10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. (Makofi)MHE. BENEDICTO M. MUTUNGIREHI: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante kwa kunipanafasi ya kuchangia katika Muswada ulipo mbele yetu. Nitaomba radhi kido<strong>go</strong> kwa sababu kwa haliilivyokuwa asubuhi, nataka kuwapongeza wenzangu ambao wameshindwa kwa kishindo kuwa katikaBunge la Afrika. Nawapongeza sana. (Makofi)Vile vile napenda kuwapongeza ambao hata mimi hawakunichagua kwa sababu tulikuwa wengi,sasa nisingeweza kujipendelea kwamba kura zote wanipe mimi na pengine labda ni kutokana na udhaifuambao waliona ninao. (Makofi)Mwisho kabisa niwapongeze wale wote ambao walinipa kura zao kwa sababu nilidhani tungepigakichama, basi mimi ningepata kura nne au tano, lakini niliweza kupata kura 25. Kwa hiyo, nawashukurusana hawa ambao walikuwa courageous enough kunichagua. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kuyasema hayo, nadhani sasa nitajirekebisha maana yakewaliniambia kwamba sauti yangu inatisha kweli! Hata Bungeni huwa wananiuliza mbona tunakuonamwembamba halafu sauti ni kubwa sana? Lakini ndio hivyo, ila nitaomba radhi kwamba walewanaodhani kwamba ninakuwa na sauti nitakapokuwa nazungumza kukawa hakuna hoja wawewananiandikia ki-memo kwamba hapo you are out of point ili niweze kujirekebisha, lakini vinginevyoargument ina argument. (Kicheko)Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kuyasema hayo, naunga mkono Muswada huu. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, jana tumepata Semina nikapata kuelewa kwa undani na kwambawengine tulijaribu kutaka kuchanganya kwamba Muswada huu basi ulikuwa ndio mwarubaini wa ku-covermatatizo yote yanayotokana na aina za dumping wengine ambao tulikuwa hatujawa-aware. Lakinikatika maelezo ambayo yametoka na kwa kuwa hii inahusu viwanda kama alivyosisitiza MheshimiwaWaziri mhusika jana, ningependa tu kutoa tahadhari kwamba viwanda kama viwanda haviwezi kuwepo inisolation na kinachopelekea dumping pengine ni connections za vitu mbalimbali ambavyo nikuanzia hata ile nchi ambayo inataka ku-dump hizo materials zake katika nchi yetu. Maana naelewailizungumzwa jana na pengine kwenye Muswada kwamba nchi za Ulaya na nchi nyingine pamoja nasababu inayowafanya wateremshe bei za bidhaa zao kwa makusudio ya kutaka kwanza watulainishewaweze kupata soko ili hatimaye sasa waweze kupandisha bei. Sababu ya kwanza ni kwamba pamoja namambo mengine wanatoa ruzuku kwa bidhaa ambazo wanazozitumia katika kutengeneza hizo bidhaa zao.Sasa kama hivyo ndivyo, kumbe hoja ya msingi haianzii kwenye kiwanda per se, inaanzia katika mkururona mlolon<strong>go</strong> mzima wa uzalishaji. Kama ni suala la subsidy libaki linaanzia huko kwingine. Sasatahadhari ambayo nataka kuiweka ili na sisi tuielewe na tuweze kufanya kazi kwa pamoja na wale waliokokwenye Serikali waweze kuona kwamba sekta hizi zinategemeana, maana kama tunazungumza suala laviwanda vya nguo vya Tanzania, wamezungumza Waheshimiwa kuhusu masuala ya umeme, lakiniutazungumza vile vile kuhusu masuala ya pamba. Ubora wake, halafu hivyo viwanda vinavyotengenezahiyo pamba vinawasaidiaje Watanzania wanaolima pamba ili kuweza kuongeza pato lao?Pia ikawekwa kwenye Muswada kwamba anayepaswa kulalamika sasa ni mtu mwingine hatakama sio mwenye kiwanda au mtu ambaye anaona kwamba kwa kufanya hivi, wale wanaofanya dampingyao hapa wanasababisha sisi viwanda vyetu visilipe kodi na mambo mengine. Sasa kama mimi ninalimahalafu naona watu fulani wanaleta zile khanga za India, lakini kwa vitendo vyao hivyo vinasababisha mimipamba yangu isiweze kununulika, sijui nitakuwa na haki ya kunung’unika au sitakuwa na haki yakunung’unika! Lingine niliseme kabla sijaingia ndani kabisa kwenye Muswada wenyewe kipengele kwakipengele, hilo la subsidy mimi ningependa kutoa caution, huenda nikabishiwa kwamba sio kweli, lakinisasa hivi tulipokumbwa na njaa nina uhakika Serikali inataka kuleta Muswada hapa tuongeze bajeti. Hizohela tungesema tuziweke huko tuzitumie tukasie kabla njaa haijaja, tumwagilie na tuwape motishawakulima, nadhani tunge<strong>go</strong>mbana kwamba hela haziko. Sasa kama inafika mahali mtu unauguliwa mtotounaambiwa twende tukamtibu unasema mimi siwezi kuuza mbuzi wangu, halafu anakufa wewe unachinjambuzi ili ule kwenye msiba si vizuri. (Kicheko)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!