Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Umuhimu wa <strong>zao</strong> la Soya<br />
Soya ni <strong>zao</strong> lenye virutubisho vingi vya aina ya protini ikilinganishwa<br />
na virutubisho vya aina hiyo katika ma<strong>zao</strong> mengine ya mimea na<br />
hata katika baadhi ya vyakula vinavyotokana na wanyama kama<br />
nyama na mayai na maziwa. Sifa hizo za soya zinafanya <strong>zao</strong> hilo,<br />
kuwa na umuhimu wa kipekee katika kutengeneza vyakula vya<br />
binadamu na mifugo na matumizi katika viw<strong>and</strong>a vya madawa<br />
na matumizi mengineyo.<br />
Mafuta yatokanayo na soya hayana<br />
lehemu (cholesterol) na hivyo kuwa na sifa ya kuboresha afya ya<br />
walaji. Zifuatazo ni faida za kutumia soya:-<br />
i. Soya ina virutubisho vingi na vilivyokamilika vya aina ya<br />
protini ambayo ni muhimu katika kuboresha lishe na afya kwa<br />
binadamu na mifugo;<br />
ii. Soya ni <strong>cha</strong>nzo rahisi na chenye gharama nafuu <strong>cha</strong> protini<br />
ambacho hata mtu wa kipato <strong>cha</strong> chini anaweza kumudu kwa<br />
kuwa <strong>zao</strong> hilo linaweza kulimwa maeneo mengi hapa nchini;<br />
iii. Kwa kuwa soya ina kiasi kikubwa <strong>cha</strong> protini ikilinganishwa<br />
na nyama na mayai na maziwa, inasaidia kupunguza kasi ya<br />
mashambulizi ya vijidudu vya maradhi mbalimbali ikiwa ni<br />
pamoja na magonjwa ya kansa, moyo, na kuwaongezea nguvu<br />
wagonjwa hasa wa UKIMWI;<br />
iv. Soya ni <strong>zao</strong> muhimu kwa watu wa kipato <strong>cha</strong> chini katika<br />
kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto kwa kuwa hawawezi<br />
kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama<br />
na mayai;<br />
v. Kutokana na uwingi wa protini, matumizi ya soya kwa watoto<br />
yanasaidia viungo kukua kwa haraka;<br />
vi. Soya hurutubisha udongo kwa kutumia njia ya nitrogen<br />
fixation. Kwa hiyo ni <strong>zao</strong> linalofaa kutumika katika kilimo <strong>cha</strong><br />
mzunguko (crop rotation) na katika kurutubisha ardhi ;<br />
2<br />
kijitabu hitimisho.indd 8<br />
5/17/06 11:36:05 PM