19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kutumia vyombo vya habari kutoa taarifa muhimu za sayansi, teknolojia na ubunifu<br />

katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini<br />

38. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia na Taasisi ya<br />

Teknolojia ya Dar es Salaam, zimeendelea kuandaa vipindi mbalimbali vya redio na<br />

luninga vinavyohusu masuala ya sayansi na teknolojia ili kuhamasisha Umma wa<br />

Tanzania kuongeza matumizi ya sayansi na teknolojia katika shughuli za uchumi na<br />

maendeleo taifa.<br />

Aidha, Wizara na Taasisi zilizo chini yake zinachapisha majarida kuhusu masuala<br />

mbalimbali ya sayansi, teknolojia na matokeo ya tafiti mbalimbali ili kuwaelemisha<br />

wananchi umuhimu wa sayansi na teknolojia kwa matumizi ya kila siku. Vile vile,<br />

Wizara kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia imeendelea kuhamasisha na kusaidia<br />

taasisi za utafiti na vyuo vikuu nchini kuanzisha na kuendeleza majarida ya kitaaluma.<br />

Kuwatambua wagunduzi wetu na kuwapa rasmi hakimiliki za ugunduzi wao<br />

39. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuwatambua na kuwahamasisha wagunduzi<br />

nchini. Wizara kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia imekuwa ikiwasaidia wagunduzi<br />

hao kuboresha ugunduzi wao kwa kuwafadhili kwenye mafunzo ili wapate ujuzi zaidi<br />

katika fani zao. Aidha, Tume imeanzisha ofisi maalum inayojulikana kama Tanzania<br />

Intellectual Property Advisory Services and Information Centre (TIPASIC) ambayo inatoa<br />

ushauri kwa wabunifu na wagunduzi. Katika eneo hili Serikali imekuwa ikitoa tuzo<br />

maalum kwa wagunduzi na wabunifu ambao ugunduzi wao umedhihirika kuwa na<br />

mchango katika kutatua matatizo ya jamii. Tuzo hii hutolewa kwa wagunduzi binafsi,<br />

kikundi au Taasisi.<br />

40. Mheshimiwa Spika, katika kipindi kinachoanzia Julai 2010 hadi Juni 2011, Tume<br />

imepokea jumla ya maombi 19 kwa ajili ya Tuzo za Kitaifa za sayansi na Teknolojia.<br />

[14]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!