19.02.2015 Views

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Sayansi na Utamaduni (UNESCO). Sekretarieti na Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia<br />

Programu ilianza kazi tarehe 1 Aprili, 2010. Katika kipindi hiki yafuatayo yamefanyika:<br />

(a) Semina nne (4) za uhamasishaji kwa wadau zimefanyika hadi kufikia mwezi Machi<br />

2011; na<br />

(b) Wizara imeshaandaa andiko la awali (background paper) ambalo litatoa hali halisi ya<br />

mfumo wa sayansi, teknolojia na ubunifu ulivyo ili kuonyesha maeneo yanayohitaji<br />

kuboreshwa. Hatua inayofuata ni kufanya mapitio kwa kutumia wataalam wa<br />

kimataifa ili kupata namna bora zaidi ya kuendeleza sayansi, teknolojia na ubunifu<br />

hapa nchi kulingana na “best practice.”<br />

28. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendelea kusimamia mpango wa uanzishwaji wa Taasisi<br />

ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Arusha. Ukarabati na uboreshaji wa<br />

majengo yaliyopo Tengeru, eneo lililokuwa likimilikiwa na CAMARTEC, unaendelea<br />

vizuri. Ukarabati huo ulianza mwezi Agosti, 2010 na upo katika hatua za mwisho na<br />

majengo yatakabidhiwa ifikapo tarehe 10 Agosti, 2011. Ukarabati huo unafanywa kwa<br />

fedha za mkopo wa Sh. bilioni 38.7 kutoka kwenye mifuko ya pensheni chini ya<br />

usimamizi wa Pension Properties Limited baada ya mkataba kusainiwa tarehe 22 Mei,<br />

2010.<br />

29. Mheshimiwa Spika, kwa sasa mchakato wa ununuzi wa samani na vitendea kazi<br />

unaendelea na tayari baadhi ya vifaa na samani vimefikishwa na kupokelewa na Taasisi<br />

hiyo. Aidha, mitaala ya mafunzo ya uzamili na uzamivu imekwishaandaliwa na<br />

wafanyakazi wapatao 76 wamekwishaajiriwa. Masomo yanategemewa kuanza mwaka huu<br />

(2011/2012) katika fani zifuatazo:<br />

i. Life Sciences and Bio-engineering (LSBE);<br />

ii. Mathematics Computational Science and Engineering (MCSE);<br />

iii. Information and Communication Science and Engineering (ICSE);<br />

iv. Hydrology and Water Resources Engineering (HWRE);<br />

v. Environmental Science and Engineering (EnSE);<br />

vi. Materials Science and Engineering (MaSE);<br />

[10]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!