18.02.2015 Views

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mahitaji ya Mvua<br />

Soya huhitaji wastani wa mililita 350 hadi 1,500 za mvua kwa<br />

mwaka na inayonyesha kwa mtawanyiko mzuri hususan katika<br />

kipindi chote <strong>cha</strong> ukuaji wa <strong>zao</strong> hilo. Soya pia inafaa katika kilimo<br />

<strong>cha</strong> umwagiliaji kwani katika maeneo hayo kunakuwa na uhakika<br />

wa unyevu muda wote. Jambo la kuzingatia ni kutowepo kwa<br />

mvua wakati soya inapokauka.<br />

Rutuba ya Udongo na Mahitaji ya Mbolea<br />

Kama ilivyo kwa ma<strong>zao</strong> mengi, soya pia huhitaji udongo wenye<br />

rutuba na usiotuamisha maji. Hivyo endapo soya italimwa katika<br />

sehemu yenye rutuba hafifu, itahitaji mbolea kama ma<strong>zao</strong><br />

mengine ijapokuwa huvumilia udongo wenye rutuba hafifu. Kwa<br />

hiyo uamuzi wa kutumia au kutotumia mbolea na kiwango <strong>cha</strong><br />

kutumia utategemea rutuba iliyopo kwenye udongo katika eneo<br />

husika. Hata hivyo, soya huhitaji wastani wa kilo 80 hadi 100 za<br />

mbolea aina ya DAP na TSP kwa hekta moja na kilo 60 hadi 80 kwa<br />

mbolea aina ya CAN kwa hekta moja. Mtaalamu aliyepo karibu na<br />

mkulima anaweza kushauri hali ya rutuba ya udongo katika eneo<br />

husika. Jambo la kuzingatia wakati wa kup<strong>and</strong>a ni kuhakikisha<br />

kuwa mbolea haigusani na mbegu kwa sababu mbolea itaunguza<br />

mbegu na hazitaota. Samadi iliyoiva pamoja na mbolea nyingine<br />

za asili pia zinafaa kutumika katika kilimo <strong>cha</strong> soya.<br />

7<br />

kijitabu hitimisho.indd 13<br />

5/17/06 11:36:14 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!