Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz
(a) Je, Serikali ina mpango gani wa kuisaidia kwa kuhakikisha fedha zinazotengwazinaihudumia pia barabara hiyo ya kutoka Mlimba kwenda Tanganyika Masagati?(b) Baada ya kubaini hilo je, Serikali haioni haja ya kutenga fedha kwa ajili ya ukarabati wabarabara hiyo ya Ifakara - Msagati kwa kiasi kikubwa proportionately sasa kitengewe Mlimba - Masagatiili kufidia kutekelezwa kwake kwa miaka mingi?(c) Kwa kuwa Waziri wa Fedha kwenye Bajeti ya 2003/2004 ametangaza kuwa mafungu yaWilaya yapelekwe moja kwa moja Wilayani badala ya kupelekwa kwa RAS wa Mikoa; je, Serikali kwashida niliyoitaja hapo awali haoni pia kuwa zile fedha tengwa TANROADS Mkoani pia sasa zipelekwe kwaTANROADS Wilayani?NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-Mheshimiwa Spika, kabla ya kujibu swali la Mheshimiwa Abu Towagale Kiwanga, Mbunge waKilombero, napenda kutoa maelezo mafupi sana kama ifuatavyo:-Barabara ya Ifakara hadi Tanganyika Masagati inahusisha sehemu ya barabara ya Taweta hadiTangayika Masagati, ambayo ni barabara ya Wilaya inayohudumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ulangana barabara ya Ifakara hadi Taweta yenye urefu wa kilometa 208.04 ambayo ni barabara ya Mkoainayohudumiwa na Wizara yangu kupitia TANROADS Mkoa wa Morogoro. Barabara hii ina kilometa24.17 za lami na kilometa 181.87 zilizosalia ni za changarawe na udongo.Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imekuwa ikifanya matengenezo mbalimbali katika barabara hiihususan kati ya Mlimba hadi Taweta ambayo ni sehemu ya barabara ya Ifakara hadi Taweta. Katikamwaka wa 1989 barabara hii ilifanyiwa ukarabati wa kiwango cha udongo chini ya mpango wa Kilomberoand Ulanga Rural Roads Project (KURRP). Mpango huu uliofadhiliwa na Serikali ya Uswisi kupitiaShirika lake la SDC uligharimu jumla ya shilingi 300.0 milioni na mradi huu ndio uliiwezesha barabara hiikupitika hadi Taweta.Aidha, katika mwaka wa 1995 Serikali ya Uswisi kupitia mpango wa Morogoro Roads SupportProject (MRSP) ilisaidia ujenzi wa daraja la Mto Mnyera ambalo lilikuwa kikwazo kikubwa katikabarabara hii. Ujenzi wa daraja hili uligharimu jumla ya shilingi 105.0 milioni. Shilingi 45.0 milionizilitolewa na SDC na shilingi 60.0 milioni zilitolewa na Serikali ya Tanzania.Mbali na ukarabati ulioiwezesha barabara hii kupitika, barabara hii pia ilikuwa ikifanyiwamatengenezo ya sehemu korofi. Matengenezo haya yalilenga sehemu korofi na kuzifanya zipitike.Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo mafupi, napenda kujibu kwa kifupi swali laMheshimiwa Kiwanga, Mbunge wa Kilombero, lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:-(a) Serikali inatambua umuhimu wa barabara ya Ifakara - Taweta kama nilivyoeleza katikamaelezo yangu ya utangulizi. Aidha, jumla ya shilingi 126 milioni ambazo zilitengwa kwenye Bajeti ya2003/2004 zimeshatumika kwa kuifanyia ukarabati sehemu ya barabara hiyo kati ya Mlimba-Mpanga hadiUtengule. Serikali inaendelea kutafuta fedha hii ili kuimarisha barabara hiyo yenye kilometa 37 kati yaMpanga na Taweta.(b) Kama nilivyoeleza katika sehemu (a) ya swali la Mheshimiwa Mbunge, Wizara yanguinaendelea kuimarisha barabara ya Ifakara hadi Taweta kwa awamu, kadri ya upatikanaji wa fedhautakavyoruhusu na hivyo kuchangia maendeleo ya Wilaya Ulanga.(c) Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la kupeleka fedha moja kwa moja katika Wilayahusika, Wizara yangu kupitia Ofisi ya TANROADS Mkoa, huwa inatenga fedha kulingana na bajeti na piakufuatana na vipaumbele vilivyowekwa kwa kila barabara na utaratibu huu hauna athari zozote kwabarabara za Mkoa zilizopo Wilayani. Aidha, fedha kwa ajili ya barabara za Wilaya kutoka katika mfuko
- Page 1 and 2: BUNGE LA TANZANIA_______________MAJ
- Page 3: jana tarehe 5 Februari, 2004, suala
- Page 6 and 7: La pili ni kwamba, Mkandarasi huyu
- Page 10 and 11: wa barabara hupelekwa moja kwa moja
- Page 12 and 13: Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swa
- Page 14 and 15: miradi umeanza kutumika mwaka 1994
- Page 16 and 17: NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO NA UCHU
- Page 18 and 19: Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, tunacho
- Page 20: Kwanza kabisa, naomba ieleweke kwam
- Page 23 and 24: the regulations say candidates will
- Page 25 and 26: DEPUTY SPEAKER: Have you colleted a
- Page 27 and 28: the nomination day. Thereafter no w
- Page 29 and 30: DEPUTY SPEAKER: He trust them okay,
- Page 31 and 32: DEPUTY SPEAKER: Honourable Benedict
- Page 33 and 34: HON. BENEDICTO M. MUTUNGIREHI: I tr
- Page 35 and 36: MEMBERS OF THE PARLIAMENT: No quest
- Page 37 and 38: HON. ANATORY K. CHOYA: Thank you ve
- Page 39 and 40: HON. WILLIAM J. KUSILA: No, I trust
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Spika, ahsante sana na n
- Page 43 and 44: Sasa sijui ni dump au bei ni cheap
- Page 45 and 46: Kama tunaka Watanzania wote, Serika
- Page 47 and 48: MHE. MBARUK KASSIM MWANDORO: Mheshi
- Page 49 and 50: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante san
- Page 51 and 52: Baada ya kuyasema hayo, nilikuwa na
- Page 53 and 54: Muswada huu ili kuidhinisha Sheria
- Page 55 and 56: kuleta Muswada huu, Muswada ambao u
- Page 57 and 58: msaada yanauzwa sh.50. Mfanya biash
(a) Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuisaidia kwa kuhakikisha fedha zinazotengwazinaihudumia pia barabara hiyo ya kutoka Mlimba kwenda Tanganyika Masagati?(b) Baada ya kubaini hilo je, Serikali haioni haja ya kutenga fedha kwa ajili ya ukarabati wabarabara hiyo ya Ifakara - Msagati kwa kiasi kikubwa proportionately sasa kitengewe Mlimba - Masagatiili kufidia kutekelezwa kwake kwa miaka mingi?(c) Kwa kuwa Waziri wa Fedha kwenye Bajeti ya 2003/2004 ametangaza kuwa mafungu yaWilaya yapelekwe moja kwa moja Wilayani badala ya kupelekwa kwa RAS wa Mikoa; je, Serikali kwashida niliyoitaja hapo awali haoni pia kuwa zile fedha tengwa TANROADS Mkoani pia sasa zipelekwe kwaTANROADS Wilayani?NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-Mheshimiwa Spika, kabla ya kujibu swali la Mheshimiwa Abu Towagale Kiwanga, M<strong>bunge</strong> waKilombero, napenda kutoa maelezo mafupi sana kama ifuatavyo:-Barabara ya Ifakara hadi Tanganyika Masagati inahusisha sehemu ya barabara ya Taweta hadiTangayika Masagati, ambayo ni barabara ya Wilaya inayohudumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ulangana barabara ya Ifakara hadi Taweta yenye urefu wa kilometa 208.04 ambayo ni barabara ya Mkoainayohudumiwa na Wizara yangu kupitia TANROADS Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro. Barabara hii ina kilometa24.17 za lami na kilometa 181.87 zilizosalia ni za changarawe na udon<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imekuwa ikifanya matengenezo mbalimbali katika barabara hiihususan kati ya Mlimba hadi Taweta ambayo ni sehemu ya barabara ya Ifakara hadi Taweta. Katikamwaka wa 1989 barabara hii ilifanyiwa ukarabati wa kiwan<strong>go</strong> cha udon<strong>go</strong> chini ya mpan<strong>go</strong> wa Kilomberoand Ulanga Rural Roads Project (KURRP). Mpan<strong>go</strong> huu uliofadhiliwa na Serikali ya Uswisi kupitiaShirika lake la SDC uligharimu jumla ya shilingi 300.0 milioni na mradi huu ndio uliiwezesha barabara hiikupitika hadi Taweta.Aidha, katika mwaka wa 1995 Serikali ya Uswisi kupitia mpan<strong>go</strong> wa Moro<strong>go</strong>ro Roads SupportProject (MRSP) ilisaidia ujenzi wa daraja la Mto Mnyera ambalo lilikuwa kikwazo kikubwa katikabarabara hii. Ujenzi wa daraja hili uligharimu jumla ya shilingi 105.0 milioni. Shilingi 45.0 milionizilitolewa na SDC na shilingi 60.0 milioni zilitolewa na Serikali ya Tanzania.Mbali na ukarabati ulioiwezesha barabara hii kupitika, barabara hii pia ilikuwa ikifanyiwamatengenezo ya sehemu korofi. Matengenezo haya yalilenga sehemu korofi na kuzifanya zipitike.Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo mafupi, napenda kujibu kwa kifupi swali laMheshimiwa Kiwanga, M<strong>bunge</strong> wa Kilombero, lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:-(a) Serikali inatambua umuhimu wa barabara ya Ifakara - Taweta kama nilivyoeleza katikamaelezo yangu ya utangulizi. Aidha, jumla ya shilingi 126 milioni ambazo zilitengwa kwenye Bajeti ya2003/2004 zimeshatumika kwa kuifanyia ukarabati sehemu ya barabara hiyo kati ya Mlimba-Mpanga hadiUtengule. Serikali inaendelea kutafuta fedha hii ili kuimarisha barabara hiyo yenye kilometa 37 kati yaMpanga na Taweta.(b) Kama nilivyoeleza katika sehemu (a) ya swali la Mheshimiwa M<strong>bunge</strong>, Wizara yanguinaendelea kuimarisha barabara ya Ifakara hadi Taweta kwa awamu, kadri ya upatikanaji wa fedhautakavyoruhusu na hivyo kuchangia maendeleo ya Wilaya Ulanga.(c) Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la kupeleka fedha moja kwa moja katika Wilayahusika, Wizara yangu kupitia Ofisi ya TANROADS Mkoa, huwa inatenga fedha kulingana na bajeti na piakufuatana na vipaumbele vilivyowekwa kwa kila barabara na utaratibu huu hauna athari zozote kwabarabara za Mkoa zilizopo Wilayani. Aidha, fedha kwa ajili ya barabara za Wilaya kutoka katika mfuko