Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
vii. Soya huongeza kipato na ni <strong>zao</strong> linaloweza ku<strong>cha</strong>ngia katika<br />
kuondoa umaskini kwa mkulima kutokana na gharama ndogo<br />
za uzalishaji. Aidha, ni <strong>zao</strong> linaloweza kuondoa umaskini<br />
kwa watengenezaji wa vyakula vya binadamu na mifugo,<br />
wafanyabiashara na wafugaji na kutoa ajira kwa rika zote<br />
yaani vijana na wazee, vijijini na mijini; na<br />
viii. Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa mafuta ya soya<br />
yanaweza kutumika kwa kuendeshea mitambo yaani bio-fuel<br />
na bio-diesel.<br />
Aina za Soya<br />
Kuna aina mbalimbali za soya; aina zilizozoeleka Tanzania ni<br />
pamoja na Bossier, Uyole soya 1, Ezumu Tumu, Delma Hermon,<br />
Duiker na Kaleya. Kila aina inahitaji mazingira na hali ya hewa inakoweza<br />
kustawi, kukomaa kwa muda maalum na kutoa mavuno<br />
mazuri. Hata hivyo Bossier ni aina ambayo hustawi katika maeneo<br />
mengi nchini. Kwa wastani, aina mbalimbali za soya huchukua<br />
wastani wa miezi mitatu hadi saba kukomaa kutegemea na<br />
aina, mahali ilikop<strong>and</strong>wa na utunzaji katika shamba.<br />
3<br />
kijitabu hitimisho.indd 9<br />
5/17/06 11:36:06 PM