10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

jana tarehe 5 Februari, 2004, suala hilo lilikuwa limefikishwa Mahakamani kwa ajili ya kutajwa aukusikilizwa kulingana na mipangilio ilivyo.Kwa hiyo, mimi naamini kabisa jambo hili linalomgusa yeye moja kwa moja, hatimaye litapataufumbuzi. Lakini hatuna namna nyingine isipokuwa ni kufuata taratibu za sheria ambazo ndizozinazotawala hapa nchini. (Makofi)MHE. DR. ZAINAB A. GAMA aliuliza:-Na.46Fedha za Mfuko wa BarabaraKwa kuwa barabara ni moja kati ya miundombinu muhimu katika maendeleo ya kiuchumi/kijamii;na kwa kuwa kwa sasa hivi barabara zetu zinakadiriwa kuchangia kuanguka kwa uchumi kwa asilimia tisaya GDP; na kwa kuwa maamuzi ya Serikali ya kuanzisha Mfuko wa Barabara ni maamuzi sahihi na yakitaalamu lakini inahitajika usimamiaji na ufuatiliaji wa karibu wa matumizi ya fedha za mfuko wabarabara:-(a)Je, Serikali imeweka mikakati gani ya kuhakikisha matumizi mazuri ya fedha za Mfukowa Barabara?(b) Je, ni chombo gani mbali na Halmashauri kinachohakiki (Physical Verification), matengenezoya barabara kwa fedha za Mfuko wa Barabara na ni Halmashauri ngapi zimetumia vibayafedha za Mfuko huo na zimechukuliwa hatua gani?(c) Je, Serikali ina mkakati gani wa kuhakikisha kwamba Halmashauri nazo zinachangia fedhakutoka katika mapato yake kwa ajili ya matengenezo ya barabara?alijibu:-NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS ,TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAMheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dr. Zainab Gama, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, kama ifuatavyo:-(a) Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Barabara wa Serikali za Mitaa umebainishwa katikaSheria Na.11 ya mwaka 1998 inayounda Mfuko wa Barabara, Bodi ya Mfuko wa Barabara na Sekretarietiyake. Sheria hii inarekebisha Sheria Na.13 ya mwaka 1985 iliyokuwa inahusu ukusanyaji wa ushuru wabarabara. Serikali imeweka mikakati ya kuhakikisha kunakuwepo na matumizi mazuri ya fedha za Mfukowa Barabara kwa mujibu wa Sheria hiyo niliyoitaja.Sheria hiyo inasema kwamba, matumizi ya fedha za Mfuko wa Barabara hayawezi kuwa nje yataratibu za Mfuko huo. Vile vile Serikali imewaagiza Wadau Wakuu wa Mfuko huo kuhakikisha kwamba,Sheria hiyo inafuatwa na pale panapotokea yeyote kuvunja sheria hiyo, hatua za kinidhamu zinachukuliwadhidi yake.(b) Mheshimiwa Spika, mbali na Halmashauri, kuna vyombo vingine vinavyohakikimatengenezo ya barabara zinazotokana na fedha za Mfuko wa Barabara. Vyombo hivyo ni Ofisi ya RaisTawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ofisi za Makatibu Tawala wa Mikoa na Bodi ya Mfuko waBarabara. Vyombo hivi vina majukumu mbalimbali ikiwa ni pamoja na yafuatayo:-- Kufanya ukaguzi wa matengenezo ya barabara za Halmashauri na kutoa tathmini yaubora na gharama ya kazi zinazofanyika;- Kutoa mion<strong>go</strong>zo mbalimbali na ushauri wa kitaalamu kuhusu utekelezaji wa shughuli zamatengenezo ya barabara hizo; na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!