18.02.2015 Views

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Hivyo ni <strong>bora</strong> kwa mkulima kuzingatia kanuni za kilimo <strong>bora</strong><br />

au kupata ushauri wa kitaalamu ili kuepukana na magonjwa<br />

hayo. Njia mojawapo ya kuzuia kuenea kwa magonjwa katika<br />

<strong>zao</strong> la soya ni kup<strong>and</strong>a mbegu safi na zilizopendekezwa mahali<br />

husika. Aidha, p<strong>and</strong>a kwa mzunguko (crop rotation) kwa kutumia<br />

ma<strong>zao</strong> yasiyoshambuliwa na magonjwa ya soya kama alizeti na<br />

mahindi.<br />

Wanyama waharibifu<br />

Kwa kawaida soya hupendwa sana na panya wa shambani na<br />

ghalani. Wanyama wengine ni pamoja na sungura, paa, swala,<br />

n.k. Mkulima anashauriwa kutumia mbinu na njia mbalimbali<br />

zikiwemo za asili, kukabiliana na wanyama hao bila kuharibu<br />

mazingira.<br />

18<br />

kijitabu hitimisho.indd 24<br />

5/17/06 11:36:55 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!