19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

100. Mheshimiwa Spika, Shirika la Posta Tanzania linaendelea kuongeza na kuimarisha<br />

matumizi ya TEHAMA katika huduma zinazotolewa na Shirika. Hadi sasa, ofisi za Posta<br />

zilizounganishwa katika mtandao wa kieletroniki zimeongezeka kutoka ofisi 14 mwaka<br />

2009 hadi kufikia 30 mwaka 2011 sawa na ongezeko la asilimia 114. Huduma nyingine za<br />

kielektoniki zinazotolewa ni pamoja na Electronic Money Transfer, Track and Trace na<br />

Management Information Systems (MIS). Aidha, vituo saba (7) vilivyounganishwa kielektroniki<br />

kupitia mradi wa India – Tanzania Centre of Excellence in ICT wa Taasisi ya<br />

Teknolojia Dar es Salaam vinatarajia kuanza kutoa huduma mbalimbali za TEHAMA<br />

kuanzia mwezi Oktoba, 2011.<br />

101. Mheshimiwa Spika, Shirika limefanya matengenezo ya majengo ya ofisi za Posta Kuu<br />

za Dar es Salaam, Shangani, Chakechake, Mwanza, Singida na Musoma. Matengenezo<br />

hayo yamefanyika katika viwango tofauti.<br />

102. Mheshimiwa Spika, Shirika limetoa mafunzo katika kozi mbalimbali kwa lengo la<br />

kuboresha huduma zake kama ifuatavyo: uendeshaji wa posta watumishi (14); huduma<br />

kwa wateja watumishi (60); TEHAMA watumishi (60) na utoaji wa huduma za posta kwa<br />

watumishi (80).<br />

KAMPUNI <strong>YA</strong> SIMU TANZANIA<br />

103. Mheshimiwa Spika, Kampuni ya Simu Tanzania TTCL imepitia upya Mpango Mkakati<br />

wake ili kujielekeza kuwekeza zaidi kwenye huduma za Intaneti (data) ikilinganishwa na<br />

simu za kiganjani. Malengo ya Kampuni kwa upande wa simu za kiganjani yamepitiwa<br />

upya ili kuongeza wateja kulingana na mahitaji ya soko la sasa.<br />

104. Mheshimiwa Spika, TTCL inaendelea na uendeshaji wa sehemu ya Mkongo wa Taifa<br />

wa Mawasiliano uliokamilika. Hadi sasa Kampuni kubwa za simu za ndani na nje ya nchi<br />

[32]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!