19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

TUME <strong>YA</strong> NGUVU ZA ATOMIKI TANZANIA<br />

153. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2011/2012, Tume ya Taifa ya Nguvu za<br />

Atomiki Tanzania, itaendelea kutoa na kuimarisha huduma za kinga ya mionzi ayonisha<br />

(ionizing radiation) kwa kukagua na kusimamia vituo 190. Pia, itapima viwango vya<br />

mionzi (Personnel Dosimetry Service) kwa wafanyakazi 1,300 na kufanya ukaguzi wa<br />

vituo vinavyotumia mionzi isiyoayonisha (non-ionizing radiation) kwenye minara ishirini<br />

(20) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania. Vile vile, Tume itapima<br />

vyanzo vya mionzi katika sampuli 20,000 za vyakula. Tume itaimarisha upimaji wa<br />

mionzi kwenye vituo 26 ambavyo vimekuwa vikiendeshwa kwa ushirikiano na Taasisi<br />

nyingine.<br />

154. Mheshimiwa Spika, Tume itatafuta na kukusanya mabaki ya vyanzo vya mionzi na<br />

kuyahifadhi katika maabara maalum (Central Radioactive Waste Management Facility)<br />

iliyoko katika eneo la Tume, Arusha. Vile vile, Tume itaendesha kituo cha kupima mionzi<br />

iliyoko kwenye mazingira chini ya mkataba wa Comprehensive Nuclear Test-Ban Treaty<br />

of Nuclear Weapons kwa kutumia kituo cha Dar es Salaam (Radionuclide Monitoring<br />

Station, (TZP-RN64), Dar es Salaam). Aidha, Tume itatoa elimu kwa wananchi waishio<br />

maeneo yenye madini ya urani ili kuwaongezea uelewa na kuweka hadhari pale<br />

panapostahili.<br />

155. Mheshimiwa Spika, Tume itasimamia na kuratibu miradi ya kitaifa na kikanda (AFRA)<br />

katika taasisi nane (8) za kitaifa inayogharamiwa na Shirika la Kimataifa la Nguvu za<br />

Atomiki (International Atomic Energy Agency) na kusimamia mchakato wa kuandaa<br />

miradi mipya kwa kipindi cha mwaka 2012/2013. Aidha, Tume itaendelea kutoa<br />

mapendekezo ya tafiti mbalimbali kwa kushirikiana na wadau.<br />

156. Mheshimiwa Spika, Tume imedhamiria kuendeleza ukaguzi katika migodi 40 ili kubaini<br />

hali ya usalama na kutoa tahadhari. Pia, Tume itafanya utafiti katika migodi ya urani kwa<br />

[46]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!