19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

TAASISI <strong>YA</strong> SA<strong>YA</strong>NSI <strong>NA</strong> TEKNOLOJIA MBE<strong>YA</strong><br />

78. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Mbeya (MIST) imeongeza idadi ya<br />

wanafunzi kutoka wanafunzi 1,242 mwaka wa fedha 2009/2010 hadi kufikia wanafunzi<br />

1,757 kwa mwaka wa fedha 2010/2011 sawa na ongezeko la asilimia 41.5. Aidha, idadi ya<br />

wanafunzi wa kike imeongezeka kutoka wanafunzi 105 mwaka 2009/2010 hadi kufikia<br />

wanafunzi 162 kwa mwaka wa fedha 2010/2011. Hili ni ongezeko la asilimia 54.3.<br />

79. Mheshimiwa Spika, Idadi ndogo ya wanafunzi wa kike katika masomo ya Sayansi bado<br />

ni changamoto. Taasisi imeendelea kutoa mafunzo ya awali (pre-entry training) kwa<br />

wanafunzi wa kike katika masomo ya sayansi, uhandisi na Teknolojia. Jumla ya<br />

wanafunzi wa kike 43 sawa na asilimia 122.9 ya lengo wamedahiliwa kwa kupitia mpango<br />

huo. Taasisi itaendelea na mpango huu ambao umeanza kuonyesha mafanikio ili kuongeza<br />

idadi ya wanafunzi wa kike katika fani za Sayansi na Teknolojia.<br />

80. Mheshimiwa Spika, Taasisi imefanikiwa kuanzisha mafunzo ya fani ya Sayansi na<br />

Teknolojia ya Maabara na mafunzo yanatolewa katika ngazi ya stashahada. Kwa mwaka<br />

wa masomo wa 2010/2011, jumla ya wanafunzi 51 wa fani hii wamedahiliwa. Kati ya<br />

wanafunzi hawa, 37 ni wanafunzi wa kiume na 14 ni wanafunzi wa kike.<br />

81. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa majengo mawili ya mabweni ya wanafunzi yenye uwezo<br />

wa kulaza wanafunzi 350 kila moja unaendelea vizuri. Hatua iliyofikiwa sasa ni kupaka<br />

rangi, kuweka mfumo wa umeme, kufunga vioo katika madirisha, kukamilisha mfumo wa<br />

maji taka pamoja na kuweka mazingira nadhifu kwa kupanda miti na bustani katika eneo<br />

linalozunguka majengo haya.<br />

[26]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!