18.02.2015 Views

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

SURA YA TANO<br />

WADUDU, MAGONJWA NA WANYAMA WAHARIBIFU<br />

Wadudu<br />

Kwa sasa, nchini Tanzania soya haishambuliwi sana na wadudu<br />

kama ilivyo sehemu nyingine ambako <strong>zao</strong> hilo hulimwa kwa wingi.<br />

Hata hivyo endapo wadudu watatokea mkulima anashauriwa<br />

kutumia dawa za wadudu kama Thiodan 35% EC na Sumithion<br />

50% EC kwenye kipimo <strong>cha</strong> mililita 40 za dawa na lita 20 za maji<br />

au kipimo kinacho pendekezwa katika dawa husika. Upuliziaji wa<br />

dawa ufanywe kulingana na kiasi <strong>cha</strong> mashambulizi ya wadudu<br />

kwenye ma<strong>zao</strong>.<br />

Tofauti na ma<strong>zao</strong> kama mahindi na maharage, hakuna wadudu<br />

waharibifu wa soya ghalani. Hivyo <strong>zao</strong> hilo linaweza kutunzwa<br />

kwa muda mrefu ghalani bila kuwa na athari za wadudu. Kwa<br />

mkulima na wafanyabiashara, kutokuwepo wadudu waharibifu<br />

ghalani kunapunguza gharama za utunzaji hadi bei nzuri<br />

itakapofikiwa.<br />

Magonjwa<br />

Kama ilivyo kwa wadudu, magonjwa ya soya ni ma<strong>cha</strong>che. Hata<br />

hivyo magonjwa ambayo hutokea kwa nadra ni yale yanayotokana<br />

na vimelea vya ukungu na bakteria. Magonjwa hayo huenezwa<br />

kwa mbegu, masalia ya mimea shambani na wadudu mafuta.<br />

17<br />

kijitabu hitimisho.indd 23<br />

5/17/06 11:36:54 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!