanya kazi kama kawaida,kuwalea watoto <strong>na</strong> kuendelea <strong>na</strong> kazi zanyumbani kama kawaida• Msaidie mteja kuliangalia tatizo kwa mtazamo tofauti• K.m jinsi tatizo li<strong>na</strong>vyohusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> maisha yakekwa ujumla <strong>na</strong> matatizo mengine ambayoamepitia• Msaidie mteja kuwasaidia watu wengine wenyetatizo kama lake• Himiza kufanya mazoezi <strong>na</strong> starehe• Mazoezi husaidia kupunguza msongo wamawazoKazi Ya Vikundi: Kutatua TatizoKubwa• Jigaweni <strong>katika</strong> makundi ya watu watatu watatu mfanyeigizo la hatua ya awali ya kujaribu kumsaidia mtejaakabiliane <strong>na</strong> tatizo kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> kisa ki<strong>na</strong>chofuata• Igizeni kama: Msaidizi ustawi, Mariam, Mtazamaji• Kwenye igizo Mariamu amepewa <strong>na</strong>fasi ya kuuliza swalilakini bado a<strong>na</strong>endelea kulia <strong>na</strong> amekasirika. Msaidiziustawi atamsaidia aweze kujieleza ya<strong>na</strong>yomsibu <strong>na</strong>baadaye wataanza kutengeneza mkakati wakulishughulikia tatizo• Baada ya igizo mtazamaji atoe mrejesho kwa kundi juu yakile alichokio<strong>na</strong> <strong>na</strong> yale waliyojifunza kwa dakika tano• Kila kikundi kitoe mrejesho darasani kwa kujadili mambo 2au 3 muhimu waliyojifunza kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> igizoKazi Ya kikundi: Kutatua TatizoKubwaKisa:Mariamu ni mwa<strong>na</strong>mke wa miaka 25 ambayeameletwa kwako <strong>na</strong> jirani yake. Msaidizi ustawiamemkuta kwenye hali ya huzuni sa<strong>na</strong>. Amekuaakifanya biashara ya kuuza pombe ya kienyeji iliaweze kuisaidia familia yake ya watu watatu-yeye, y bibi<strong>na</strong> mtoto wake a<strong>na</strong>yeitwa Asha.Asha a<strong>na</strong> umri wamiaka mitano. Bibi amekua akimlea Asha wakatimama yake akiwa kazini. Hivi sasa bibi a<strong>na</strong>umwasa<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> maradhi mengi. Mariamu a<strong>na</strong>fikiriya kwamba hawezi kuacha biashara yake kwanifamilia yake i<strong>na</strong>tegemea hicho kipato. Ha<strong>na</strong> mtu wakumsaidia kumtunza Bibi wala Asha21


6/11/2012Mshituko wa MaonoKukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Madhara ya Mshtukowa Maono.• Mfadhaiko wa kisaikolojia u<strong>na</strong>otoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> matukioya<strong>na</strong>yozidi uwezo wa bi<strong>na</strong>damu kuvumilia.• I<strong>na</strong>husisha:• Woga usio <strong>na</strong> kifani• Hisia za woga zisizo za kawaida• Hali ya kushindwa <strong>na</strong> kukata tamaaMshtuko wa maono utotoniSaikolojia <strong>na</strong> Fisiolojia (ElimuMaungo) ya Mshtuko wa Maono• Huongeza uwezekano wa kuwa <strong>na</strong> matatizo ukubwani• Kihisia• Ki<strong>mahusiano</strong> <strong>na</strong> watu wengine• Kiakili/kufikiri/kifikra• KimwiliTukio laKushtua.Huongezauwezekano wakuwa <strong>na</strong> matatizoukubwaniKihisiaKi<strong>mahusiano</strong><strong>na</strong> watuwengineKiakili/kufikiri/kifikraKimwilimshitukou<strong>na</strong>odumukwa mudamrefuHaki zote zimeifadhiwa © 1999 Bruce D. PerryKubadilikakwaMfumo waFahamu22


6/11/2012Hatua za Mihemko ya Mshtukowa MaonoKukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> TishioWoga usio wa kawaidaWogaMshtuko• Kuwa tayari kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> tishio: Kupamba<strong>na</strong>au kukimbia• Kujitenga: Kusinyaa <strong>na</strong> kukatak tamaaUangalifuUtulivu<strong>Mambo</strong> Ya<strong>na</strong>yoathiri Mhemko<strong>Mambo</strong> Ya<strong>na</strong>yoathiri Mhemko.• Kujitenga (Dissociation)• -Watoto wadogo• -Wa<strong>na</strong>wake• -Mshtuko wa maono u<strong>na</strong>oambata<strong>na</strong> <strong>na</strong> maumivu• -Kushindwa kulikimbia tatizo• Kuibuka hisia kwa hali ya juu (hyper arousal)• Watoto wakubwa• Wa<strong>na</strong>ume• Mshtuko wa maono kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kushuhudia tukio• Mshtuko wa maono kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kushiriki kikamilifu<strong>katika</strong> tukio23


6/11/2012Kumbukumbu <strong>na</strong> Mshtuko• Mshtuko huibua kumbukumbu ambazo hudumu tanguutotoni hadi kuwa mtu mzima.• Kumbukumbu hizi huweza kuathiri uwezo wa mtotokujenga <strong>mahusiano</strong> <strong>na</strong> watu wengine baada ya muda• Hali hii huitwa Mfadhahiko baada ya mshtuko <strong>na</strong>i<strong>na</strong>weza athiri uwezo wa mtoto kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> halitofauti <strong>katika</strong> maisha• Kumsaidia mtoto kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> kupotelewa <strong>na</strong>kuomboleza ku<strong>na</strong>weza kumsaidia kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> halinyingine huko mbeleniKumbukumbu Ya Mshtuko WaMaonoKumbukumbu ya TukioKumbukumbu ya HisiaZihusia<strong>na</strong>zo <strong>na</strong> tukioKumbukumbu yaMihemko ya KimwiliKumbukumbuya MshtukoMfadhaiko Baada ya Mshtuko(Post-Traumatic Stress Disorder)• Dalili hudumu zaidi ya mwezi mmoja• Kumbukumbu za tukio la kutisha kujirudia• Kuendelea kuogopa vitu au mamboya<strong>na</strong>yohusishwa <strong>na</strong> mazingira ambako tukio lakutisha lilitokea.• Kuendelea kuwa <strong>na</strong> dalili za maungo kusisimkakupita kiasi.• Vurugu maono,• Kuwa mwangalifumno• Kutotulia• Kujitenga• SononekoDalili• Kushindwa kupatausingizi• Wasiwasi• Kushindwa kufanyakazi au kufikiri kamahapo awali• Kutokutulia, hasakuwa <strong>na</strong> vishughulivingi24


6/11/2012Kujirudia Kwa MshtukoHali ya mshtuko i<strong>na</strong>weza kujirudiarudia kwa nyakatitofauti. I<strong>na</strong>weza tokea:• Wakati wa kucheza, kuchora-mtoto a<strong>na</strong>wezakuonyesha hali ya kuwa <strong>na</strong> mshtuko wakati akichezaau kuchora• Ndoto mbaya-mtoto a<strong>na</strong>weza kushtuka usiku akipigamayowe au akilia• Mtoto haachi kukumbuka tukio lililompa mshtua• Mtoto ambaye ameadhibiwa a<strong>na</strong>weza kupatakumbukumbu za mshtukoKu<strong>na</strong> Uwezekano Mkubwa MtotoKupata Mshtuko Kama..• Amepitia matukio makubwa <strong>na</strong> ya kutishia maisha• Amepitia matukio yaliyovuruga maisha yakawaida ya kifamilia au ya kijamii ya mtoto.• Hayuko kwenye familia yenye upendo,iliyoshikama<strong>na</strong> <strong>na</strong> yenye kujaliMsaidizi Ustawi A<strong>na</strong>wezajeKusaidia Watoto Na FamiliaAmbazo Zimepata Mshtuko?Bungua BongoMsaidizi Ustawi A<strong>na</strong>wezaKusaidiaje?• Watoto ambao wamepata mshtuko mkubwawa<strong>na</strong>takiwa kupewa rufaa kwenda kwamaafisa ustawi wa jamii, au wataalamu wamagonjwa ya akili• Msaidizi ustawi a<strong>na</strong>weza kusikiliza kwamakini wakati mtoto a<strong>na</strong>elezea hisia zake aukumbukumbu.25


6/11/2012Nini Cha KufanyaNini Cha kufanya.• Chunguza kama dalili za kurudia tabia zaawali,kijitenga,ndoto za mcha<strong>na</strong>,matatizo yausingizi,nk. nk• Msikilize mtoto• Ongea <strong>na</strong> mtoto• Epuka adhabu ya kimwili• Mlinde mtoto• Toa fursa za kuchagua• Ukiwa <strong>na</strong> shaka, tafuta msaada!!Jinsi Ya Kumsaidia Mlezi: <strong>Mambo</strong>Ya KufanyaKazi Ya Vikundi:<strong>Kujenga</strong> Mahusiano Na Mtoto Na Familia• Usiogope kuliongelea tatizo la kutisha.• Toa utaratibu/ratiba ya siku.• Fariji <strong>na</strong> onyesha upendo lakini hakikisha ni muktadhamwafaka wakufanya hivyo.• Ongea <strong>na</strong> mtoto kuhusu matarajio yake kwako <strong>na</strong>utaratibu wako wa nidhamu.• Teueni katibu atakeyetoa mrejesho kesho juu ya mambo mliyojifunza• Tumieni kisa cha kundi lenu(John, Rehema, Koku, Amani)kujadili baadhi yambinu za kujenga uhusiano <strong>na</strong> mtoto pamoja <strong>na</strong> familia yake( dakika 10)• Fanyeni kazi kwenye makundi ya watu watatu <strong>na</strong> mfanye mazoezi ya stadiza kuwasilia<strong>na</strong> (k.mkujitambulisha, kumfanya mteja ajiskie huru, kuonyeshaushirikeli, <strong>na</strong> kuuliza maswali)• Mmoja awe msaidizi ustawi• Mwigine awe mtoto au mwa<strong>na</strong> familia• Mwingine awe mtazamaji wa kutoa mrejesho juu ya yale aliyoyao<strong>na</strong> (Tumia ukosoaji wa kujenga)• Amueni kama m<strong>na</strong>taka kumhoji mtoto au mwa<strong>na</strong> familia. Badilishanenimajukumu walau mara moja au mbili• Jadilianeni mlichojifunza26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!