18.02.2015 Views

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

eneo analotaka kulima soya hususani mahitaji ya mvua. Kwa<br />

sababu hiyo ni muhimu kwa mkulima kupata ushauri toka kwa<br />

mtaalam aliyekaribu naye kabla ya kuamua kulima soya. Aidha,<br />

mkulima anashauriwa kununua na kutumia mbegu kutoka katika<br />

sehemu ambazo <strong>cha</strong>nzo <strong>cha</strong> mbegu hizo kinaeleweka. Mfano<br />

wa sehemu hizo ni pamoja na maduka ya pembejeo, wakala<br />

wa mbegu, mashamba ya mbegu na vituo vya utafiti. Hii ni kwa<br />

sababu mbegu ya soya hupoteza nguvu ya uotaji katika msimu<br />

mmoja hasa katika sehemu za joto. Kwa hiyo mkulima anatakiwa<br />

kuhakikisha kuwa anap<strong>and</strong>a mbegu itakayoota. Kama mkulima<br />

hana uhakika na <strong>cha</strong>nzo <strong>cha</strong> mbegu au ana wasiwasi wa kuota<br />

kwa mbegu alizonazo anaweza kufanya majaribo ya uotaji<br />

(germination test) kabla ya kup<strong>and</strong>a. Njia rahisi ni kuzilowesha<br />

mbegu kwa maji na kisha kuziweka kwenye kitambaa mahali<br />

penye joto la kutosha. Mbegu ziloweshwe na maji kila siku mpaka<br />

zitakapoota. Hesabu mbegu zilizoota na iwapo mbegu zilizoota<br />

ni chini ya 75 kati ya mbegu 100 yaani asilimia 75, mkulima<br />

anashauriwa kutop<strong>and</strong>a mbegu hizo.<br />

Wakati wa kup<strong>and</strong>a<br />

Up<strong>and</strong>aji wa soya unategemea na aina na mahali husika. Kwa<br />

aina za soya zinazokomaa mapema, soya ikip<strong>and</strong>wa mwanzoni<br />

mwa msimu wa mvua katika maeneo yanayopata mvua kwa<br />

kipindi kirefu itakomaa wakati mvua bado zinaendelea kunyesha<br />

na hivyo kufanya uvunaji na ukaushaji kuwa mgumu na kuhitaji<br />

nguvu kazi na muda wa ziada la sivyo mbegu zitaoza au kuanza<br />

kuota na kupoteza u<strong>bora</strong> wake. Kwa hiyo ni budi kujua mwenendo<br />

wa mvua mahali husika ili kup<strong>and</strong>a kwa wakati na aina ya soya<br />

kulingana na mahali hapo. Jambo la muhimu ni kuhakikisha<br />

kuwa soya inakomaa wakati hakuna mvua ili kurahisisha uvunaji<br />

11<br />

kijitabu hitimisho.indd 17<br />

5/17/06 11:36:23 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!