10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kuwanyang’anya leseni ya vifaa vyao ambavyo vinasababisha kero hizo na kuleta athari nilizozitaja hapojuu?alijibu:-NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAMheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Peter Kabisa, M<strong>bunge</strong> wa Kinondoni,kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, ninakubaliana na Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kwamba, wako baadhi ya wananchiambao kwa makusudi kabisa huamua kufanya vitendo vinavyosababisha kero kwa wananchi wenginekutokana na kelele za muziki, matengenezo ya magari katika magereji, upasuaji wa vifaa vya ujenzi kwamisumeno ya umeme, ufyatuaji wa matofali na kadhalika. Kero nyingine ni zile zinazosababishwa nautiririshaji wa maji machafu, vumbi na moshi wa viwandani.Mheshimiwa Spika, kero zote za aina hii zinatawaliwa na Sheria ya Township Ordnance sura 101na Kanuni zake zinazohusu masuala ya Afya yaani Town Health Rules. Kanuni hizo zinazipa Halmashauriuwezo wa kuchukua hatua za kukomesha kero ikiwa ni pamoja na kumchukulia hatua za kisheria yeyoteanayesababisha kero za aina hiyo kwa wananchi. Halmashauri zimekuwa zikiwachukulia hatua za kisheriawale wote wanaosababisha kero hizo pale malalamiko yanapopokelewa na utaratibu huu utaendeleakutumika kwa len<strong>go</strong> la kuwaondolea wananchi bughudha za aina hii.Hadi sasa jumla ya kesi 13 za jinai zimefunguliwa kwa mwaka 2003 na 2004 na ilani 10 zakuondoa kero zimetolewa na Manispaa katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Kwa hiyo, si kweli kabisakwamba, Serikali imeshindwa kutumia sheria zilizopo kuchukua hatua madhubuti na za kuridhisha zakukomesha vitendo vya uvunjaji wa sheria vinavyotokana na vitendo vilivyoelezwa na MheshimiwaM<strong>bunge</strong>.Mheshimiwa Spika, aidha, chini ya Sheria ya Mipan<strong>go</strong> Miji, Sura ya 378 na Kanuni zakezinazohusu namna ya kuunganisha matumizi mbalimbali ya ardhi (User Groups), yametengwa makundi yamatumizi ya ardhi yanayoweza kuwekwa pamoja. Kwa mujibu wa Kanuni hizo eneo la makazi haliwekwipamoja na shughuli zenye usumbufu.Mheshimiwa Spika, mwisho, kwa hivi sasa Serikali kupitia Wizara ya Afya, inaandaa sherianyingine itakayoitwa The Public Health Act, ambayo itaainisha kero mbalimbali ambazo zitapaswakuondolewa kutokana na shughuli zenye usumbufu.Napenda kumhakikishia Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kwamba, Serikali itaendelea kuchukua hatuambalimbali ili kudhibiti vitendo hivyo. Naomba kutoa wito kwa wananchi kushirikiana na Halmashuarimbalimbali pamoja na Jeshi la Polisi kutoa taarifa za kero za aina hii zinazofanywa katika maeneo yao nakuwataka wananchi wachache wanaofanya vitendo hivyo kuwa waungwana na kuacha kuwasababishiawananchi wenzao kero kama hizo.MHE. PETER KABISA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuuliza swalido<strong>go</strong> la nyongeza. Kwa kuwa kwa muda wa miezi minne na nusu sasa Manispaa ikiwa na taarifa yauhalifu huo wameshindwa kumdhibiti huyo mhalifu ambaye ni mke wa aliyekuwa Inspector General waPolisi na huyu mama anaendelea kufanya kelele hizo na mafundi wake kuanzia saa 2.00 usiku mpakaalfajiri saa 12.30, Mahakama ya Manispaa ya Kinondoni ina taarifa hizi, Serikali ina taarifa hizi lakinihakuna kilichofanywa kumdhibiti huyu mama na Serikali inasema kwamba itaendelea kuwadhibiti. Sheriahizo kwa kesi hii hazifanyi kazi; je, sisi ambao tunaumia na kelele hizo Serikali inatusaidia vipi kutupautulivu? Ahsante. (Makofi)NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA:Mheshimiwa Spika, naomba tu nieleze kwa kifupi kabisa kwamba, suala ambalo Mheshimiwa M<strong>bunge</strong>anazungumzia, limeshafikishwa Mahakamani tayari na ni Kesi ya Jinai Na.12 ya mwaka huu wa 2004 na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!