18.02.2015 Views

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

vii. Soya huongeza kipato na ni <strong>zao</strong> linaloweza ku<strong>cha</strong>ngia katika<br />

kuondoa umaskini kwa mkulima kutokana na gharama ndogo<br />

za uzalishaji. Aidha, ni <strong>zao</strong> linaloweza kuondoa umaskini<br />

kwa watengenezaji wa vyakula vya binadamu na mifugo,<br />

wafanyabiashara na wafugaji na kutoa ajira kwa rika zote<br />

yaani vijana na wazee, vijijini na mijini; na<br />

viii. Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa mafuta ya soya<br />

yanaweza kutumika kwa kuendeshea mitambo yaani bio-fuel<br />

na bio-diesel.<br />

Aina za Soya<br />

Kuna aina mbalimbali za soya; aina zilizozoeleka Tanzania ni<br />

pamoja na Bossier, Uyole soya 1, Ezumu Tumu, Delma Hermon,<br />

Duiker na Kaleya. Kila aina inahitaji mazingira na hali ya hewa inakoweza<br />

kustawi, kukomaa kwa muda maalum na kutoa mavuno<br />

mazuri. Hata hivyo Bossier ni aina ambayo hustawi katika maeneo<br />

mengi nchini. Kwa wastani, aina mbalimbali za soya huchukua<br />

wastani wa miezi mitatu hadi saba kukomaa kutegemea na<br />

aina, mahali ilikop<strong>and</strong>wa na utunzaji katika shamba.<br />

3<br />

kijitabu hitimisho.indd 9<br />

5/17/06 11:36:06 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!