19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mashariki (EAP&TC) yaliyofanywa na Shirika kwa niaba ya Serikali ili kupunguza deni<br />

linalolikabili Shirika. Vile vile, mchakato wa kuwezesha Shirika la Posta kutafuta wabia<br />

kwa ajili ya kuendeleza viwanja vya Shirika na rasilimali nyingine kama njia mojawapo<br />

ya kutatua tatizo la mtaji unaendelea.<br />

TEHAMA<br />

64. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea kukamilisha taratibu na TANESCO ili kutumia<br />

Mkongo uliopo katika nyaya za umeme kati ya Tanga na Pemba na Makambako na<br />

Njombe kwa ajili ya kuziunganisha Pemba na Songea kwenye Mkongo wa Taifa wa<br />

Mawasiliano. Kwa utaratibu huo huo, Zanzibar pia itaunganishwa kwenye Mkongo wa<br />

Taifa wa Mawasiliano baada ya TANESCO kukamilisha uwekaji wa nyaya mpya za<br />

umeme kati ya Dar es Salaam na Zanzibar.<br />

65. Mheshimiwa Spika, Wizara imeanza uhamasishaji na uendelezaji wa wataalam wa<br />

TEHAMA (ICT Professionals) katika taasisi za Serikali na sekta binafsi ili kujenga<br />

rasilimali watu nchini itakayowezesha kutumia fursa na rasilimali za TEHAMA vizuri na<br />

kwa manufaa zaidi. Kwa upande wa Serikali, Wizara kwa kushirikiana na wadau<br />

wengine wa TEHAMA imekamilisha Muundo wa Utumishi wa Wateknohama ambao<br />

tunaamini utatoa fursa mahsusi katika kuendeleza watumishi wa fani hiyo ambao ina<br />

jukumu kubwa sana katika maendeleo ya nchi yetu katika zama hizi za TEHAMA.<br />

66. Mheshimiwa Spika, Wizara imekamilisha Andiko-Dhana (Concept Paper) la Mradi wa<br />

ujenzi wa kituo cha kitaifa cha kutunza kumbukumbu za TEHAMA (Megadata Centre).<br />

Aidha, Wizara imekamilisha mchakato wa utambuzi wa maeneo ya kujenga vituo vya<br />

kuendeleza sayansi, teknolojia na ubunifu vinavyoitwa Science and Technology and<br />

Innovation Parks. Vituo hivi vitajengwa Arusha, Mwanza na Mbeya kama vituo vya<br />

majaribio. Aidha, Serikali ya imeanza kutekeleza utekelezaji Mradi wa Habari Jamii<br />

(Information Society and ICT Sector Development) kwa ushirikiano na Serikali ya<br />

Finland. Pamoja na kushughulikia masuala ya Sera za TEHAMA, mradi huu utajielekeza<br />

[22]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!