10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Na. 54Mikoa isiyo na Viwanda NchiniMHE. VENANCE M. MWAMOTO (k.n.y. MHE. DR. THADEUS M. LUOGA) aliuliza:-Kwa kuwa mikoa yote isiyo na viwanda hutumika kama soko la bidhaa zinazozalishwa na mikoayenye viwanda hapa nchini hivyo kila kitu huuzwa kwa bei ya juu mno kwa sababu ya gharama yausafirishaji.Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuwapunguzia wananchi wa maeneo hayo uzito wa maishaunaosababishwa na gharama za usafirishaji?NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA alijibu:-Mheshimiwa Spika, ningependa kujibu swali la Mheshimiwa Dr. Luoga, M<strong>bunge</strong> wa MbingaMagharibi, kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, ni kweli kabisa kuwa baadhi ya mikoa haina viwanda kutokana na sababumbalimbali ikiwa ni pamoja na ukosefu wa miundombinu. Mikoa mingine kama Dar es Salaam, Arusha,Tanga na Mwanza ina viwanda vingi.Pamoja na hayo hakuna mkoa unaoweza kujitosheleza wenyewe kutokana na viwanda vilivyopokatika Mikoa hiyo. Ili kujitosheleza bidhaa nyingine lazima ama zitoke mikoa mingine au nje ya nchi.Mheshimiwa Spika, Serikali ina mpan<strong>go</strong> wa kuboresha miundombinu hususan ya usafirishaji ilikupunguza gharama za usafirishaji wa bidhaa kati ya mikoa na mikoa ya hapa nchini kwa ujumla na hivyokuwezesha upunguzaji wa bei za bidhaa na kuleta unafuu kwa maisha ya wananchi.Aidha, Serikali hivi sasa inajitahidi kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji na ya kufanyiabiashara chini ya Sera yake ya ulegezaji wa biashara, ili kuvutia wawekezaji kuanzisha viwanda katikamikoa mbalimbali kwa len<strong>go</strong> la kusogeza uzalishaji wa bidhaa karibu na kusaidia wananchi.Mheshimiwa Spika, ni vyema Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wajihusishe kikamilifu katika kuwezeshamaeneo yao kuvutia wawekezaji kwa len<strong>go</strong> hilo hilo la Serikali.MHE. IRENEUS N. NGWATURA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru sana kwa kunipa nafasiniulize swali moja la nyongeza. Kwa kuwa miundo mbinu muhimu sana ambayo inaonyesha wapiviwanda viwepo ni umeme.Je, Serikali ina mipan<strong>go</strong> gani ya kuona kwamba maeneo yale ambayo yana raslimali nyingi kamavile madini, mazao yanapewa umeme kwa mfano kama Wilaya ya Mbinga?SPIKA: Hilo ni swali jipya liletwe kwa njia za kawaida.Na. 55ZANTEL Kuruhusiwa Kuanza Mtandao wake BaraMHE. OMAR JUMA OMAR aliuliza:-Kwa kuwa mawasiliano ya simu za mikononi ni moja ya huduma muhimu katika sekta yamawasiliano kwa ajili ya kupashana habari; na kwa kuwa Tanzania zipo Kampuni nyingi za simu zamkononi; je, Kampuni ya ZANTEL itaruhusiwa lini kujenga minara yake Tanzania Bara?

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!