18.02.2015 Views

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Umuhimu wa <strong>zao</strong> la Soya<br />

Soya ni <strong>zao</strong> lenye virutubisho vingi vya aina ya protini ikilinganishwa<br />

na virutubisho vya aina hiyo katika ma<strong>zao</strong> mengine ya mimea na<br />

hata katika baadhi ya vyakula vinavyotokana na wanyama kama<br />

nyama na mayai na maziwa. Sifa hizo za soya zinafanya <strong>zao</strong> hilo,<br />

kuwa na umuhimu wa kipekee katika kutengeneza vyakula vya<br />

binadamu na mifugo na matumizi katika viw<strong>and</strong>a vya madawa<br />

na matumizi mengineyo.<br />

Mafuta yatokanayo na soya hayana<br />

lehemu (cholesterol) na hivyo kuwa na sifa ya kuboresha afya ya<br />

walaji. Zifuatazo ni faida za kutumia soya:-<br />

i. Soya ina virutubisho vingi na vilivyokamilika vya aina ya<br />

protini ambayo ni muhimu katika kuboresha lishe na afya kwa<br />

binadamu na mifugo;<br />

ii. Soya ni <strong>cha</strong>nzo rahisi na chenye gharama nafuu <strong>cha</strong> protini<br />

ambacho hata mtu wa kipato <strong>cha</strong> chini anaweza kumudu kwa<br />

kuwa <strong>zao</strong> hilo linaweza kulimwa maeneo mengi hapa nchini;<br />

iii. Kwa kuwa soya ina kiasi kikubwa <strong>cha</strong> protini ikilinganishwa<br />

na nyama na mayai na maziwa, inasaidia kupunguza kasi ya<br />

mashambulizi ya vijidudu vya maradhi mbalimbali ikiwa ni<br />

pamoja na magonjwa ya kansa, moyo, na kuwaongezea nguvu<br />

wagonjwa hasa wa UKIMWI;<br />

iv. Soya ni <strong>zao</strong> muhimu kwa watu wa kipato <strong>cha</strong> chini katika<br />

kuondoa utapiamlo hususani kwa watoto kwa kuwa hawawezi<br />

kumudu gharama za vyanzo vingine vya protini kama nyama<br />

na mayai;<br />

v. Kutokana na uwingi wa protini, matumizi ya soya kwa watoto<br />

yanasaidia viungo kukua kwa haraka;<br />

vi. Soya hurutubisha udongo kwa kutumia njia ya nitrogen<br />

fixation. Kwa hiyo ni <strong>zao</strong> linalofaa kutumika katika kilimo <strong>cha</strong><br />

mzunguko (crop rotation) na katika kurutubisha ardhi ;<br />

2<br />

kijitabu hitimisho.indd 8<br />

5/17/06 11:36:05 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!