10.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

La pili, kama itakuwa Chuo Kikuu je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa ku-train vijana wetu haowaliokuwa wanakuwa trained na VETA wa ngazi za chini maadam sasa kitakuwa Chuo Kikuu?(Kicheko/Makofi)WAZIRI WA KAZI, MAENDELEO YA VIJANA NA MICHEZO: Mheshimiwa Spika,naomba kumhakikishia Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wote kwamba, VETA hakunawazo la kuibadili VETA kuwa Chuo Kikuu, wala hatujafikiria kabisa, VETA itaendelea na wajibu wake uleule katika jamii wa kuzalisha mafundi stadi. (Makofi)MHE. BAKARI SHAMIS FAKI aliuliza:-Na. 53Msaada wa Serikali ya MuunganoKwa kuwa Serikali ya Muungano wa Tanzania inapata misaada mbalimbali, ikiwemo fedha,vyakula, dawa na kadhalika; na kwa kuwa misaada hiyo iko ya aina mbili, yaani ile ambayo inalengamiradi maalum na ile ambayo haikulenga miradi maalum na hugawiwa baina ya Serikali ya Muungano waTanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ambayo Zanzibar hupata asilimia 4.5%:-(a) Je, ni vigezo gani vinavyozingatiwa katika kuelewa aina hizo mbili katika kugawamisaada hiyo kati ya Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar?(b) Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imepata kiasi gani kama mgao wake tokeakuasisiwa Muungano wetu?(c) Ni utaratibu gani unaotumika katika kupata misaada ya miradi maalum?NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. DR. FESTUS B. LIMBU) alijibu:-Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Bakari Shamis Faki, M<strong>bunge</strong> wa Ole,lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kushuhudiaongezeko la misaada kutoka kwa nchi wahisani na mashirika mbalimbali ya Kimataifa kutokana na juhudikubwa zilizokuwa zinafanywa na Serikali za awamu zote katika jitihada zake za kukuza uchumi nakuwaondolea wananchi umaskini. Kuna aina mbili za misaada hiyo:-Aina ya kwanza, ni misaada kwa ajili ya miradi ya maendeleo au Project Grants, ambayohutolewa na wahisani kwa len<strong>go</strong> la kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo kwa jamii. Miradi hiyohuwa tayari imekwisha ainishwa. Misaada hii hutolewa na wahisani kwa walengwa kwa mujibu wamakubaliano yaliyofikiwa baina ya pande hizo mbili. Aidha, misaada hiyo yaweza kupitia katika utaratibuwa kawaida wa kifedha wa Serikali au kwenda moja kwa moja kwenye miradi husika ambapo Serikalihuwajibika kupata taarifa za misaada hiyo.Aina ya pili, ni misaada kwa ajili ya mipan<strong>go</strong> maalum ya maendeleo au Programme Grants,pamoja na ile ya kibajeti ambayo hutolewa na wahisani kwa Serikali ili kuongeza uwezo wa Serikali wakugharamia mipan<strong>go</strong> yake mbalimbali ya kimaendeleo. Misaada hii huingizwa moja kwa moja kwenyeMfuko Mkuu wa Serikali. Fedha hizi zinalenga zaidi katika kukamilisha miradi au kuanza miradi mipya.Ni kutokana na misaada ya aina hii, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imekuwa ikipata mgao wa asilimia 4.5.Mheshimiwa Spika, vigezo vinavyotumika kutambua aina hizi za misaada ni maudhui ya misaadayenyewe kama inavyokubalika wakati wa majadiliano baina ya Serikali na wahisani.Mheshimiwa Spika, tangu mwaka 1964, Serikali ya Muungano wa Tanzania imekuwa ikitoaruzuku ya fedha (OC), ili kuziba pen<strong>go</strong> linalojitokeza katika Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,kugharamia shughuli mbalimbali za maendeleo. Utaratibu wa mgao wa asilimia 4.5 ya misaada isiyo ya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!