19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL)<br />

50. Mheshimiwa Spika, TTCL imejenga na kupanua mtandao wa mawasiliano (Backbone<br />

Network Services) wenye ubora wa hali ya juu unaotumia teknolojia ya kisasa ya Next<br />

Generation Network (NGN). Kupitia mtandao huu, TTCL imeweza kutoa huduma za<br />

mawasiliano ya simu, data na video kwa pamoja. Huduma hii imesambazwa katika<br />

makao makuu ya Mikoa yote ya Tanzania. Vile vile, zaidi ya asilimia 70 ya makao makuu<br />

ya Wilaya imeshafikiwa na huduma hii.<br />

51. Mheshimiwa Spika, Kampuni pia imejenga mtandao wa kisasa wa simu za kiganjani<br />

(TTCL Mobile) unaotumia teknolojia ya CDMA (Code Division Multiple Access). Katika<br />

kutekeleza shughuli hii, TTCL imejenga mtambo wenye uwezo (capacity) wa kubeba<br />

simu 250,000 za sauti na simu 15,000 za data (EVDO). Hadi sasa, jumla ya wateja wa<br />

simu za kiganjani wapatao 120,000 wameunganishwa kwenye huduma hii ikilinganishwa<br />

na wateja 6,390 mwaka 2006 waliounganishwa wakati huduma hii ilipoanzishwa.<br />

52. Mheshimiwa Spika, Kampuni ya Simu Tanzania imepanua mtambo wa broadband fixed<br />

broadband services kufikia njia 29,000 kutoka njia 19,000 zilizokuwepo kabla ya upanuzi<br />

huu mwaka 2006, hili ni ongezeko la asilimia 65. Upanuzi huu umewezesha utoaji wa<br />

huduma bora zaidi wa haraka wa simu na intaneti katika sekta mbalimbali za kiuchumi,<br />

kiutawala na kijamii, hususan serikalini, kwenye mabenki, mashirika ya umma na taasisi<br />

za kimataifa. Huduma zinazotolewa kupitia mtandao huu ni pamoja na ile ya huduma za<br />

kibenki kupitia huduma za fedha (Automatic Tellering Machines - ATM) na malipo ya<br />

huduma za umeme kupitia utaratibu wa Lipa Umeme Kadri Utumiavyo (LUKU) ambazo<br />

zimeunganishwa kupitia mtandao huu wa Kampuni ya Simu Tanzania.<br />

53. Mheshimiwa Spika, Vile vile, TTCL kwa kutumia teknolojia ya Asymmetric Digital<br />

Subscriber Lines (ADSL) inayotumia mtandao uliopo wa nyaya za shaba imewezesha<br />

[18]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!