10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Nikaona hii labda hii Kiswahili cha Muswada Kisheria. Akaniambia hiyo siyo Kiswahili cha taaluma yaKiswahili. Hapana hii labda cha Kisheria. Labda kaka yangu atanitafsiria zaidi kwamba kama kweliMuswada wa uzalishaji wa nje wenye nia ya kukuza ushindani ndiyo Anti-Dumping. Nilidhani Anti-Dumping katika mawazo yangu ni kutupiwa bidhaa hafifu sasa tunazuia hili.Lakini kwa hili nalo mimi kwa bei ni kutupiwa vile vile nina mashaka. Napongeza kwa sababukatika hotuba yako Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara ulizungumza mengi kuhusu sheria hii.Kwa hiyo, umetekeleza wajibu wako katika kuleta hili. Kwa hiyo, nakupongeza kwa hilo. Kuna vipengelevichache. Nimeangalia hivi viwanda vinavyolindwa nchini, nakaangalia capacity ya production yakekwanza ujiangalie unajitegemea vipi. Nikaangalia kwenye jedwali la kitabu cha hotuba ya Waziri yamwaka jana ambayo imeandikwa na Dr. Juma Ngasongwa ukurasa wa 53 pale ameandika, "Uzalishaji wabaadhi ya viwanda, bidhaa viwandani". Nikachukua sample tatu tu. Sampuli tatu. Naomba tafadhali sananitawapatieni vikaratasi ili muone jinsi viwanda vyetu vinavyozalisha nchini vinavyolindwa. Sehemu tatunilizochukua, nikachukua sasa sampuli kwanza ya kuhusu upande wa nguo, nikawa na nguo square metre63,279 zilizalishwa katika mwaka 1990 wakati ule tumepongezapongeza kiwacha chetu cha nguo, sasa hivitunazalisha square metre 843,225. Nikafanya mahesabu ya haraka haraka kila Mtanzania kwa kukopeshwana hivyo atavaa mita ngapi. Nikaona kwa Watanzania milioni 28 tumeona watu 300 watavaa mita mojakwa mwaka mmoja. Kwa hesabu za haraka haraka. (Kicheko/Makofi)Tukaangalia vile vile kwenye radio capacity, upande wa betri ndiyo viwanda vyetu vinavyozalishahivyo. Betri tunazalisha milioni 21 mwaka huo 90, mwaka 2001 tulizalisha 39, milioni. Kwa Watanzaniawenye redio 100 kwa Watanzania tumesema kwa watu 100 wana redio moja tu kwa sasa wanatumia betri15 kwa mwaka mmoja kwa hesabu za haraka haraka. Sasa hapa nimeiona kwamba tutalinda baadhi yaviwanda vingine itabidi tuagize kwa sababu hakuna nchi inajitosheleza. Ukiongelea kwenye web sitepamoja na Marekani inajitosheleza, inajitegemea lakini inaagiza vitu kutoka Japan, Japan inajitegemeainaagiza vitu toka Marekani, inaagiza pamba kutoka kwetu, inaagiza hata kahawa kutoka Tanzania. Kwahiyo, ni utandawazi wa biashara. Kwa hiyo, nikaona kwamba kwa nini basi Muswada huu unaweka bayanamambo haya. Inazuia dumping kwa nchi hii kwa sababu gani, kwa kuwa kuna baadhi ya bidhaa zinakujanchi za wenzetu wanasema wanauza bei rahisi, wanasema wana betri zinauzwa sh.100 wakati za kwetuzinauzwa 200. Nikaangalia kwa nini.Moja ya sababu zilizotajwa ni kwamba pengine wanapewa ruzuku na Serikali zao, moja. Lakininyingine gharama nafuu za uendeshaji katika maeneo hayo. Utakuta menejimenti pengine ya betri utakutamameneja pengine wako 10. Kwa hiyo, uendeshaji na tupunguze katika gharama ya uendeshaji. Halafunyingine vile vile gharama za aina aina za kodi zilizokuwa zinaambatana katika kifaa kimoja. Tariff yauendeshaji wa upande wa power production pamoja katika Comwonwealth countries na SADC kunakinaitwa Rasimu ya Sera ya SADC katika ibara ya 44 ulitaja katika hotuba yako katika East AfricanCommunity tumezungumza Common External Tariff ambayo mfumo wa forodha zisizofanana lazimamtatoa kifaa ambacho kina bei tofauti. Vile vile tumeangalia katika upande wa matangazo sisi tumekuwawavivu katika kutangaza vitu vyetu. Huwezi ukauza kitu ukakuta nyanya imeoza ukatangaza nyanyaimeoza, nyanya imeoza, hainunuliki. Badilisha sema masalo. Watu wataipenda. (Kicheko)Maziwa yamechacha, unatangaza, maziwa yamechacha au yamechachuka. Sema mtindi,watanunua watu. Hiyo ndiyo lugha ya biashara. Teknolojia hafifu, mifumo ya uchumi nchini. Nchihuenda kujilinda yenyewe kwa kuvilinda bidhaa zake yenyewe, hii haiwezekani kwa sababu inanakili naamiba mpaka tunda lake. Lakini linaliwa. Lazima kuweko na mtu mwingine wa kulilinda, vyombo vyakudhibiti viwekwe katika kuangalia. Je yeyote aliyenunua hivi vitu upande wa ubora tumeweka ubora wabidhaa tumeweka vyombo mbalimbali kama vile Baraza la Fair Compitition, TBS, TIRDO na vitu vinginevingine, labda kuunda Baraza lingine wanaangalia mambo ya fair competitin katika bidhaa za bandani navya nje kwa kutoangalia bei peke yake. Nchi inachukuliwa kulinda viwanda vyake lakini iangalie namfumo wa uzalishaji na gharama za uzalishaji. Sababu za urahisi wa vitu hivi nilivitaja. Lakini sababu zagharama niliangalia zile gharama, gharama hizi zinasababishwa na hayo mambo niliyoyataja hapo juu.Kuna kitu ambacho kinaitwa praice. Bei inapanda kutokana na kutokuwepo kwa vitu. Lakinikwa kipindi kama hiki kwa mfano mtu akileta mahindi kwa mfano tunayo mahindi ya kwetu hapa kwamfano ya shilingi 500 kilo grm kipindi hiki cha njaa. Sasa watu wame-subsidize wameleta mahindi ya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!