19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote. Pia, Wizara<br />

itaendeleza juhudi za kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa Kampuni ya Simu Tanzania na<br />

Shirika la Posta Tanzania.<br />

121. Mheshimiwa Spika, ili kuongeza ufanisi, uratibu na kuchochea ubunifu na ujasiriamali<br />

katika eneo la TEHAMA, Wizara itaendeleza na kukamilisha mchakato wa kuanzisha<br />

Tume ya TEHAMA. Pamoja na mambo mengine, Tume hii itaratibu shughuli na<br />

maendeleo ya TEHAMA, taaluma na wataalamu wa TEHAMA, usalama na uhifadhi wa<br />

mazingira katika nyanja za TEHAMA. Vile vile, Wizara itaendelea kuratibu mpango wa<br />

kuanzisha na kuendeleza vituo vya mawasiliano ya kijamii nchini kwa kushirikiana na<br />

wadau na Taasisi mbalimbali za Kitaifa na Kimataifa.<br />

122. Mheshimiwa Spika, Wizara itasimamia uhuishaji wa Sera za Mawasiliano pamoja na<br />

kutunga sera mpya zinazokidhi mahitaji ya sasa ya sekta hii. Hii inatokana na ukuaji wa<br />

haraka wa sekta ya mawasiliano unaochochea mabadiliko ya mara kwa mara ya<br />

kiteknolojia, kiuchumi, kisiasa na kijamii.<br />

TEHAMA<br />

123. Mheshimiwa Spika, Wizara itaendelea kusimamia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa<br />

Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na kufikisha huduma zake hadi makao makuu ya<br />

mikoa na wilaya zote nchini. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais,<br />

Menejimenti ya Utumishi wa Umma, itaratibu uunganishwaji wa Wizara 15 na Taasisi 50<br />

za Serikali Kwa kutumia fedha kutoka Benki ya Dunia kupitia mradi wa Regional<br />

Communication Infrastructure Project (RCIP). Vile vile, Wizara itakamilisha andiko la<br />

mpango wa kuziunganisha hospitali za rufaa, mikoa, teule na wilaya kwa upande mmoja,<br />

na shule za msingi na sekondari katika Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano. Lengo ni<br />

kuimarisha matumizi ya mtandao katika utoaji wa huduma za afya, elimu na utawala bora.<br />

[38]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!