Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Mchoro Na. 2a: Shamba la soya - Sesa. Mchoro Na. 2b: Shamba la soya - Matuta ya kukinga mteremko. 10 kijitabu hitimisho.indd 16 5/17/06 11:36:23 PM
eneo analotaka kulima soya hususani mahitaji ya mvua. Kwa sababu hiyo ni muhimu kwa mkulima kupata ushauri toka kwa mtaalam aliyekaribu naye kabla ya kuamua kulima soya. Aidha, mkulima anashauriwa kununua na kutumia mbegu kutoka katika sehemu ambazo chanzo cha mbegu hizo kinaeleweka. Mfano wa sehemu hizo ni pamoja na maduka ya pembejeo, wakala wa mbegu, mashamba ya mbegu na vituo vya utafiti. Hii ni kwa sababu mbegu ya soya hupoteza nguvu ya uotaji katika msimu mmoja hasa katika sehemu za joto. Kwa hiyo mkulima anatakiwa kuhakikisha kuwa anapanda mbegu itakayoota. Kama mkulima hana uhakika na chanzo cha mbegu au ana wasiwasi wa kuota kwa mbegu alizonazo anaweza kufanya majaribo ya uotaji (germination test) kabla ya kupanda. Njia rahisi ni kuzilowesha mbegu kwa maji na kisha kuziweka kwenye kitambaa mahali penye joto la kutosha. Mbegu ziloweshwe na maji kila siku mpaka zitakapoota. Hesabu mbegu zilizoota na iwapo mbegu zilizoota ni chini ya 75 kati ya mbegu 100 yaani asilimia 75, mkulima anashauriwa kutopanda mbegu hizo. Wakati wa kupanda Upandaji wa soya unategemea na aina na mahali husika. Kwa aina za soya zinazokomaa mapema, soya ikipandwa mwanzoni mwa msimu wa mvua katika maeneo yanayopata mvua kwa kipindi kirefu itakomaa wakati mvua bado zinaendelea kunyesha na hivyo kufanya uvunaji na ukaushaji kuwa mgumu na kuhitaji nguvu kazi na muda wa ziada la sivyo mbegu zitaoza au kuanza kuota na kupoteza ubora wake. Kwa hiyo ni budi kujua mwenendo wa mvua mahali husika ili kupanda kwa wakati na aina ya soya kulingana na mahali hapo. Jambo la muhimu ni kuhakikisha kuwa soya inakomaa wakati hakuna mvua ili kurahisisha uvunaji 11 kijitabu hitimisho.indd 17 5/17/06 11:36:23 PM
- Page 1 and 2: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZ
- Page 3 and 4: KILIMO BORA CHA ZAO LA SOYA Kimeand
- Page 5 and 6: YALIYOMO Kilimo Bora cha Soya UTANG
- Page 7 and 8: SURA YA KWANZA HISTORIA, UMUHIMU NA
- Page 9 and 10: vii. Soya huongeza kipato na ni zao
- Page 11 and 12: SURA YA PILI MAZINGIRA, MVUA NA RUT
- Page 13 and 14: Mahitaji ya Mvua Soya huhitaji wast
- Page 15: SURA YA TATU UTAYARISHAJI NA UTUNZA
- Page 19 and 20: Sm 45 Sm 10 Mchoro Na. 3: Nafasi za
- Page 21 and 22: Picha Namba 1: Soya iliyopandwa kwa
- Page 23 and 24: SURA YA TANO WADUDU, MAGONJWA NA WA
- Page 25 and 26: Kuvuna SURA YA SITA KUVUNA, KUPURA
- Page 27 and 28: Mchoro Na. 6: Mama anapepeta soya k
- Page 29 and 30: SURA YA SABA MAVUNO NA MAPATO YATOK
- Page 31 and 32: Huduma Gharama kwa kila zao Mahindi
- Page 33 and 34: 8. URT (November, 2005). Soybean St
- Page 35 and 36: kijitabu hitimisho.indd 35 5/17/06
- Page 37: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZ
Mchoro Na. 2a: Shamba la soya - Sesa.<br />
Mchoro Na. 2b: Shamba la soya - Matuta ya kukinga mteremko.<br />
10<br />
kijitabu hitimisho.indd 16<br />
5/17/06 11:36:23 PM