10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

sababu umepata gari ya milioni tatu badala ya milioni ishirini, lakini wenzetu wanakuwa wamepata rahapia kwamba wameondoa huo mzi<strong>go</strong> uliokuwa unawapa shida namna ya kuu-dump.Mheshimiwa Naibu Spika, sasa mimi hoja yangu inakuja tu moja kwa moja kuhusiana na sera zetuza nchi. Naomba niseme kwamba haya yote tumeyataka wenyewe aidha kwa kupitia sera zetu ambazo siendelevu kwa sababu hatukuwa na haja ya kuagiza mitumba, tulikuwa na viwanda vya MWATEX, pamba niyetu tunapeleka Ulaya wanatengeneza nguo, wanazivaa, wakishamaliza kuvaa wanatuletea marapurapu,pamba yetu. Sasa ni nani wa kulaumiwa sera au uon<strong>go</strong>zi?MBUNGE FULANI: Mwibara.MHE. MUTAMWEGA B. MGAYWA: Mwibara! Sasa nitawaambia Mwibara kwa ninihailaumiwi. Sasa hilo mimi ninaomba moja kwa moja tujilaumu sisi vion<strong>go</strong>zi kwamba aidha hatujafanyala maana sana au tumejisahau, kama pamba ni yetu kwa nini sisi tuvae mitumba? Mimi juzi nilikuwanaongea na mtu mmoja, I was in America, let me tell you. Sasa tulikuwa Palm Beach Marekani na nibahati njema kwamba tulikuwa na Mheshimiwa hapa, sasa yule Mzungu, Mzungu mmoja alikuwa anaintendkuja kufanya biashara hapa kwetu walituita kwenye chakula cha jioni, Mheshimiwa unakumbuka,usiiname. (Kicheko)Mheshimiwa Naibu Spika, yule Mzungu kwanza aliuliza, mnazalisha nini Mara, tukamwambiapamba. Akasema ohoo, kuna watu wengi sana wanapenda pamba, wana viwanda vya pamba. Akaulizabei, tukamwambia mkulima tunamlipa shilingi 150, lakini nikamwambia ni senti kumi na tano. Yeyehakuamini, akaniambia senti kumi na tano utamlipaje? Tukaangalia ile bei ya pamba kilo moja inazalishanini. Yeye akasema kilo moja inatoa mpaka laki moja. Kwa sababu kilo moja ina uwezo wa kutoa mashatikumi na tano na shati moja linaenda dola saba, saba mara kumi na tano ni ngapi? Laki moja. Sasaakajiuliza unamlipaje mtu shilingi 150 wakati pesa hiyo kwa hapa Marekani ni ndo<strong>go</strong>? Yeye akaniambiatunaweza basi kufanya biashara. Sasa mimi nilikuwa najaribu kuwaambia kwamba hii yote imetokana nakwamba pamba yetu hatuiweki kwenye viwanda vyetu, matokeo yake tunakwenda kupeleka huko nje,tunapangiwa na wao wenyewe, lakini wao mkulima wao wapo tayari kumlipa dola mbili mpaka tatu, lakiniwewe watakulipa senti kumi na tano. Sasa hiyo yote ni sisi tumejitakia ndiyo maana nikasema kwamba sisivion<strong>go</strong>zi tunatakiwa kuwa makini, hatuna haja ya kuwa dumping la mitumba, hakuna sababu ya sisikuagiza toys, siku hizi unakwenda pale Dar es Salaam unakuta mpaka toys zinakuja za mitumba, toys!Mheshimiwa Naibu Spika, sasa mimi nilichokuwa nataka kusema ni kwamba imefikia wakatitulinde viwanda vyetu kama hivi MWATEX. Mimi nitawashtua kido<strong>go</strong> lakini naomba mkubaliane na halihalisi kwamba kuna Watanzania wenye vichwa, mtake msitake wapo Watanzania wenye vichwa, lakinitumewazima sisi wenyewe. Mimi juzi nilikuwa na Watanzania wawili na mpaka sasa hivi ninawa-sponsor.Wale Watanzania wamebuni gari, kuanza kuunda gari na lile gari tumekaa nao na mmoja mimi juzinimempa hela aende kule afanye research.WABUNGE FULANI: Wapi?MHE. MUTAMWEGA B. MGAYWA: Naomba nimalize point yangu, Waheshimiwanawaomba nina hoja muhimu kuhusu hili. Mimi nimeangalia ile gari thamani yake inakwenda kwenyemilioni nne mpaka sita na hiyo gari bado ni mtumba na tayari imetembea kilomita laki nzima na inaanzaku-smoke, inaleta madhara pamoja na kwamba ndiyo tunaona tumepata nafuu. Lakini wale watu wamekujawameniletea wazo, nikawaambia mimi nipo tayari kuwa-sponsor na wamefanya research yao inakwendavizuri tu, wameagiza engine brand new ambayo ina cost kama shilingi laki nane, wana develop ile bodyhapa hapa ambayo itakuwa ni gari aina ya Saloon, cost yake nzima itagharimu kama milioni tatu na lakitano. Ndiyo maana nilikuwa nataka nimwombe Mheshimiwa Waziri wa Viwanda anikubalie hili kwambaresearch yetu tunatarajia mwezi wa sita mpaka wa saba itakuwa tayari, tutamletea hiyo gari ya Kitanzaniaya kwanza. Nafikiri kwa Afrika itakuwa ni nchi ya pili baada ya South Africa kutengeneza gari. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, tukishamletea Mheshimiwa Waziri tunaomba atukubalie kuondoa huoushuru kama anavyosamehe wawekezaji wengine ili hii gari iwe ya bei nafuu kwa Watanzania ili i-costkiasi cha milioni tano mpaka sita, uwe unapata gari brand new, ni kitu kinawezekana.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!