19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela - Arusha (NM-AIST);<br />

• Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC);<br />

• Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH);<br />

• Shirika la Posta Tanzania (TPC);<br />

• Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL);<br />

• Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA); na<br />

• Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCAF).<br />

11. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia katika kipindi cha<br />

mwaka wa fedha 2010/2011, imetekeleza majukumu na mipango yake kwa kuzingatia<br />

Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini<br />

Tanzania na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2010 – 2015. Aidha,<br />

Wizara inazingatia Sera ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, Sera ya Taifa ya<br />

Bayoteknolojia, Sera ya Taifa ya Utafiti na Maendeleo, Sera ya Taifa ya Teknolojia ya<br />

Habari na Mawasiliano, Sera ya Taifa ya Mawasiliano ya Simu, Sera ya Taifa ya Posta<br />

pamoja na Sera na Sheria mbalimbali za Sekta ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia na<br />

miongozo mingine inayoongoza Sekta ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia na Serikali<br />

kwa ujumla.<br />

B. MAPITIO <strong>YA</strong> UTEKELEZAJI <strong>WA</strong> BAJETI <strong>YA</strong> M<strong>WA</strong>KA 2010/2011<br />

12. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2010/11, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi<br />

na Teknolojia ilitengewa jumla ya Sh.71,071,600,000. Kati ya fedha hizo, Sh.<br />

26,590,690,000 zilitengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, yaani mishahara na<br />

matumizi mengineyo na Sh. 44,426,910,000 kwa ajili ya matumizi ya maendeleo<br />

zikijumuisha fedha za ndani Sh. 42,426,910,000 na fedha za nje Sh. 2,000,000,000.<br />

13. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2011 jumla ya Sh. 21,927,092,337.84<br />

zilikuwa zimetolewa na kutumika ambazo ni sawa na asilimia 82.46 ya Bajeti ya<br />

Matumizi ya Kawaida iliyoidhinishwa. Aidha, kiasi cha Sh.21,673,706,747 zilikuwa<br />

[4]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!