Mila ya Watu Kwenye Kanisa la Watu - Yesu Kristo
Mila ya Watu Kwenye Kanisa la Watu - Yesu Kristo
Mila ya Watu Kwenye Kanisa la Watu - Yesu Kristo
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Mi<strong>la</strong></strong> <strong>ya</strong> watu<br />
<strong>Kwenye</strong> kanisa <strong>la</strong> watu.<br />
Kama ilivyo siku zote kama mnaitaji msaada kwa njia yeyote<br />
andikieni kwenye P.O Box 68309, Indianapolis, IN 46268, U.S.A<br />
www.<strong>Yesu</strong>-<strong>Kristo</strong>.com<br />
© 1989 mailto:AllAtHisFeet@cs.com<br />
Sheria <strong>ya</strong>ke ukitaka kuchapisha iko hivi tunapo zungumzia<br />
Neno <strong>la</strong> Mungu tena tuna sema hivi. Ni luksa kuchapisha ukiwa<br />
umepokea luksa kutoka kwa walio andika hiki kitabu.<br />
Kitabu hiki akiluhusiwi kuuzwa kwa bei yeyote ile.<br />
Je, mithali <strong>ya</strong> watu bado inaonekana mbele za Mungu? Ukweli<br />
ni kwamba mithali hii sisi tumeiheshimu sana imeleta uharibifu<br />
mkubwa kwenye mwili wa <strong>Yesu</strong> <strong>Kristo</strong>. Mithali hii imetoa uongozi<br />
na u Bwana wa <strong>Yesu</strong> katika kanisa <strong>la</strong>ke bi<strong>la</strong> huruma.<br />
Tena yeye alisema nao, isa<strong>ya</strong> alitabiri vyema juu <strong>ya</strong> ninyi wa nafiki,<br />
kama ilivyo andikwa, watu hawa uniheshimu kwa midomo, i<strong>la</strong><br />
mioyo <strong>ya</strong>o iko mbali namu. Nao waniabudu bure wakifundisha<br />
<strong>ya</strong>liyo maagizo <strong>ya</strong> wanadamu.<br />
<strong>Yesu</strong> pekee alivunja n<strong>ya</strong>kati zote wakati wa <strong>Mi<strong>la</strong></strong> zao balidi na<br />
mipango <strong>ya</strong>o wakijua kwa <strong>ya</strong>naweza <strong>ya</strong>kaleta machafuko kwa<br />
viongozi wake. mfano mmoja. Alipokuwa akinena, Farisayo<br />
mmoja alimwita aje kwake ale chaku<strong>la</strong>; akaingia, akaketi chaku<strong>la</strong>ni:<br />
Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwasababu hakunawa<br />
kab<strong>la</strong> <strong>ya</strong> chaku<strong>la</strong>. Bwana akamwambia, Ninyi mafarisayo<br />
mwasafisha kikombe na sahani kwa nje, <strong>la</strong>kini ndani yenu mmejaa<br />
un<strong>ya</strong>nganyi na uovu. Enyi wapumbavu; aliyevifan<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong> nje,<br />
siye yeye aliye vifan<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong> ndani pia? Lakini, toeni sadaka vile<br />
v<strong>ya</strong> ndani, na tazama vyote huwa safi kwenu. Lakini, ole wenu,<br />
mafarisayo, kwakuwa mwatoa zaka za mnanaa na m’chicha na<br />
ki<strong>la</strong> mboga, na huku mwaacha mambo <strong>ya</strong> adili, na upendo wa<br />
Mungu; iliwapasa ku<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong> hayo <strong>ya</strong> kwanza, bi<strong>la</strong> ku<strong>ya</strong>acha hayo<br />
<strong>ya</strong> pili. Ole wenu, mafarisayo, kwakuwa mwapenda kuketi mbele<br />
katika masinagogi, na kusalimiwa masokoni. Ole wenu kwakua<br />
mnafanana na makaburi <strong>ya</strong>si yoonekana, ambayo watu wapitao<br />
juu <strong>ya</strong>ke hawana habari nayo. Mtu mmoja katika wana – sheria<br />
akajibu, akamwambia, mwalimu, kwakusema hayo umetushutumu<br />
sisi nasi. Luka 11:37 – 45.<br />
Mjue sasa kwamba ni taabu kunawa mikono kama walivyo kuwa<br />
wana taka wale wafalisi. Je, kuonyesha upendo ambao wa <strong>Kristo</strong>,<br />
wema na uvumilivu aviwezi kusogeza maisha kimo kimoja? Kika<br />
5
waumiza namna gani? Tunatakiwa tuwakute watu waliko, a<strong>la</strong>fu<br />
tuwe yote kwa watu wote. Tunafan<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>?<br />
Labda amjui <strong>Yesu</strong> amejawa na upendo – yeye tena yeye pekee<br />
maana <strong>ya</strong> upendo wa kikristo, uvumilivu ni wema. Vitu kwa watu<br />
wote? <strong>Yesu</strong> pekee ndio anaye weza kueleza namna <strong>ya</strong> vitu vyote<br />
vinavyoweza kuwafika watu wote kwa maana <strong>ya</strong> Baba. Tena <strong>Yesu</strong><br />
alifan<strong>ya</strong> mambo mengi kama vile kuonekana kwenye makutano<br />
na viongozi wadini kwaku tukana <strong>ya</strong>lio kuwa <strong>ya</strong>natendeka katika<br />
chaku<strong>la</strong> cha jioni. Wakati mwingine <strong>Yesu</strong> na wanafunzi wake<br />
walikuwa wanapita kwenye shamba <strong>la</strong> nafaka siku <strong>ya</strong> sabato na<br />
kusudi wakati walio kuwa wana mpinga wanamuona wali maanisha<br />
namna nyingine na kukataza <strong>ya</strong>lio anzwa zamani na Mungu. <strong>Watu</strong><br />
hawa wanao jiamini kwenye sheria na kuyiweka kwenye kupinga<br />
na kiumungu ndivyo walikuwa wana tafsiri maandiko. Kwa hiyo<br />
<strong>Yesu</strong> alikuwa anawaeleza yote vizuri kabisa bi<strong>la</strong> kuchangan<strong>ya</strong> na<br />
mawazo <strong>ya</strong> kibinadamu kwa sababu gani? Tuna amini kupata jibu<br />
wakati tunapo omba.<br />
Ninaendelea na ku<strong>la</strong>sa hii kipimo cha vinogeo ambavyo <strong>Yesu</strong><br />
aliviweka alipokua anatembea kwenye miji na wanafunzi wake<br />
kumi nambili vinatakiwa kufanyika na kipimo hikoiko na wafuasi<br />
wake leo. Kumi na wawili hao, walifundishwa vizuri kikristo<br />
kilivyokuwa na alio kuwa anaongoza kundi <strong>la</strong> watu 3108 kuongezea<br />
walio okoka wakwanza katika maisha <strong>ya</strong> <strong>Yesu</strong> <strong>Kristo</strong> baada <strong>ya</strong> siku<br />
<strong>ya</strong> pentekoste ali<strong>ya</strong>za maisha <strong>ya</strong>o na <strong>Yesu</strong>. Walio kuwa waki<strong>ya</strong>leta<br />
kwenye kundi kubwa <strong>la</strong> ambao wakajitoa kwa <strong>Yesu</strong> na mlingo<br />
mzuri wa <strong>ya</strong>kunogeshea na desturi za dini kwamba sisi watu<br />
tutumie mpaka leo. Ukweli unatakiwa ujulikane kwa watu elfu na<br />
elfu wanao kutanika pamoja wa kanisa <strong>la</strong> kristo <strong>la</strong> kwenye Biblia<br />
ambako akuna jambo lolote linalo husu namna <strong>ya</strong> kuendeshea<br />
ibada, <strong>ya</strong>kunogeshea au hadithi<br />
Kuli kuwa hakuna kilichofungwa na kundi lolote lire, kama<br />
tunavyofan<strong>ya</strong> sisi kwamba hii inaitwa IBM au AMWAY wakiwa<br />
wameandika kuli kuwa hakuna kutoa mistari mingine na kuweka<br />
mawazo <strong>ya</strong> ujanja wao. Niludie tena kusema kwamba nyongeza<br />
zetu kwenye makanisa <strong>ya</strong> Mungu ma<strong>la</strong> kwa ma<strong>la</strong> inaonekana kama,<br />
mi<strong>la</strong> zisizo na kazi zimefungia nje utakatifu, imani <strong>ya</strong> uhakika<br />
kwamba lionekane kama Mungu alivyo kuwa anataka <strong>ya</strong>we hivyo<br />
inchini mwake kab<strong>la</strong> aija timia miaka mia moja (100) baada <strong>ya</strong><br />
kufa <strong>Yesu</strong>.<br />
Ata kwamba tumekimbilia mbali kutoka kwenye njia <strong>ya</strong> <strong>Yesu</strong>,<br />
mipangirio na handith zetu na kujiumiza vimekua vitu ambavyo<br />
vizazi vingi duniani kama kweli. Wengine wana weza kukataa<br />
kwamba yote <strong>ya</strong> matunda ambayo <strong>ya</strong>likowemo mwetu <strong>ya</strong>lio<br />
zaliwa kutoka nje, kuyiumiza na mipangirio yetu. Kama walivyo<br />
watoto wana taka maonyo na vyombo vinavyo onekana kwamba<br />
wachukulie. <strong>Watu</strong> viwete wanataka fimbo na viti v<strong>ya</strong>kutembelea<br />
viwete. Kuna weza kuka tokea nini kama mtoto yule atakua?<br />
Kunaweza kukaweje kama viungo vilivyo ni kilema na mwili<br />
wa Matatizo umepona? Kuna nini kama kanisa liro kuwa kimo<br />
cha <strong>Yesu</strong>?<br />
CHAKULA CHA MAWAZO NA NIA<br />
Maneno mengine <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong>sio patikana kwenye Biblia, (kutafsiri<br />
kwa makosa kuna fundisha kutoelewa au.<br />
“<strong>Kanisa</strong>,” “Utumishi” “Ubatizo”<br />
”Dini” “Mchungaji, “Maombi”<br />
“<strong>Kristo</strong>” “Mtume” “Wakovu”<br />
Ata kwamba maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napatikana popote siku hizi kwenye<br />
kikristo kama Biblia ambayo tunaweza kusoma kwa lugha <strong>ya</strong> kwetu<br />
inatuonyesha kweli nina waomba mfikiri pamoja nami kua dakika<br />
chache. Kwasababu gani maneno aliosema <strong>Yesu</strong> kwenye kundi <strong>la</strong><br />
watu, a<strong>la</strong>fu maneno aliye sema mtume Paulo aliandika makanisa<br />
kwa wakati huo a<strong>ya</strong>fanani maana <strong>ya</strong>ke na maneno tunayo <strong>ya</strong>sikia<br />
na ku<strong>ya</strong>soma leo? Kwa mfano neno <strong>la</strong> “gay” awatafsiri kama<br />
walivyo kuwa wana tafsiri zamani? Yana fanana kumbe?<br />
Umesema kwamba “gay” kwenye miaka iliopita mmeendesha<br />
vizuri dini <strong>ya</strong> kisasa ina mambo <strong>ya</strong> kuiga mengi ni <strong>ya</strong> uongo<br />
<strong>ya</strong>mechukuliwa kutoka kwenye maneno <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong>metafsiriwa<br />
viba<strong>ya</strong> na kundikwa kwa hekima nyingine kuacha <strong>ya</strong> Biblia.<br />
6 7
Yakushangaza maneno hayo a<strong>ya</strong> simamii yote <strong>Yesu</strong> yu, kwingine<br />
Paulo atawengine ambao tunaweza kuwa kumbuka. Wakati mnapo<br />
soma Biblia nakuendelea jitahidini kusikia <strong>ya</strong>le walio sikia tena<br />
zaidi <strong>ya</strong> kusikia vilivyo kwenye kizazi kisicho badilika na tafsiri<br />
<strong>ya</strong> kale. Malizeni jihadharini chakuchekesha na usumbufu kupata<br />
ukweli. Wengine misingi ilio ima<strong>la</strong> sikuizi taifa lote – ambao<br />
awapatikani kwenye kanisa <strong>la</strong> kwenye Biblia ni hawa. Maombi <strong>ya</strong><br />
kuabudu, ujumbe, mafundisho <strong>ya</strong> kwa Mungu, shule za thiolojia za<br />
kikristo, kwa<strong>ya</strong>, kuwaalika watumishi wa moto – watu wakuuliza<br />
kazi, kujaribu, kujaribiwa wakati wakwingi<strong>ya</strong> kazi, kuweka siku<br />
<strong>ya</strong> Mungu kama ilivyo siku baki, kuchaguliwa kwa watu kwamba<br />
wauombe mkutano wa kikristo. Kab<strong>la</strong> mda wa kuhubiri ujatimia<br />
au kuongoza sifa na mengine kama hayo.<br />
Kufan<strong>ya</strong> kwa mambo <strong>ya</strong> zamani – Paulo likuwa abebi Biblia,<br />
kuhubiri kwenye shule za Biblia.<br />
KUJIANDAA KWA AJILI YA INJILI<br />
Kujenga mahekalu ------- Mwanzo wa mizizi <strong>ya</strong> mahekalu <strong>ya</strong><br />
kikristo inaonekana ilianza hivi karibuni katika miaka mitatu<br />
ishirini baada <strong>ya</strong> kufa <strong>Yesu</strong> <strong>Kristo</strong> (AD) wakati mfalme (Emperor)<br />
konstantino aliona wote wenye dini za unafiki walikuwa na mahekalu<br />
na yeye aliwaza kwamba Mungu wake wasasa <strong>Yesu</strong> <strong>Kristo</strong> na yeye<br />
ajengewe mahekalu. Wataa<strong>la</strong>mu wanao chunguza mambo <strong>ya</strong> kale<br />
awapati mabaki yeyote ambayo <strong>ya</strong>na kubaliana na dini <strong>ya</strong> kikristo<br />
katika siku za <strong>Yesu</strong> au kumi na wawili, <strong>la</strong>bda ilipo pita miaka mia<br />
mbili. Ili ni jambo linalojulikana kwamba kundi linalofikia elfu<br />
kumi waliookoka walikuwa wengine wanaenda kwenye hekalu<br />
<strong>la</strong> Mungu, Labda sinagogi za kiyuda na hekalu zao, au kwenye<br />
hekalu zadini nyingine. Lingekuwa <strong>la</strong> kueleweka sana tena bi<strong>la</strong><br />
kukataliwa sikuhizo kwa wa <strong>Kristo</strong> kujenga mahekalu makubwa<br />
makubwa kama watu wanavyofan<strong>ya</strong> leo na kuwa na maombi humo.<br />
Lakini awakufan<strong>ya</strong> kwa n<strong>ya</strong>kati mbili, hawakufan<strong>ya</strong>, sababu gani?<br />
Kwasababu sheria <strong>ya</strong> kwenda hekaluni kwa siku moja iliyo wekwa,<br />
katika sehemu moja linapingana sana na kusudi na sababu za <strong>Yesu</strong><br />
na kanisa <strong>la</strong> kwenye Bibilia ambalo alilifia kwakujenga. Chukueni<br />
mda mchache ombeeni mawazo ha<strong>ya</strong> pamoja nami ambayo ni<br />
uhakika haswa katika <strong>ya</strong>le ambayo <strong>Yesu</strong> ali<strong>ya</strong>leta kuja kulijenga<br />
kutoka mbinguni kuja hapa ulimwenguni – katika <strong>ya</strong>le aliyoleta<br />
<strong>Yesu</strong> ku<strong>ya</strong>simika kutoka mbinguni kuja ulimwenguni – katika<br />
upendano waki Mungu katika kanisa <strong>la</strong>ke. Linaweza kuwabadilisha<br />
wakati wote. Tena ni <strong>la</strong> kufurahisha?<br />
I<strong>la</strong> yeye aliye juu hakai katika nyumba zilizofanywa kwa mikono,<br />
kama vile asemavyo nabii, mbinguni kiti changu cha enzi, na nchi ni<br />
pakuwekea miguu <strong>ya</strong>ngu; Ni nyumba gani mtakayonijengea? Asema<br />
Bwana, au mahali gani nitakapostarehe? MATENDO 7:48-50.<br />
Na ile kumi na miwili ni lulu kumi na mbili; ki<strong>la</strong> m<strong>la</strong>ngo ni lulu<br />
moja na njia <strong>ya</strong> mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu. Nami<br />
sikuona hekalu ndani <strong>ya</strong>ke; kwa maana Bwana Mungu mwenyezi<br />
na mwana kondoo ndio hekalu <strong>la</strong>ke. UFUNUO 21:21 – 22.<br />
Ambapo kuna moyo wa Mungu ndio kanisa linatakiwa kuwa<br />
Mfano wa namna <strong>ya</strong>kuendesha hapa duniani. <strong>Kanisa</strong> lirilohai, <strong>la</strong>o<br />
na <strong>la</strong> wana oamini wamelifan<strong>ya</strong>. Kama <strong>la</strong>o na kulijengea ukuta na<br />
kuweka mabati ambavyo sio jambo <strong>la</strong> muhimu sana ulimwenguni<br />
hapa. Hayo a<strong>ya</strong>na kazi kutokana na <strong>ya</strong>le tunayo <strong>ya</strong>tafakali hapa.<br />
Tunataka kuona kikristo haswa ambacho kina su<strong>la</strong> <strong>ya</strong> kikhristo,<br />
<strong>la</strong>kini wameikataa tena kwa umoja hata pia kwa mmoja mmoja.<br />
Ma<strong>la</strong> kwa ma<strong>la</strong> Neno <strong>la</strong> Mungu linashuhudia utukufu wa njia<br />
<strong>ya</strong> kisasa. <strong>Kanisa</strong> <strong>la</strong> wakati huu <strong>la</strong> waefeso kwa mfano lilikuwa<br />
linakutana na matatizo <strong>ya</strong> hatari sana. Mji ule ulipata Neema na <strong>ya</strong><br />
nguvu <strong>ya</strong> moja <strong>ya</strong> maajabu <strong>ya</strong> duniani pote hekalu <strong>la</strong> Malkia Diana.<br />
Kukua kwa makanisa mbalimbali kwenye mji wao/ambayo bi<strong>la</strong><br />
shaka wengi waligeuka kwa <strong>Yesu</strong>) walikuwa na hekalu zuri sana<br />
duniani pote. Je, wakristo waliendelezaje na hayo? Paulo aliandika<br />
barua nyingi nakuwanyosha macho <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong>o kwamba waone<br />
maono <strong>ya</strong>kifalme na kanisa <strong>la</strong> hekalu alisema ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naweza<br />
<strong>ya</strong>kaonekana na macho <strong>ya</strong> kiroho tu. Yohana 3:3-8, 1Korintho2:8-<br />
16, Mathayo 11:25-27).<br />
Njia <strong>ya</strong> maisha map<strong>ya</strong> hii inazidi sana kwakufananisha na<strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>nayo<br />
patikana kwenye majumba <strong>ya</strong>nayojengwa na watu baki. Mungu<br />
anawatengenezea ninyi makao nyumba <strong>ya</strong> utukufu wake. msifurahie<br />
kujenga kwa watu wakati ninyi ni mawe <strong>ya</strong>lio hai – <strong>ya</strong>mechukuliwa<br />
kutoka kwenye mwamba ambao ndio <strong>Yesu</strong> mwenyewe “A<strong>la</strong>fu<br />
alitufufua pamoja nakutukatisha pamoja naye katika ulimwengu wa<br />
8 9
oho. Katika <strong>Kristo</strong> <strong>Yesu</strong> Waefeso 2:6 Basi <strong>la</strong>ngu sasa ninyi si wageni<br />
wa<strong>la</strong> wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa<br />
nyumbani mwake Mungu. Mmejengwa juu <strong>ya</strong> msingi wa mitume<br />
na manabii, naye <strong>Kristo</strong> <strong>Yesu</strong> mwenyewe ni jiwe kuu <strong>la</strong> pembeni.<br />
Katika yeye jengo lote linaungamanishwa na kukua hata liwe hekalu<br />
takatifu katika Bwana. WAEFESO 2:19-21!<br />
Someni: Mathayo 21:1-2, Marko 14:56, Yohana 2:18; 14:1-3-3<br />
14:15-21, 1korintho3:9-10, 1 Petro2:1-12; Isa<strong>ya</strong>51:1-2<br />
SISI NI HEKALU LAKE!!!! Ni sehemu <strong>ya</strong>ke sisi! Sisi ni nyumba<br />
<strong>ya</strong> ki <strong>Kristo</strong> iliyo jengwa ambayo inapita zote, watu sio, sehemu<br />
au wakati. Tunakaa kweli katika sehemu, wakati furani <strong>la</strong>kini<br />
tuki<strong>ya</strong>zunguka hayo, kuna kitu kimepungua sio kanisa <strong>la</strong>ke ufalme<br />
wake auelezewi kwamba ni wa sehemu kwa wakati mwingine.<br />
Na alipoulizwa na mafarisayo, ufalme wa Mungu utakuja lini<br />
aliwajibu akawambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;<br />
wa<strong>la</strong> hawatasema, tazama, hupo huku, kule, kwa maana, tazama,<br />
ufalme wa Mungu umo ndani yenu. LUKA 17:20 –21.<br />
Ninyi msitafute mtaku<strong>la</strong> nini, mtakunywa nini, tena msiwe na<br />
shaka moyoni kwakuwa ha<strong>ya</strong> yote, watu wa mataifa wana<strong>ya</strong>tafuta,<br />
<strong>la</strong>kini Baba anajua mnaitaji ha<strong>ya</strong> yote. Zaidi sana tafuteni ufalme<br />
wake hayo mengine atawaongezea. Msiogope, enyi kundi dogo;<br />
kwakuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme. Viuzeni<br />
mlivyo navyo, mtoe sadaka. Jifanyieni mi fuko isiyo chakaa,<br />
akiba isiyopungua katika mbingu, mahari pasipo karibia mwivi,<br />
wa<strong>la</strong> nondo haharibu. Kwakuwa hazina yenu ilipo, ndipo itakapo<br />
kuwapo na mioyo yenu. LUKA 12:32-34.<br />
<strong>Yesu</strong> akamwambi<strong>ya</strong>, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo<br />
hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wa<strong>la</strong> kule Yerusalemu.<br />
Ninyi mnaabudu msichokijua, sisi tunaabudu tukijuacho; kwa<br />
kuwa wokovu watoka kwa wa<strong>ya</strong>hudi. Lakini saa inakuja, nayo sasa<br />
ipo, ambayo waabudiyo halisi watamwabudu Baba katika roho na<br />
kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.<br />
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu<br />
katika roho na kweli. YOHANA 4:21-24.<br />
Lakini kwa kuwa mmemjua Mungu ninyi, <strong>la</strong>kini zaidi <strong>ya</strong>kujulikana<br />
na Mungu kwanini ku<strong>ya</strong>rejea tena mafundisho <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>lio<br />
manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka ku<strong>ya</strong>tumukia tena?<br />
Mnashika siku, na miezi, na n<strong>ya</strong>kati, na miaka. Nawachelea isiwe<br />
<strong>la</strong>bda nimejitaabisha bure kwaajiri yenu. (AGALATIYA 4:9-11!)<br />
Ni cha thamani ni chakufurahisha kuona ambayo Mungu ametendea<br />
tena kwetu amekuweko kwa ukuu. Kuishi katika kuanda makao<br />
na wakati na tena tunzo <strong>la</strong> watu, baada <strong>ya</strong>kumruhusu kichwa wa<br />
kanisa <strong>Yesu</strong> mwenye kuongoza roho na mikutano yetu na kukosa<br />
utukufu wa Mungu wa urithi. Hivi sasa tunafikiri kujilinda<br />
kwetu ni kwabudu vizuri tukiwa tumeta<strong>ya</strong>risha kwa ujanja usemi<br />
(inawezeka na ametoka kwenye Biblia) nakuweka siku, majuma<br />
hata miaka na nyimbo zote na kuongezea ki<strong>la</strong> kitu kinachotakiwa<br />
maombi katika siku.<br />
Haukuwa mpango wa mungu kuwa na <strong>Kristo</strong> ambacho kinajulikana<br />
kwa mawazo <strong>ya</strong> watu, mipangilio <strong>ya</strong> sabato na kuwa na kundi<br />
linaloitwa kamati wajuzi walio ajiriwa kazi na kanisa kuwa kiongozi<br />
wao vitu kama hivyo toka zamani tumeona <strong>ya</strong>liofuata kwenye picha<br />
zilizo mbali sana kutoka katika njia <strong>ya</strong> <strong>Yesu</strong> Kristu, na kumi na wawili<br />
pamoja na kanisa ambalo liliwajua. Roho wanaume na wamama,<br />
wasichana na wavu<strong>la</strong>na wamekuwa wakikutwa, kwenye michezo<br />
bi<strong>la</strong> tatizo hata pia kutumiwa na shetani. Kweli wako kwenye<br />
michezo bi<strong>la</strong> tatizo <strong>la</strong> kweli ni lile <strong>Yesu</strong> Kristu aliutaja kwamba<br />
mi<strong>la</strong>ngo <strong>ya</strong> dunia <strong>ya</strong> wafu hayita washinda wao. Mipangilio na<br />
mi<strong>la</strong> <strong>ya</strong>meshindwa. <strong>Yesu</strong> pekee ndio anayotajwa kati <strong>ya</strong> watu wakekanisa<br />
ambalo katika kweli kuwasiliana kushikamana pamoja na<br />
kupokea msaada wa kifalme cha ukuhani, familia inayofan<strong>ya</strong> kazi<br />
kwa njia <strong>ya</strong>ke, sio mtu ambayo awezi kutoa nguvu za giza.<br />
Tukiangalia sana huko nyuma tunakuta sifa za dini na kuona<br />
tulipafikia tunakuta kwamba hekalu lililojengwa limekuwa<br />
sehemu <strong>ya</strong> kikristu kwa miaka mia moja na makundi matano,<br />
mengimengi. Kundi ambalo lilikuwa likipinga neno <strong>la</strong> Mungu<br />
(protestants) liliendelea kutumia mahekalu <strong>ya</strong> kirumi ilipopita<br />
wakati wakutengeneza up<strong>ya</strong> na mtumishi alioitwa Martin Luther,<br />
hapo ndipo walipoanza kuelewa kama nao ni warumi. Kama<br />
tunavyo msikia mtume Paulo ni kama ilivyo leo. Kubadilika<br />
kwingine kunaitajika sana kulikuwa kuongezewa mda wa Luther.<br />
Ha<strong>ya</strong> a<strong>ya</strong>takiwi kuuliza tena tunatakiwa tufurahi kwamba mtu<br />
kama Martin Luther alitaka atoe maisha <strong>ya</strong>ke kwakupiga vita dini<br />
10 11
zilizokuwa zikichipuka na kuchangamana na nyumba za mikono<br />
<strong>ya</strong> watu wawakati huo hata hivyo kipimo kikubwa ambacho<br />
kinaongoza dini nyingi mpaka leo kalichukuliwa pamoja kutoka<br />
siku za luther kama kitu chakuabudiwa.<br />
<strong>Kanisa</strong> ambalo <strong>Yesu</strong> alilijenga (tena anaendelea kuujenga) si huko<br />
hapa, au pale. Kwa mda aufanani na sehemu <strong>ya</strong> mfalme kama vile<br />
dini zote za kiyuda zilivyokuwa zinafan<strong>ya</strong>.<br />
Je, hayo <strong>ya</strong>namaanisha kupungua kwa matendo, tunda hatakwamba<br />
<strong>la</strong>bda inaweza kawa uchache wa mikutano kwenye kanisa? Hapa,<br />
sana zaidi Mungu aliluhusu kuharibika kwa dini, <strong>ya</strong>ke na kuinua<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwanzo na mawazo <strong>ya</strong> watu kwasababu <strong>ya</strong> ugumu wa<br />
mioyo <strong>ya</strong>o. Lakini ha<strong>ya</strong>kuwa hivyo hapo mwanzo; Mungu aliwapa<br />
wana wake siku <strong>ya</strong> Jumamosi siku takatifu. Alitupa sisi <strong>Yesu</strong> awe<br />
Sabato <strong>ya</strong>mapumziko (Waebrania 4:1-11; Mathayo 11:25-30) tsiku<br />
yeyote au nikiwa peke <strong>ya</strong>ngu <strong>la</strong>bda tikikusanyika pamoja muhimu<br />
kama tunaishi na <strong>Yesu</strong> mahari pakifalme na kuishi nakuwa na<br />
yote ndani <strong>ya</strong>ke. Kama hakika tunakaa ndani <strong>ya</strong>ke kuhalibika<br />
na maisha, kupanga siku na wakati maneno <strong>ya</strong> kubuni <strong>ya</strong>nazui<strong>ya</strong><br />
na kutananisha na <strong>ya</strong>le ambayo <strong>ya</strong>ngefanyika bi<strong>la</strong> hayo katikati<br />
ukuhani wa kifalme. <strong>Watu</strong> wa Mungu wana ufahamu walivyo<br />
funguliwa kuwa hai wake pamoja afadhari kusoma hayo maneno<br />
na ku<strong>ya</strong>imba tu.<br />
Kungekuwa hivyo kizazi kisicho na toba tena wasiojitoa wanaume<br />
na wanawake ndio kingekuwa kinataka ufalme wao na saa na<br />
mahari kwenye kalenda na mipangirio <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>takayo tokea<br />
wakati tutakapo fika mbinguni. Kwasababu gani wangeweka<br />
kutaka kwawo katika kuongezea kwenye desturi zao au na<br />
maandalio. Kwasababu kutaka ufalme wa mungu ni <strong>la</strong> wakati wote<br />
ukweli ni kwamba kufuata maisha <strong>ya</strong> Mungu na kukusanyika kwa<br />
kusudi <strong>la</strong>ke ma<strong>la</strong> kwa ma<strong>la</strong> kwa uwazi hata pia kwenda nyumba<br />
hadi nyumba si vyema kutunza ki<strong>la</strong> kitu kwa miaka ishirini itapita<br />
wakati wa vin<strong>ya</strong>go.<br />
Iyi ni njia <strong>ya</strong> Mungu, inchi takatifu walitaka ufalme wake, ni <strong>Yesu</strong><br />
aishie ndani <strong>ya</strong>o:<br />
Wakawa wakidumu katika fundisho <strong>la</strong> mitume na katika ushirika,<br />
na katika kuumega mkate, na katika kusali. Ki<strong>la</strong> mtu akaingiwa<br />
na hofu; ajabu nyingi na ishara zikafanywa na mitume. Na wote<br />
walioamini walikuwa mahari pamoja, na kuwa na vitu vyote<br />
shirika, wakiuza mali zao, na vitu v<strong>ya</strong>o walivyo kuwa navyo na<br />
kuwagawi<strong>ya</strong> watu wote kama ki<strong>la</strong> mtu alivyo kuwa na haja. Na<br />
siku zote kwa moyo mmonja walidumu ndani <strong>ya</strong> hekalu, wakimega<br />
mkate nyumba kwa nyumba, na kushirika chaku<strong>la</strong> chao kwa furaha<br />
na kwa moyo mweupe, wakimsifu Mungu, na kuwapendeza<br />
watu wote. Bwana akalizidisha kanisa ki<strong>la</strong> kwa wale waliokuwa<br />
wakiokolewa. MATENDO YA MITUME 2:42 – 47)<br />
Maisha <strong>ya</strong> ku<strong>la</strong>sa <strong>ya</strong> juu wanayo<strong>ya</strong>ishi ni watu wasioamini, watu<br />
wa inje waliomo, wageni waliookoka kutoka kwenye uchoyo<br />
kuingia kwenye ufalme wa mwanaye aliyependwa kweli si jambo<br />
gumu kwa watu ambao wanayo <strong>Yesu</strong> mwenye anaishi ndani <strong>ya</strong>o,<br />
wanaenenda kama yeye alivyo kuwa anaenenda, walijaa na wepesi<br />
wakufan<strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> Mungu ndani <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong> Baba. Mkitoa<br />
LUKA 6:1, 14:35 a<strong>la</strong>fu mtaishia na kitu kingine kama MATENDO<br />
2: Je, mnaweza mkafikilia sababu nyingine ambazo zinaweza<br />
zikawakataza kuishi kwaajiri <strong>ya</strong>ke yeye aliye wafia ninyi? Mimi<br />
sina, wote pamoja hatuna.<br />
SIFA NYINGINE ZAKUFURAHISHA<br />
Hivi sasa tunasikitika kuwa na kanisa lisilo na mafundisho <strong>ya</strong><br />
Mungu (shule <strong>ya</strong> Jumapili) wengine wanasema kwamba wakikuwa<br />
ndipo watakuwa na kanisa jema kama lile Petro na Yohana.<br />
Walikuwa wakiongoza lililokuwa na mafundisho <strong>ya</strong> kwa Mungu<br />
<strong>ya</strong>lio tengeneza hivi karibuni na watu na kukuza ambayo <strong>Yesu</strong> na<br />
Mitume wali<strong>ya</strong>toa ha<strong>ya</strong>: Mambo magumu <strong>ya</strong>likaa katika siku za<br />
kutojua Mungu zamani na warumi.<br />
DHABAHU – Ilikuwepo baada <strong>ya</strong> kufa <strong>Yesu</strong> (BK) miaka miasita<br />
na warumi wakati wa (1520 AD) Martin Luther.<br />
YAKUNYUNYIZIA KWENYE KIKOMBE: Wakati wa 800 BK<br />
MAFUNDISHO YA VIONGOZI (SEMINARIES) - 1300 BK<br />
Kufundisha watu (viongozi) ni jambo <strong>la</strong> kigeni sana tukiona<br />
matendo na mafundisho <strong>ya</strong> <strong>Yesu</strong> na tena Agano Jip<strong>ya</strong>. Katika<br />
ufalme wa <strong>Yesu</strong> watu walikuwa wanakua katika maisha <strong>ya</strong> kina sio<br />
12 13
kwamba kuwajaza kama chubu <strong>la</strong>bda tunawafundisha mada<strong>la</strong>sa <strong>ya</strong><br />
uongozi.<br />
Vyuo v<strong>ya</strong> Kikristo – <strong>ya</strong>lianza wakati wa 1640 Bk kutoa maafundisho<br />
<strong>ya</strong> kikristo.<br />
Kuvaa siku <strong>ya</strong> Sabato – Wakati wakutojua (Dark Ages)<br />
Tai za Shingoni – zilianza na watu kutaka mashindano kuona aliye<br />
vaa mavazi <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> juu sana katika chaku<strong>la</strong> cha jioni.<br />
Mavazi <strong>ya</strong>kifahari malefu – <strong>ya</strong>lianza kusema ambayo wanaochunguza<br />
mambo <strong>ya</strong> zamani na wengine wanao chunguza dunia kutoka Misri<br />
walikuwa hawataki kukosa <strong>ya</strong>lio bakia <strong>ya</strong>kaachwa! Jueni kwamba<br />
hakuna lililoba<strong>ya</strong> <strong>la</strong>kini na ha<strong>ya</strong> kama <strong>ya</strong>livyo mavazi mazuri, tai<br />
shingoni hata kutegemea mavazi mazuri siku <strong>ya</strong> Sabato hasubuhi,<br />
mnisikilize <strong>la</strong>kini kwamba <strong>ya</strong>napingana na mafundisho na maisha<br />
<strong>ya</strong> aliye kichwa cha kanisa <strong>Yesu</strong> <strong>Kristo</strong>. Vyema kama mlivaa vizuri<br />
wakati wakwenda kwenye kilio cha ndugu yenu, kwanini muache<br />
kuvaa vizuri wakati wakwenda kanisani?<br />
Ata kwamba lilionekana ni jambo jema zamani wakati wa 20 century<br />
katika inchi kama vile marekani na u<strong>la</strong><strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>kuwa kama vile<br />
<strong>Yesu</strong> alivyokuwa anataka pengine kanisa lilifan<strong>ya</strong> hivyo kwamba<br />
watu wavuge hivyo wakati wakwenda kanisani. <strong>Yesu</strong> ajawahi<br />
kufan<strong>ya</strong> hivyo, tena akutakiwi. Ninajua yote <strong>ya</strong>mesikika <strong>ya</strong>kigeni<br />
kwa wale walikuli<strong>ya</strong> kwenye mafundisho ambayo <strong>ya</strong>sio <strong>ya</strong> <strong>Kristo</strong>.<br />
Kumbukeni kwamba atuoni jawabu <strong>la</strong> kanisa ambao tunalisoma<br />
kwenye Biblia, tunaliona kama hilo? Ili sio jambo <strong>la</strong>kuza<strong>la</strong>uliwa.<br />
Tulichukuliwa na desturi za watu sasa wakati umefika tuweke<br />
nyuma njia za kiutoto. (Marko 7:13,12:38-40). Kama mtume Paulo<br />
alivyoandika tusihukumiwe na yeyote yule kama tunakaa kwenye<br />
uhuru wa ujumbe wa <strong>Yesu</strong>. (Tena tusiachane <strong>la</strong>kini tuone katika<br />
njia ambayo Mungu anaiona).<br />
HAPA TENA KUNA MENGINE YAKUSHANGAZA<br />
Tukisema za wainjilisti, wachungaji (muinjilisti wa nguvu<br />
anayeongoza shughuri auteseme (Master of Ceremony, Mc) ata<br />
viongozi wa kanisani, ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lianza wakati wa 1520B.K Martin<br />
Luther alikuwa anawatumia makuhani wa zamani, waligeuka na<br />
kuendeleza msiba, kwendesha au tuseme kufungisha ndoa, wakati<br />
wa uongozi wao hao watu mkiendesha yote <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> Mungu,<br />
kutoa neno au kuhubiri. Mnaona kufanana na <strong>ya</strong>ngu, <strong>ya</strong>ngu<br />
Tuangalie za ko<strong>la</strong> nyeupe uliotengwa wanayo vaa shingoni viongozi<br />
– kweli <strong>Yesu</strong> aliwakemea mazoea <strong>ya</strong> kuvaa vitu vilivyotengwa<br />
kwakusudi <strong>la</strong> kumshazi? Mwingine katika dini <strong>ya</strong>ke au kujiona<br />
anafaa, twendeni turudi kwenye siku zile. Hivi karibuni wengine<br />
wanasema kwamba tunachuki na kanisa <strong>la</strong> Methodist kwasababu<br />
ndio wanaoanzisha ha<strong>ya</strong> wakati wa mahubiri <strong>ya</strong>o. Sana zaidi<br />
walivyo kuwa wakienda toka sehemu nyingine kwenda sehemu<br />
nyingine nakutembea kwenye farasi, walipofika mwisho walivaa<br />
<strong>ya</strong>kuziba midomo na pua zao. Walikuwa wanafunguli<strong>ya</strong> chini<br />
mikanda <strong>ya</strong>o kutoka kwenye shingo zao walipo kwisha kuhubiri.<br />
Wakati kulipo kunazaliwa somo <strong>la</strong>kuvaa ko<strong>la</strong> <strong>ya</strong>uongozi <strong>ya</strong>upuuzi<br />
sio hivyo? Turudi kwenye jambo <strong>la</strong> kengele, kundi linalosimami<strong>ya</strong><br />
utumishi, mipangirio kama hiyo hata pia ha<strong>ya</strong> joe schmoe<br />
Ministries, Inc tuendele na ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>naonesha kikristo kwa<br />
wakati huo ni kweli waliweka vikwazo njiani kuzui<strong>ya</strong> tusijue maisha<br />
<strong>ya</strong> waumini wakwanza kama makuhani wa kifalme nataka kusema<br />
kwakuludi<strong>ya</strong>ludi<strong>ya</strong> jambo <strong>la</strong> ambalo wengine wanaweza kupaza<br />
sauti kusema kwakuludi<strong>ya</strong> nakutoa maneno ambayo a<strong>ya</strong>julikani<br />
<strong>ya</strong>mo kinywani mwao, kuongea nakuweka mengine kukoloma na<br />
kushindwa kuhama wakiwa wameanzisha ugonjwa wa moyo.<br />
Wengi wanajiita wa kristo leo wamen<strong>ya</strong>ng’anywa nawale<br />
waliowachukua nakukaa kwenye upotofu wakirumi nakujaa kidogo<br />
sana neno <strong>la</strong> Biblia na namna wanavyoweza kuwa wakupokelewa na<br />
kufan<strong>ya</strong> pamoja mipangirio na ku<strong>ya</strong>weka kwenye uongozi wa vitu<br />
v<strong>ya</strong> dini. Kama mumba wa yote ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liopo alikuwa anapatikana<br />
kwenye makundi yetu, <strong>ya</strong>ngekuwa a<strong>ya</strong>saidii <strong>la</strong>kini kuwa mbali<br />
sana kuzidi hapa. Wenye makanisa ha<strong>ya</strong> ambao tumewataja<br />
hapo juu wanaweza wakaonekana ni wema, kwakujitahidi njia<br />
<strong>ya</strong>kuonyesha makanisa <strong>ya</strong>o kwamba a<strong>ya</strong>wezi kusonga mbele kama<br />
mmoja wao hayupo ukifikiri hayo ndio namna ulivyo, je, unafikiri<br />
kwamba ni kanisa moja <strong>la</strong> nguvu <strong>la</strong> kwenye matendo kitabu cha<br />
matendo (kwakuwa wao awakuwa hivyo) <strong>la</strong>bda unaona tusipoua<br />
tutashushwa sana? Je, kama tutawatoa wale wanaojiona ni wao wa<br />
ninyi je, kunaweza kukabakia mtu kwenye kanisa lenu?<br />
14 15
Kama kanisa lenu alinamsimamo na kuongezea na nguvu za<br />
Mungu <strong>la</strong>kini mnakaa kwenye mahitaji <strong>ya</strong>wingine, kuandaa<br />
namna <strong>ya</strong> kuendesha kujenga, kusimamisha watumishi wa nguvu,<br />
kundi <strong>la</strong> kuendesha kanisa, na kupanga mikutano <strong>ya</strong> ma<strong>la</strong> kwa<br />
ma<strong>la</strong> ni kwamba mmejenga kimakosa. Namna <strong>ya</strong>kuendesha<br />
huku na michanganyo <strong>ya</strong>ke, na kutengeneza kwake ni jambo <strong>la</strong><br />
kigeni kwenye kanisa <strong>la</strong> kwenye Biblia (ata kwamba likue kufikia<br />
watu 15000 kuongozea waumini wengine ndani <strong>ya</strong> kanisa hilo)<br />
hiyi ni sheria <strong>ya</strong>kunogeshea wakristo wa wakati wa kale (20th<br />
Century) ndugu a<strong>ya</strong>takiwi kuwa hivyo. Kusema ukweli wote ha<strong>ya</strong><br />
tunayo<strong>ya</strong> shikiria <strong>ya</strong>natakiwa kwakuwa atuna ushirika na Mungu<br />
mwenyewe wa yote. Ambayo yeye alitaka mfanye kwenye kanisa<br />
<strong>la</strong>ke, Waebrania 8:1; 10:25, Akolose 2:16-17). Kama tunamjua yeye<br />
katika kweli, ulinzi wetu wa ki<strong>la</strong> siku unaongozwa kwa undugu sio<br />
kwamba katika sheria. Yakwanza <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> kiroho<br />
ndani <strong>ya</strong> kanisa tunalo litaja kwenye kitabu cha Matendo sura<br />
1:1 ambamo tunakuta kwamba Theo-philus kumaanisha Mungu<br />
ni mwema sio Theo-Logians, mafundisho <strong>ya</strong> hari <strong>ya</strong> juu. Sifa <strong>ya</strong><br />
matendo <strong>ya</strong> utukufu kati <strong>ya</strong> watu baki ha<strong>ya</strong> kuandikwa kwa watu<br />
wanaojiinua mbele za Mungu. Panatakiwa kufikilia sana, kwamba<br />
ufunguliwe katika kweli <strong>ya</strong> <strong>Yesu</strong>. Katika kikristo chenu, mnatakiwa<br />
kuwa na undugu katika upendo sio katika sheria. Naamini<br />
kwamba yote ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>natupeleka sasa matengenezo, si hivyo? Ha<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong>maanishi kwamba sasa tutaanza kujifunza mafundisho <strong>ya</strong> kigeni<br />
<strong>ya</strong>sio nyongeza (hata <strong>ya</strong>kunogeshea <strong>ya</strong>natakiwa kuponywa kutoka<br />
kwenye mambo <strong>ya</strong> kale (20th century) <strong>ya</strong> vin<strong>ya</strong>go nakutegemea<br />
nyumba zatukutaniana, kuendesha kwa watu, diploma, TV,<br />
michezo isiyo faa au <strong>ya</strong> uovu <strong>ya</strong> miili yetu, wamekimbilia matangazo<br />
wamekimbilia kufarijiana na Miungu mbalimbali isiyoonekana<br />
maishani mwetu. Tunaweza kutofautisha kati <strong>ya</strong> kanisa na dunia sio<br />
katika mwili, wakati miungu inavunjikia chini ambayo wametutoa<br />
katika kweli (Ezekieli 14:3) hivyo tutaweza kufurahi na <strong>Yesu</strong> na<br />
kuwa na uzima tele wa utukufu ambao waliutazamia nakutuachia<br />
sisi Wahebrania3:1; 12:1-2; Yohana 17:5-22; Luka 12:32; Mathayo<br />
16:13-43; 13:52.<br />
Tofautisheni maneno ha<strong>ya</strong> na <strong>ya</strong>le <strong>Yesu</strong> aliwaachia ambayo mtapitia<br />
kwa kwakujionyesha sio kwa yeye. Mathayo 21:43; 23:13; 23:38;<br />
Si vyema nimalize na ku<strong>la</strong>sa ilioandikwa na mambo mengine Ha<strong>ya</strong><br />
ni mafupi tena <strong>ya</strong>nasaidia sanasana kuendeleza maombi na mawazo<br />
kumbuka kwamba mukiwa mnapokea bi<strong>la</strong> mawazo map<strong>ya</strong> mwisho<br />
wake utakuwa mba<strong>ya</strong> kuliko mwanzo. Mpaka tu<strong>ya</strong>ondoe tunavyo<br />
kuwa hapo ndipo tutavaa wito wa uwana wa Mungu na tutafahamu<br />
kusudi <strong>la</strong>ke. Tiki<strong>la</strong>ani na kuondoa vazi <strong>la</strong> kuitwa mwana tutakua na<br />
mwana aliye uchi, washida. Mtu kiwete anakuwa hana chakumsadia<br />
kutembea (wheel chair) taa za baiskeli <strong>ya</strong>kutembelea, sehemu <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kuweka baiskeli, na mahali pakepake pakuogea.<br />
Linaweza likawa jema kupon<strong>ya</strong> mtu kama huyu kuliko ku<br />
mtengenezea vitu vinavyoweza kumsaidia<br />
v<strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> juu kwakumdangan<strong>ya</strong> (mipangirio, hadithi, sababu<br />
zisizo na maana).<br />
Musa alitumika kwa makosa, katika sehemu na vitu na wakati<br />
ni <strong>ya</strong>liopangwa kwasababu <strong>ya</strong> ugumu wa mioyo yetu, <strong>la</strong>kini<br />
toka mwanzo ha<strong>ya</strong>kuwa hivyo. Twendeni tubadilike tu<strong>ya</strong>malize<br />
hayo tuendelee.<br />
KUNA TUMAINI<br />
Kumbe ufalme wa Mungu unaonekaje? Je, kanisa ambalo<br />
linatembea pamoja na Mungu katika neema yote, unaonekanaje?<br />
Je, naweza kujuaje Roho wa <strong>Kristo</strong> na njia <strong>ya</strong>ke nzuri <strong>ya</strong> watu wake<br />
na mimi pia?<br />
<strong>Yesu</strong> Bwana harusi, kanisa <strong>la</strong>ke. Ni mke wa thamani wa hari <strong>ya</strong> juu<br />
mke aliyo jita<strong>ya</strong>lisha kwa kurudi kwake Bwana harusi, Mfalme wa<br />
utukufu, ni mke wa kanisa <strong>la</strong> utukufu, asiye na waa, au kukunjika<br />
su<strong>la</strong>, hata kilema cha namna yeyote ile. Bwana harusi huu ni<br />
unaofanana na <strong>Yesu</strong> – wa rehema, <strong>la</strong>kini alijaa gadhabu kwa walio<br />
wanafiki, aliye na mwenendo safi nakufuata kazi <strong>ya</strong> Baba <strong>ya</strong>ke bi<strong>la</strong><br />
kutoa. Hili ndilo kanisa ambalo <strong>Yesu</strong> alilinunua na damu <strong>ya</strong>ke.<br />
Litakuwa kanisa ambalo alijengwi na wakati au sehemu fu<strong>la</strong>ni,<br />
<strong>la</strong>kini wakati wote mahali pote palipo wazi wanatembea pia<br />
nyumba hadi nyumba. Litakaa pamoja na kuungana na msaada<br />
wa mwili wake, wanakaa mwingine na mwenzake na kukubaliana<br />
dhambi mwingine na mwenzake, wanati<strong>ya</strong>na moyo mwingine na<br />
16 17
mwenzake wakati wote tena, bi<strong>la</strong> mwingine wa moyo mkuu kwaajiri<br />
<strong>ya</strong> unafiki wa dhambi, wakati wote wanapendana, nakutumikiana,<br />
wanachukuliana malemivu mwingine na mwenzake kwa furaha na<br />
shukurani. Wanaishi na upungufu wa machozi. Tena wengi wa<br />
wao waliamini walikuwa wa moyo mmoja kwamba mali haikuwa<br />
<strong>ya</strong> mtu mmoja bali wote.<br />
<strong>Kanisa</strong> litajulikana na nguvu <strong>ya</strong>ke na Neema <strong>ya</strong>ke. Dhambi<br />
itaonekana na kuondolewa na nguvu <strong>ya</strong> utukufu wake wamilele<br />
katika mioyoyo <strong>ya</strong> watu ndani <strong>ya</strong> kanisa. Walio kwenye vifungo<br />
watafunguliwa, na kuimba nyimbo za Mungu hakutakuwa<br />
kulichoandikwa kwenye kitabu kab<strong>la</strong> saa aijatimia <strong>la</strong>kini kutakuwa<br />
kushuka kwa <strong>ya</strong>le ambayo Mungu anatenda wakati huo katikati <strong>ya</strong><br />
watu. Angalieni, ambayo amejazwa na furaha, imani, watakatifu<br />
wake wanaweza kujaa na nyimbo popote pale hata ambako kanisa<br />
liko ndani <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong>kulia chaku<strong>la</strong>.<br />
Kitu kilicho cha uhakika sehemu moja kunatakiwa kiwe cha<br />
uhakika popote. Divai na maji <strong>ya</strong>lio hai <strong>ya</strong>na maana jip<strong>ya</strong><br />
kwakutambua hayo. Ni <strong>ya</strong> kwenye Biblia, ni mema na kujaa na<br />
kikristo cha <strong>Yesu</strong>.<br />
Wote ni undugu haswa tukae kama Bwana alivyofan<strong>ya</strong>. <strong>Yesu</strong> <strong>Kristo</strong><br />
wa Mungu sasa anaishi ndani yetu ki<strong>la</strong> mmoja peke <strong>ya</strong>ke kama<br />
watu wake, Wakolose 1:26-27; 3:4; Waga<strong>la</strong>ti<strong>ya</strong> 2:20; Matendo 17:28<br />
Waefeso 5:18; Yoha 2:6 Warumi 18:9<br />
Ku<strong>la</strong>sa hii ni mfano usio na mwisho wa kanisa ambalo <strong>Yesu</strong><br />
alilijenga tena chochote ambacho kitatembea na yeye katika Roho<br />
wake.<br />
Roho Bwana Mungu juu <strong>ya</strong>ngu; kwasababu Bwana amenitia mafuta,<br />
niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga<br />
waliovunjika moyo kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao walio<br />
fungwa habari za kufunguliwa kwao. Kutangaza mwaka wa bwana<br />
uliokubaliwa, na siku <strong>ya</strong> kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote<br />
waliao; kuwaagizia hao waliao katika sayuni wapewe taji <strong>ya</strong> maua<br />
bada<strong>la</strong> <strong>ya</strong> majivu, mafuta <strong>ya</strong> furaha bada<strong>la</strong> <strong>ya</strong> maombolezo, vazi <strong>la</strong><br />
sifa bada<strong>la</strong> <strong>ya</strong> roho nzito; wapate kuitwa miti <strong>ya</strong> haki, iliopandwa<br />
na bwana ili atukuzwe.<br />
Nao watajenga pa kale palipo palipo haribiwa, watapainua mahali<br />
palipokuwa ukiwa zamani, watatengeneza miji ilio haribiwa,<br />
mahali palipoachwa kizazi baada <strong>ya</strong> kizazi. Na wageni watasimama<br />
na kulisha makundi yenu, na watu wakabi<strong>la</strong> nyingine watakuwa<br />
wakulima wenu na watunzaji wa mizabibu yenu.<br />
Bali ninyi mtaitwa makuhani wa Bwana; watu watawaiteni<br />
wahudumu wa Mungu wetu; mtaku<strong>la</strong> utajili wa mataifa na kuyisifia<br />
utukufu wao. (ISAYA 61:1-7; Luka 4:18-19).<br />
Hivi sasa tuseme hivi usemi wa Mungu ni mzuri kupita siku <strong>ya</strong><br />
mtu, je, sio hivyo? Makanisa kama ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>po ambayo inafuata<br />
maneno <strong>ya</strong> Mungu. Kama unataka kuingia nikuhakishieni kupitia<br />
mambo magumu <strong>ya</strong>kuumiza kupitia hayo tukaingie kwenye<br />
ufalme wake Mungu. Mna<strong>ya</strong>weza yote ha<strong>ya</strong> kama mwingine<br />
yeyote anavyofan<strong>ya</strong>.<br />
Basi atukuzwe yeye awezaye kufan<strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> ajabu mno kuliko<br />
yote tunaombayo au tu<strong>ya</strong>wazayo, kwa kadiri <strong>ya</strong> nguvu itendayo<br />
kazi ndani yetu; Naam atukuzwe katika kanisa na katika <strong>Kristo</strong><br />
<strong>Yesu</strong> hata vizazi vyote v<strong>ya</strong> milele na milele Amen. Waefeso 3:20<br />
Amen!<br />
MANENO YA MWISHO<br />
Limekuwa tumaini <strong>la</strong> moyo uliovunjika wowote, mtu ampendaye<br />
Mungu mwanamke au mwamme <strong>la</strong>bda injili nyingine nzuri,<br />
mp<strong>ya</strong> na kuongezea nguvu, mipangilio, hekalu lilojengwa <strong>la</strong>kisasa<br />
linaweza likapon<strong>ya</strong> vidonda na makwazo <strong>ya</strong> makaniza <strong>ya</strong>o. Katika<br />
kweli, wanafunzi wa <strong>Yesu</strong>, wanaomuogopa Mungu walioishiwa<br />
nguvu, kwasababu <strong>ya</strong>kutosaidiwa waliona kuishi kwa mabenki<br />
kukua zaidi na zaidi makanisa <strong>ya</strong>o mnaesabi<strong>ya</strong> watu wa duniani<br />
bi<strong>la</strong> kuangalia ambayo Mungu amekataza. Wanasimamia kwa<br />
ukali hata kwamba watoto wapitao 60% wanaingia kwenye ndoa<br />
kab<strong>la</strong> <strong>ya</strong> wakati wao katika umri mdogo, miaka kumi na tano.<br />
Hata kwamba kuna uhakika usio wa nguvu, kwamba makanisa<br />
<strong>ya</strong> wanafunzi hao na v<strong>ya</strong>ma vingine, awakayi katika uweza wa<br />
nguvu na upendo na utakatifu wa Mungu wetu, wengine kwaajiri<br />
<strong>ya</strong>kuachilia na rehema wamejizuia wao wenyewe. Kwasababu<br />
<strong>ya</strong>kushikilia desturi za watu, unakuwa ni uoga wakukataliwa, hofu<br />
18 19
<strong>ya</strong> kushindwa, hofu <strong>ya</strong>kufukuzwa kazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uongozi. Nakuacha<br />
mambo mema na michanganyo kwasababu <strong>ya</strong>kujipenda hata pia<br />
urithi wa kwenye familia. Angalieni sababu zilizofichwa kati <strong>ya</strong>o<br />
ambawo wanachukizwa na mawazo mengine wawekwa hapo.<br />
Wakati mnapopasua chubu anayebembeleza ni mzizi wa dini<br />
unaweza kukutana na kipingamizi kama hiki kama Bwana <strong>Yesu</strong><br />
alivyo kutana nayo. Ujiandae kwaajiri <strong>ya</strong> hayo, ukaanza na hekima<br />
na upendo. Lakini siku zakufananisha zikwisha pita.<br />
Tunakiwa kuendelea mbele pamoja na Mungu wetu katika yote<br />
aliyo tuandalia. Nabii isa<strong>ya</strong> alisema, kwamba neno <strong>la</strong> Mungu<br />
alitarudi bure. <strong>Yesu</strong> alieleza kwakuendelea na mam<strong>la</strong>ka <strong>ya</strong> nguvu.<br />
Bwana wetu alitufundisha kuna kitu kimoja ambacho kita maliza<br />
na kuharibu neno <strong>la</strong> Mungu miyoyoni mwetu.<br />
Huku mkilitangua neno <strong>la</strong> Mungu kwamapokeo yenu<br />
mliopokeana; tena mwafan<strong>ya</strong> mambo mengi <strong>ya</strong>lio sawasawa na<br />
hayo. Marko 7:13.<br />
Kwa Kumaliza………….<br />
Lakini wapenzi, ijapokua twanena hayo, katika habari zenu tumesadiki<br />
mambo <strong>ya</strong>lio mazuri zaidi, na <strong>ya</strong>lio na wokovu. Maana Mungu<br />
si dharimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhirisha<br />
kwa jina <strong>la</strong>ke, kwakuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi<br />
sasa mngali mkiwahudumia. Nasi twataka sana ki<strong>la</strong> mmoja wenu<br />
aidhihirishe bidii ile ile, kwa utimilifu wa matumaini hata mwisho;<br />
ili msiwe wavivu, bali mkawe wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa<br />
imani na uvumilivu. Waebrania 6:9-12”.<br />
INCHI ISIYO NA MIJI<br />
Fikilieni kwa dakika moja miji hakuna ambaye peke<strong>ya</strong>ke anaweza<br />
kufahamu au kusema kwamba mji ni wa nini. Maisha <strong>ya</strong>mekua<br />
<strong>ya</strong> miji, katika kundi na katika mafundisho, kizazi hiki istoria<br />
inasema kwamba miji ilikua <strong>ya</strong> wanaume ambao walikua wanajiita<br />
wanaume kweli, tena watu familia walikuwa wengi sehemu<br />
walizokuwa wanaishi.<br />
Simameni, tena fikirini pamoja nami kwa dakika kwamba<br />
kuweje dunia bi<strong>la</strong> miji. Muongeze kwamba kundi <strong>la</strong> watu kizazi<br />
kile kimefikili kubadili vitu na ku<strong>ya</strong>weka <strong>ya</strong>navyotakiwa kuwa.<br />
Wakawaza kulejeza miji, na kujenga miji kama sehemu <strong>ya</strong>kufanyia<br />
yote katika maisha <strong>ya</strong>o. Ingechelewa miji yeyote angekuwa mji<br />
wakufanyia kazi. Lakwanza kufan<strong>ya</strong> lingekuwa kwa asili kusema<br />
wanakotunzia vitabu au kusoma sheria, kusoma kujifunza ki<strong>la</strong> kitu<br />
cha mji.<br />
Katika uchunguzi wao walishirikiana pamoja kwamba watalejeza<br />
uhai wa mji katika kizazi chao. Kwa pamoja wakijenga wanasogeza<br />
miji na mbao, wanamalizia na sehemu <strong>ya</strong> kukaa jeshi <strong>la</strong> ulinzi.<br />
(police station).<br />
<strong>Watu</strong> waliojitoa wanaume na wanawake walikwisha maliza kazi<br />
<strong>ya</strong>kulejeza tena mji na maisha katika dunia yenye upungufu na<br />
lisilo na mji. Walipatana kwamba kwa saa moja ki<strong>la</strong> siku wajifunze<br />
maisha <strong>ya</strong> mji mtu ambayo alikuwa anacheza michezo mingine<br />
hata kwamba awe wamjini alianza kuweka majani kwenye kaduka<br />
kake. Mfan<strong>ya</strong>kazi wakutoa pesa benki na mama <strong>ya</strong>ke na baba <strong>ya</strong>ke<br />
wakati wote walikuwa wana fikiria watakuwa na pesa nyingi siku<br />
nyingine dora chache kuongoza kundi nakutafuta hayo walipata<br />
vitabu vichache kwamba watawapa watoto wake kutumia shuleni.<br />
Tena polisi aliyekuwa anatunza ofisi <strong>ya</strong>ke kupita vitabu alikutana<br />
na matatizo sababu bwana wake ma<strong>la</strong> kwa ma<strong>la</strong> alikuwa anatoa<br />
vitabu kabatini. Kama vile mjini bunduki hazikukaa, hilo lilikuwa<br />
sio tatizo. Kule ambako kuliweko vichache kwa wakati huo katika<br />
miaka ishirini na mbili, <strong>ya</strong>siokaa kabisa.<br />
Walifan<strong>ya</strong> uchunguzi katika lugha nakupata njia pasipo njia.<br />
Nakutunza kitabu kilichokuwa vumbi ambalo lilikuwa na habari<br />
kwamba uingereza kati <strong>ya</strong> mwaka wa 1980 polisi (Bobbies)<br />
walikuwa awatumii bunduki, bada<strong>la</strong> <strong>ya</strong>ke walikuwa wanatumia<br />
mabomu <strong>ya</strong>kutoa machozi. Katika kuelewa kwake ilikuwa vyema<br />
kwa yeye kwamba polisi anatakiwa bunduki tu wakati wa kwanza<br />
walipokuwa wanapanga kama watu wa cheo. Yalipopita hayo<br />
waliwaza kwamba wataendelea mbele, kwa hiyo hakukutakiwa<br />
kutumia bunduki kuhakikisha vyeo vikubwa vikubwa. Miaka<br />
mingine <strong>ya</strong> 1980 watu walikuwa wanaendelea kutumia bunduki<br />
zilikua za kuzoea hata kwamba zilikuwa za kizamani a<strong>la</strong>fu<br />
wanaonyesha kutoelewa juu <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>. Gonjwa hili limemalizwa.<br />
20 21
Bunduki si kwamba haikufaa katika desturi zao. Halusiwi kufan<strong>ya</strong><br />
kazi kama inavyokiwa kuwa.<br />
Kama ilivyo sehemu <strong>ya</strong> faida walianza kuweka mafundisho na<br />
mikutano na polisi, kwaajiri mafundisho yote <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong><br />
kwanza.<br />
Kwa hiyo watu wengi akina mama na baba waaminifu walikua<br />
wanakwenda ki<strong>la</strong> siku, namna <strong>ya</strong> dini majumbani kwao mambo<br />
<strong>ya</strong> mbao kwenda kujifunza maisha <strong>ya</strong> mjini. Kama watu wa mjini<br />
walinunua mboga za shambani, mwenye shamba kukimbilia benki<br />
na pesa alizopata kwenye mauzo. Polisi walisimama na kumlinda<br />
mwenye shamba kwamba majambazi mn<strong>ya</strong>ng’anyeje mali <strong>ya</strong>ke.<br />
Mwalimu mkuu alikuwa anajitahidi kufundisha. Kwa saa moja<br />
mji wote ulikuwa na maongezi ki<strong>la</strong> mtu alijitahidi (kwa sababu <strong>ya</strong><br />
kusudi) kutumia usemi wa kizamani mijini siku hizo. Sasa kazi<br />
zao za mjini zilikua zinawafaa.<br />
Uu ulikubaliwa kwamba ulikuwa wakati wa ukim<strong>ya</strong> kwa watu<br />
wengi. Kweli wakati mwingine kulikuwa kunaonekana matatizo<br />
kwakuwa ha<strong>ya</strong> ni <strong>ya</strong>kutumainika. Wengine wanaweza kusema<br />
kwamba yote ni map<strong>ya</strong> na <strong>ya</strong> hari <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong>liojengwa mjini ambayo<br />
<strong>ya</strong>likua <strong>ya</strong>nakuwa siku na siku <strong>ya</strong>litoka kwenye magawanyiko au<br />
kujisifu wengi walisikia vizuri sana na mawazo <strong>ya</strong> kufuata kweli,<br />
kukua nakujaa kwenye miji.<br />
Siku moja mtu mmoja wa zamani aliyetoka mjini alikuja. Akaona<br />
watu mjini pale walivyo kuwa wakiendesha biashara zao walikuwa<br />
wana kimbia walikua wana kimbi<strong>ya</strong> hapa na pale kama kwamba<br />
<strong>ya</strong>fuatayo <strong>ya</strong> biashara hizo kwamba <strong>ya</strong>li kuwa <strong>ya</strong>nategemea wao.<br />
Juu <strong>ya</strong> yote habari hii ni <strong>ya</strong>kulejeza maisha <strong>ya</strong> mjini ni jambo <strong>la</strong><br />
muhimu sana. Mkubwa aliyetoka kijiji cha zamani walivunjika<br />
moyo na kuchanganyikiwa, walishanga na kukwaza wote wakati<br />
mmoja. Je, yote <strong>ya</strong>likua <strong>ya</strong> kazi gani? Eti kutulejeza maisha <strong>ya</strong><br />
mjini ha<strong>ya</strong> ndio?<br />
Walikuwa na hofu sana na kufurahi kuwafundisha wao ambao<br />
walikuwa wanaonyesha maisha <strong>ya</strong> mjini zaidi sana sawa na <strong>ya</strong><br />
mjini. Vitabu vyote v<strong>ya</strong> kujifunzia walikuwa navyo kwa wakati<br />
wao waliwasaidia kutoa kile kilichokuwa kikionekana kitimilifu<br />
katika maisha yote <strong>ya</strong> mjini, kipande baada <strong>ya</strong> kipande kingine bali<br />
bi<strong>la</strong> maisha yeyote nyuma <strong>ya</strong>o.<br />
Mkubwa aliye mgeni alikuwa anasumbuka sana kutokana na<br />
maisha <strong>ya</strong> watu wa mjini. Lakini hayo <strong>ya</strong>likuwa sawasawa. <strong>Watu</strong><br />
kama familia hii kweli, kuna matatizo <strong>la</strong>kini <strong>ya</strong>likuwa a<strong>ya</strong>ondolewi<br />
vyema, bada<strong>la</strong> <strong>ya</strong>ke walikua wanajinua kuwa watakatifu kuliko<br />
ninyi. Walizungumza kwa sauti <strong>ya</strong> chini masikoni kwa mtu na<br />
mwenzake walipokuwa wakipita kwenye miji. Tunajua kweli<br />
sisi ni wa mjini. Walikuwa wana kubaliwa ku<strong>la</strong> walichokuwa<br />
wanakihitaji.<br />
Kuna makosa kwamba uwe na pesa benki?<br />
Je, si kuna vitabu v<strong>ya</strong> kutosha mashuleni<br />
Wakati walipo kuwa wakiangalia <strong>ya</strong>fuatayo <strong>ya</strong> mkubwa yule mgeni<br />
na matatizo <strong>ya</strong>ke walipokuwa wakiona a<strong>ya</strong>bembelezwi majibu <strong>ya</strong>o<br />
<strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>nazidi kukuwa makubwa.<br />
Jaribuni kuchukuwa he<strong>la</strong> benki mtaona kama kundi <strong>la</strong> Polisi<br />
alifanyikazi, alipiga kelele.<br />
Sikiliza kama autaki namna tunavyojenga tumeanza nyumba<br />
<strong>ya</strong>ko hapa washa moto waota kama unataka. Unajua mahari<br />
wanakochagua vitu kuko. Baada <strong>ya</strong>kusemasema kwanini usijenge<br />
pamoja nasi? Kumbe wewe ni mwema sana kuliko yeyote?<br />
Ayitakiwi kusema kwamba mkubwa yule mgeni utakufa aliondoka<br />
kwa ghaf<strong>la</strong> na kukwazika. <strong>Watu</strong> wa mjini walikuwa wakienda kwa<br />
uaminifu mjini ki<strong>la</strong> siku wakati unaofaa wakati wote wakipata<br />
nafasi wakati mi<strong>la</strong>ngo ikifunguliwa uwe mwaminifu mpaka kifo.<br />
Kwakujiheshimu na kwa mpangilio mnaona maisha <strong>ya</strong> hofu na<br />
kujinuwa mjawaluhusu wao watofautishe kwenda mjini na kuwa<br />
wa mjini.<br />
Tunaomba kwamba watu wa mjini watufundishe kwamba tusi<br />
haribu kilicho sawa na ufahamu wa zamani. Tunaomba kwamba<br />
tukae kidogo kupita kunavyo kuwa, ndani na nje na kwamba<br />
tusiongeze uzuri wa kiwango cha mizani ilivyotengenezwa.<br />
Mafundisho <strong>ya</strong> wenye shule wanatunza kazi <strong>ya</strong> wenyewe.<br />
Ha<strong>ya</strong>fanywi sio kwamba ni mjini au kanisa. Kusema za miji <strong>la</strong>bda<br />
22 23
kuhesabu za miji hatuwezi kufananisha na maarifa na furaha na faidi<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> mjini. Hata maisha katika ufalme wa Mungu.<br />
Faida na nguvu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> mjini haitakuwepo wakati miji na<br />
makanisa <strong>ya</strong>navyokuwa <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> juu kwa matendo <strong>ya</strong> wenyewe.<br />
Msishibishwe kwenda mahari wanakotunzia asali. Ingine kwenye<br />
hili na maisha <strong>ya</strong> moyo wote.<br />
Uwe na msimamo sio sababu sheria yeyote, <strong>la</strong>bda kuwa mtu<br />
mwema kwa miaka <strong>ya</strong>kuongezea kumi au kupita hapo. Usemi<br />
wa nguvu ukiwa umesimama nyuma <strong>ya</strong> madhabahu usiuondoe<br />
ukweli wa Mungu, kitokacho kwenye moyo wake kwa watu wake<br />
siku hizi (Waefeso 3:10) Bwana atubaliki nakutusaidia wakati<br />
tunataka kuwa watu wake, Bwana harusi ambayo amejita<strong>ya</strong>lisha<br />
kuja tena Bibi harusi, “Mfalme wa utukufu Bwana, <strong>Yesu</strong> <strong>Kristo</strong>.<br />
Jina <strong>la</strong>ke litukuzwe.<br />
24