10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MHE. MBARUK KASSIM MWANDORO: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana.Nakushukuru kwa kunipa fursa hii na mimi kuchangia Muswada huu wa Anti-Damping na CountervailingMeasures.Mheshimiwa Naibu Spika, awali ya yote ningependa kuchukua fursa hii kukupa pongezi wewepamoja na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wote kwa kufika salama katika mwaka 2004 na ninawatakia kila lakheri, mafanikio na maendeleo mema. (Makofi)Vile vile ningependa kuwapongeza ndugu zetu ambao wameshindania na wale waliobahatikakuchaguliwa kuwa Wa<strong>bunge</strong> wa Pan African Parliament. Nawapongeza sana. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, ningependa vile vile kuchukua fursa hii kumpongeza sanaMheshimiwa Waziri kwa kuweza kuleta Muswada huu mzuri na muhimu kwa wakati. Ningependakumpongeza Waziri Ngasongwa, Naibu Waziri wake, Katibu Mkuu na Wataalam wote wa Wizarani waOfisi ya Mwanasheria Mkuu na wengine wote ambao kwa kusema kweli wamejitahidi sana kuuletaMuswada huu unavyotakikana.Mheshimiwa Naibu Spika, Muswada huu ni wa muhimu sana na kusema kweli umeletwa kwawakati muafaka. Ni muhimu kwa sababu unalinda sio tu viwanda, lakini unasaidia vile vile kuhamasishauchumi wetu kwa ujumla. Kabla sijaenda mbali, ningependa kuchukua fursa hii kusema kwamba naungamkono hoja hii kwa asilimia mia moja. (Makofi)Viwanda kama inavyosema Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2000 ndiyo Sekta kion<strong>go</strong>zi nandiyo inayotarajiwa kuupeleka uchumi wetu katika hali ya modernization na kwamba ifikapo mwaka 2025nchi yetu iwe na viwanda vya kati na uchumi ulioendelea na itakayofanya kazi hiyo kubwa sana niviwanda. Viwanda ni sekta kion<strong>go</strong>zi kwa sababu kilimo, mifu<strong>go</strong>, maliasili, madini vyote kwa sehemukubwa vinategemea sana viwanda viendelezwe. Kwanza mahitaji yake ya kuzalisha yanapita kiwandani,lakini mazao yake yanapata thamani zaidi wakati yanapokwenda kiwandani ili yaweze kupata thamanizaidi na kuongeza fedha za kigeni zaidi kwetu na kuleta ajira kwa wananchi, kuongeza kodi na mambokama hayo. Kwa hiyo, Sekta ya Viwanda ni sekta muhimu sana na ndio maana Serikali yetu ya Chama chaMapinduzi imefanya jitihada kubwa sana kuitengenezea mazingira mazuri na kuweza kuipatia mahitajiyake mbalimbali na miundo mbinu.Sasa hivi sekta nyingine za kilimo, madini zinafaidi sana kutokana na kuwepo viwanda naviwanda viendelee kuwepo. Hivi karibuni tulipata fursa ya kutembelea viwanda mbalimbali, tumeona jinsigani sasa hivi kwa mfano viwanda vya mbegu vimetanuka sana, vimeendelea sana, vinatusaidia sanakuboresha sio tu chakula chetu tunachopata na mazao yetu viwandani, lakini yanawawezesha vile vilewakulima kujipanua na kuendelea zaidi kilimo hapa nchini. Kuna viwanda vingi sana ambavyo sasa hivivinasindika mali zetu za humu nchini. Hii ni muhimu sana kwa uchumi mzima na kwa hiyo hivi viwandavilivyopo na hivi ambavyo tunajaribu kuviweka chini ya utaratibu wa EPZ ni muhimu sana kwa kuboreshana kuendeleza uchumi wetu.Hivi viwanda ni muhimu basi vilindwe kwa sababu viwanda mfano wake ni kama vile kichwa chatreni katika behewa. Kichwa cha treni kikienda kasi na mabehewa mengine yatakwenda kasi. Sekta yaViwanda inapoendelea ndio sekta nyingine vile vile zinapata fursa ya kutanuka na kuendelezwa vizurizaidi.Sasa katika dunia hii ya utandawazi, ni muhimu sana kuchukua hatua thabiti kuweza kuvilindaviwanda. Pamoja na kuchukua jitihada ya kuboresha viwanda hivi na kuvifanya viwe vingi lakini kunaumuhimu wa kuvilinda kutokana na vitimbi vya wakubwa mbalimbali hasa haya Makampuni ya Kimataifayanayoitwa Transnational. Haya Makampuni yana mbinu na hila mbalimbali za kudidimiza Makampunikama haya yetu kwa sababu viwanda kama ni vido<strong>go</strong> ambavyo vinajitokeza katika nchi changa watawezakuviua viwanda hivi ili wao waweze kujitanua. Moja ya mbinu kubwa wanayotumia hawa wenzetu nimbinu ya kuteremsha bei ama kwa kupata fidia ya ushuru ama kupata ruzuku ya namna nyingine yoyote aumipan<strong>go</strong> mingine yoyote ambayo wanaweza kuteremsha bei kwa kuanzia na hatimaye viwanda hivi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!