10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

General Tyre kinaendelea kufanya kazi nzuri lakini kitu kimoja tu kuwa General Tyre haizalishi matairiya kutosha kwa soko la ndani, pia soko la nje linahitaji matairi ya General Tyre. Sasa hiki ni kiwandakizuri ambacho kinafanya kazi nzuri na kinahimili ushindani kibiashara. Kuna viwanda vya BuildingMaterials (vifaa vya ujenzi) wote tunajua kuwa building materials zinazotoka nje sasa hivi bei zake nindo<strong>go</strong> katika masoko yetu lakini building materials nyingi zinazozalishwa hapa bei yake ni kubwa sanakwa sababu ya hali ya uzalishaji ni mgumu na kuna gharama nyingi za uzalishaji kwa mfano umeme,maji, malighafi na kadhalika.Mheshimiwa Naibu Spika, mimi ningeomba Serikali kupitia Muswada huu iangalie vizuri jinsiya kuvisaidia viwanda hivi viweze kushindana vizuri na bidhaa zinazotoka nje. Ukweli ni kuwa zile bidhaazinazotoka nje kwa ubora ule ule, wakati mwingine ni za ubora mzuri zaidi, zinauzwa bei ndo<strong>go</strong> kwasababu zinakozalishwa mazingira ni mazuri kwa sababu wao wana teknolojia, malighafi na vifaa vyote vyakusaidia kuzalisha. Kwa hiyo, itakuwa ni common sense tu kuwa bidhaa hizi zinaingia hapa zinauzwa kwabei ndo<strong>go</strong> kwa sababu zinazalishwa kwa gharama ndo<strong>go</strong>. Haya ndiyo maeneo ya kuangalia jinsi yakuvisaidia viwanda vyetu.Mheshimiwa Naibu Spika, tatu, huu Muswada tunaupitisha leo lakini bado unahitaji elimu kwawananchi ili wauelewe vizuri kwa sababu tafsiri nyingi sana zinajitokeza na zinapotosha katika Muswadahuu. Katika Muswada huu naona itabidi tuwaeleweshe wananchi kusudi wasije wakatuelewa vibayakwamba tunapitisha Muswada wa kuzuia bidhaa ambazo ni rahisi na zinaleta unafuu kwa maisha yao. Sisikama Bunge tunapitisha Muswada wa kuzuia bidhaa za bei rahisi zisiuzwe hapa nchini. Itakuwa matatizokwa sababu wananchi hawatalielewa Bunge kwa sababu wao ni maskini, kwa hiyo wanahitaji bidhaa zabei nafuu. Kwa hiyo, bidhaa za kwetu hapa ndani bei zipo juu kwa sababu mazingira ya uzalishaji nimagumu. Ningeomba Muswada huu utakapotangazwa kwa wananchi tutumie lugha ile ambayoitawafanya waelewe kuwa ni Muswada wa kulinda viwanda vyetu na siyo kuwakandamiza walaji hasawananchi wa kawaida.Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu Kamati ambayo imetajwa katika kifungu cha tano, miminingeshauri kuwa pawepo katika Kamati mwakilishi wa walaji (One member representing consumersorganizations). Pia kwa sababu suala la kupeleleza na kuchunguza ukiukaji huu wa dumping utahusishapia Wizara ya Mambo ya Nje kama kwa mfano bidhaa zinazotoka India, tunahitaji kutumia Ubalozi wetukuchunguza kama kweli bidhaa hizi zimeingizwa kwa makusudi ambayo tunaona kuwa ya kuvuruga sokola bidhaa zinazozalishwa nchini. Kwa hiyo ningeomba uwakilishi uongezwe hasa katika sekta binafsi.Kuhusu suala la kuteua Makamu ninashauri mwakilishi wa TCI awe Makamu Mwenyekiti kwa sababukwanza ukitazama orodha ya uwakilishi katika Kamati hii ni watu wa Serikali au toka taasisi za Wizara nataasisi za Serikali na Serikali imejiondoa katika biashara na katika kuzalisha bidhaa. Kwa hiyo,ningeomba labda kama tutaongezea watu wa sekta binafsi pamoja na kuteua Makamu ambaye atakuwaMakamu Mwenyekiti atokane na Tanzania Chamber of Commerce. (TCC)Mheshimiwa Naibu Spika, kwa haya machache narudia tena kusema naunga mkono Muswada huuna namwomba Mheshimiwa Waziri ausimamie vizuri utekelezaji wake. Ahsante sana. (Makofi)MHE. MUTAMWEGA B. MGAYWA: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza naomba nikupeshukrani zangu za mwaka mpya kwa kunichagua mwaka huu kuweza kuchangia hapa Bungeni. Pianaomba nitoe shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwawezesha Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> na Watanzaniakuendelea kuwa hai katika mwaka huu 2004. Kwa hiyo, naomba tuzidi kumshukuru Mungu.Mheshimiwa Naibu Spika, nadhani Muswada huu umekuja muda muafaka na zaidi kwangu mimihili suala limekuwa linanipa shida. Kama inakumbukwa ilikuwa ni mwaka jana tu nimechangia hoja mojakuhusiana na kuagiza magari ya mitumba kwa maana ya magari ya second hand kutoka Ulaya. Nilijaribukuchambua athari zake za dumping kwa maana kwamba wenzetu wanapoona kuwa ile gari imekwishamuda wake ambao ni miaka minne, wanajua imeanza ku-smoke, wanajua madhara yake kwa wananchiwake, wanajua madhara kwa maana kwamba sasa ina-smoke inaharibu mazingira. Halafu pili, inawezakuhatarisha uhai wa wananchi wa nchi hiyo kwa maana ya kutoa moshi na hivyo kusababisha kifua kikuu.Kwa hiyo, basi wanaona is better watafute sehemu ya ku-dump. Sasa kwetu sisi tunaona ni raha kwa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!