18.02.2015 Views

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

SURA YA TATU<br />

UTAYARISHAJI NA UTUNZAJI WA<br />

SHAMBA LA SOYA<br />

Kutayarisha shamba<br />

Shamba la soya linahitaji ma<strong>and</strong>alizi mazuri kama ilivyo kwa<br />

ma<strong>zao</strong> mengine. Utayarishaji huo wa shamba ni pamoja na<br />

kuondoa magugu yote kwa kuwa soya haivumilii magugu<br />

hasa ikiwa katika hatua za mwanzo za ukuaji (seedling stage).<br />

Shamba la soya linaweza kulimwa kwa sesa au matuta.<br />

<strong>Kilimo</strong> <strong>cha</strong> sesa (Mchoro Na. 2a) <strong>cha</strong>weza kulimwa kwa<br />

kutumia jembe la mkono au la kukokotwa na wanyama kazi<br />

kama maksai na punda au kwa kutumia trekta. <strong>Kilimo</strong> <strong>cha</strong><br />

matuta kukinga mteremko kinafaa na kinapendekezwa kwa<br />

maeneo yenye mwinuko (Mchoro Na. 2b). Vilevile kilimo<br />

<strong>cha</strong> matuta kinafaa sehemu tambarale lakini zenye mvua<br />

nyingi ili kupunguza madhara ya maji yanayotuama baada<br />

ya mvua kubwa kunyesha.<br />

Mbegu<br />

Ni muhimu ku<strong>and</strong>aa mbegu <strong>bora</strong> na safi mapema kabla ya msimu<br />

wa mvua kuanza. Kwa wastani kilo 20 hadi 30 za mbegu za soya<br />

zinatosha kwa hekta moja kutegemeana na aina ya mbegu. Kwa<br />

kuwa aina nyingi za soya hazistawi kila mahali, ni muhimu kwa<br />

mkulima kuhakikisha kuwa anatumia mbegu inayofaa katika<br />

9<br />

kijitabu hitimisho.indd 15<br />

5/17/06 11:36:14 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!