10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

msaada yanauzwa sh.50. Mfanya biashara akaamua wauze sh.50/=. Kunakuwa na ka-the examption kuwakitu kama hicho kunakuwa kwenye Kamati itatoa examption kwa mfano wakati wa njaa unaamua upelekemahindi Ngerengere au Kidunda au Mkulazi au upeleze the Bin<strong>go</strong> Ukerewe, au Ngerengere, ndiyo nanihuyo anasema huko? (Kicheko)Ukiuza tu umeamua tu kwamba unauza kwa sh.50 kusaidia wananchi. Sasa chini ya sheria hiisijui inaivunja au vipi kwa anti-dumping, kwa sababu mwingine anafikiria bei tu. Nilisema tunasemakwamba price is the monitory expression of the value of a commodity lakini value peke yake haiwezi kusatisfieskuwa price kwa sababu kama value ndio kweli ina-satisfies kwa price basi ingekuwa block ofivory ingeuzwa bei kubwa sana kule Greenland ambapo haiwezi kununulika au unachukuwa ngalawa yadhahabu ukaiuze jangwani hainunuliki. Kwa hiyo, price waliangalia watalaam ile (p) kumbe ni paymentimebaki vile vile na ile (r) ni ranks inabaki vile vile na ile (i) ni importance ya commodity, (e) ni exchangeunapata price. Kwa hiyo, bei isizingatiwe sana katika kuangalia ushindani wa kuuwa viwanda vyetutuangalia aina ya production ya viwanda inayotolewa kama tuna uwezo wa kuhimili katika hilo.Halafu hivi viwanda vya EPZ, tumeunda Sheria ya EPZ (Export Processing Zone) ambazovitajengwa nchini hapa, viwanda vile vinatengeneza hapa nchini bidhaa zinapelekwa nje wakaenda kulewakaweka label ikaandikwa Hong Kong vikarudishwa hapa nchini tena mkauziwa bei nafuu. Sasa nenooriginal country itakuwa ni nini hapa? Original country inakuwa ni Tanzania sasa tutajiuliza wenyewehapa, hii Kamati itapata taabu kuja kuiuliza Tanzania tena kwamba mmetengeneza kitu hiki kikaenda njekikawa- subsidize katika nchi, kwa hiyo ame-import kule Japan lakini amesema hii lazima ipelekweTanzania kwenda kuuza kule kule lakini akaweka label ya kiwanda ambapo kiwanda cha hapa hakitaitwajina la Tanzania kitaitwa jina lake la ki-EPZ. Sasa original country ni ipi katika ile sheriainavyotaja?Mheshimiwa Naibu Spika, unapoona Wa<strong>bunge</strong> wanazungumzia athari na tahadhari ya Muswadaujue maana yake wamekubaliana na vipengele vilivyomo ndani ya Muswada wenyewe kwa hiyowanaogelea hawaogi len<strong>go</strong> ni kuvuka sio kuwa msafi. Ndio maana Wa<strong>bunge</strong> wanazungumzia tahadhari nakuweka tahadhari na haya ni mazuri ili Waziri ajiweke tayari katika utekelezaji. Wakati mwingine unawezaukakuta ikaleta m<strong>go</strong>ngano katika utekelezaji wa vitu hivi.Nilieleza production ya baadhi ya vitu, kuna jedwali kubwa tu kwamba production yetuhaitoshelezi Watanzania kwa vifaa mbalimbali vya viwandani. Kwa hiyo, unapovilinda vile kuwepo naexception kuwaruhusu watu kuja kujazia lile pen<strong>go</strong> la vitu hivyo. Sasa haviwezi kuwa na bei sawa na vilekwa sababu hapa production yetu capacity na gharama ya uendeshaji ni mkubwa. Kwa hiyo, Watanzaniawanapenda vitu rahisi, ningeomba Waziri uwaelimishe kwamba huu Muswada hauzuii vitu rahisi ambavyopia ni bora. Kama vitu bora vinakuja kutoka nje Watanzania wanataka wavinunue lakini bei yake rahisikama shati shilingi mia mbili sasa hapa shati la Tanzania likiwa Sh.2,300 Watanzania wanataka kiturahisi.Kwa hiyo, Muswada huu nadhani sio tunaunda Tume ya bei tena ambayo tuliifuta ni Muswadaambao unakwenda mbele zaidi ambao unaelezea mlinganisho wa baadhi ya viwanda vya nchi kubwaambavyo vinazalisha kwa bei nafuu vinavyoleta nchini ambayo ni masharti magumu kwa Watanzaniakuelewa wanataka elimu kubwa kweli kweli kama semina waliyopewa Wa<strong>bunge</strong> ama sivyo inaelekeakwamba Watanzania hatutaki vitu vya bei rahisi vinavyotoka nje wanataka vitu vya ghali. Kwa hiyo,baada ya Muswada huu kupita elimu itembee kwenda kuwaeleza uwaambie sasa hivi pamoja na kusemachema chajiuza kibaya chajitembeza sasa tubadilishe msemo tuseme kibaya hutupwa chema ndiokinajitembeza.Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja, ahsante. (Makofi)MHE. ABU T. KIWANGA: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza, nawatakia Wa<strong>bunge</strong> wotekheri ya mwaka mpya na pia kuwapongeza wale wenzetu ambao watakwenda kwenye Bunge la Afrika.(Makofi)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!