19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mega bits/sec dedicated internet bandwidth. Hivi sasa, gharama ya simu kwa sekunde ni<br />

kati ya senti hamsini na shilingi moja na gharama za mtandao wa intaneti kwa kiwango<br />

cha 2mbts/sec ni shilingi 3,620,000.<br />

Aidha, Vituo 6 vya kuunganisha Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na nchi jirani<br />

vilivyopo Rusumo (Rwanda), Kabanga (Burundi), Mtukula (Uganda), Namanga (Kenya),<br />

Tunduma (Zambia) na Kasumulo (Malawi) vimejengwa na viko tayari kwa ajili ya<br />

kuunganisha mawasiliano na nchi jirani. Hivi sasa, vituo vya Kasumulo, Rusumo na<br />

Tunduma vimeshaunganishwa kimawasiliano na nchi za Malawi, Rwanda na Zambia.<br />

Uunganishwaji wa kimawasiliano kupitia Mkongo huu kwa nchi za Kenya, Uganda na<br />

Burundi kunasubiri ukamilikaji wa ujenzi wa miundombinu katika nchi hizo.<br />

Kimiundombinu, Tanzania iko tayari.<br />

18. Mheshimiwa Spika, Wizara inaratibu Programu ya kujenga uwezo wa rasilimali watu<br />

katika fani ya TEHAMA kwenye Taasisi za Serikali (ICT HR Development Program) kwa<br />

malengo ya kuimarisha na kuhamasisha matumizi ya TEHAMA kwa ajili ya maendeleo.<br />

Aidha, kupitia mradi wa ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, watumishi 268 wa<br />

Kampuni ya Simu Tanzania ambayo imepewa dhamana ya kuendesha Mkongo wamepata<br />

mafunzo ya kusimamia na kuuendesha Mkongo huo.<br />

19. Mheshimiwa Spika, Wizara imekamilisha tathmini ya uanzishwaji wa Mtandao wa Elimu<br />

na Utafiti (National Education and Research Network-NREN) utakaounganisha vyuo<br />

vikuu na vituo vya utafiti 27 katika Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kupitia Mradi wa<br />

Sayansi Teknolojia na Elimu ya Juu unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.<br />

20. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na International Telecommunication Union<br />

(ITU) inaratibu miradi ya maendeleo ya TEHAMA (ICT Development Initiatives) nchini<br />

hususan katika sekta ya Elimu. Lengo ni kuunganisha shule za msingi, sekondari na vyuo<br />

[6]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!