10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

msingi, je, Mheshimiwa Waziri haoni kwamba kama si kuwalipa mishahara basi wapewe posho maalumambayo itakuwa kivutio cha kwenda kule Vijijini? (Makofi)WAZIRI WA ELIMU NA UTAMADUNI: Mheshimiwa Spika, kuhusu kutambua uchache wawalimu, hili linafahamika katika Serikali na pia ndani ya Bunge hili, ndio maana katika Mpan<strong>go</strong> waMMEM imepangwa kufundisha na kuajiri walimu wapya 45,000 na tayari katika miaka miwili ya mwanzoya MMEM tumeajiri walimu 25,000 wakiwemo wale 15,000 waliokuwa wana vyeti mwaka 2000wakisubiri ajira. Kwa hiyo, kero ya kusubiri ajira tumeimaliza kabisa.Pia mwaka 2003 walimu wapya waliotoka katika Vyuo ni 15,000 ambao tena wamepangiwakatika Wilaya mbalimbali kwenda kupunguza uhaba huo. Kwa hiyo, uhaba wa walimu uliopotunaushughulikia kwa kufundisha na kuajiri walimu wapya. Tatizo nililolisema pale mwanzo, hataukiweka posho maalum kwa walimu katika maeneo magumu, bado itabidi kama Serikali tujibu watumishiwengine wa Serikali walio katika maeneo hayo hayo na wanafanya kazi. Waingereza wanasema: "What is<strong>go</strong>od for the <strong>go</strong>ods is <strong>go</strong>od for the gender". Unachoona kizuri kwa mmoja na kwa mwingine ndani yaSerikali itabidi kiwe kizuri hivyo hivyo kwa sababu wanafanya kazi katika mazingira yanayofanana.(Makofi)Na.49Barabara ya Mlali - Makutupa - Mang’wetaMHE. GEORGE M. LUBELEJE aliuliza:-Kwa kuwa barabara ya kutoka Mpwapwa hadi Mlali kupitia Vijiji vya Lupeta, Makutupa, Mbori,Mang’weta, chamkoroma Suguta hadi Mlali ni mbaya sana; na kwa kuwa Serikali imefanya kazi nzuri yakutengeneza barabara ya Lupeta hadi Makutupa yenye urefu wa Kilometa 7.5 na pia kutengeneza barabaraya Chamkoroma hadi Mang’weta Kilometa tano:-(a) Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kutengeneza eneo la barabara lililobaki kuanziaMakutupa hadi Mang’weta yenye urefu wa Kilometa 15 ili kuunganisha barabara hiyo muhimu kiuchumi?(b) Je, Serikali itakubaliana nami kwamba iwapo barabara ya Makutupa - Mang’weta kupitiaMbori itatengenzwa, eneo kubwa la barabara ya kutoka Mpwapwa hadi Mlali itakuwa imefanyiwamatengenezo na kupitika bila matatizo yoyote?NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-Mheshimiwa Spika, kabla ya kujibu swali la Mheshimiwa George Lubeleje, M<strong>bunge</strong> waMpwapwa, napenda kutoa maelezo mafupi kama ifuatavyo:-Barabara ya Ng’ambi kwenda Mpwapwa - Mlali hadi Pandambili inayopita kwenye Vijiji vyaLupeta, Makutupa, Mboli, Mang’weta, Chamkoroma na Suguta inahudumiwa na Wizara ya Ujenzi kupitiaWakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Dodoma. Barabara hii ina jumla ya urefu wa Kilometa 105.Katika mwaka wa fedha 2002/2003, sehemu ya barabara hii ya Lupeta hadi Makutupa jumla yaKilometa 7.5 zilifanyiwa matengenezo ya dharura na kati ya Chamkoroma hadi Suguta jumla ya Kilometa6.9 zilifanyiwa matengenezo ya sehemu korofi hivyo kubakiza kipande cha urefu wa Kilometa 48.6kuanzia Makutupa hadi Mang’weta na Chamkoroma hadi Suguta na Mlali hadi Pandambili kilometa 19.4,hizi hazipo katika hali nzuri.Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo mafupi, napenda sasa kujibu swali la MheshimiwaGeorge Lubeleje, M<strong>bunge</strong> wa Mpwapwa, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-(a) Mheshimiwa Spika, Serikali inatambua umuhimu wa kufanya matengenezo sehemu hiiya barabara inayojumuisha eneo kati ya Makutupa hadi Mang’weta pamoja na kuendelea kufanyia

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!