Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Kilimo bora cha zao - Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mahitaji ya Mvua<br />
Soya huhitaji wastani wa mililita 350 hadi 1,500 za mvua kwa<br />
mwaka na inayonyesha kwa mtawanyiko mzuri hususan katika<br />
kipindi chote <strong>cha</strong> ukuaji wa <strong>zao</strong> hilo. Soya pia inafaa katika kilimo<br />
<strong>cha</strong> umwagiliaji kwani katika maeneo hayo kunakuwa na uhakika<br />
wa unyevu muda wote. Jambo la kuzingatia ni kutowepo kwa<br />
mvua wakati soya inapokauka.<br />
Rutuba ya Udongo na Mahitaji ya Mbolea<br />
Kama ilivyo kwa ma<strong>zao</strong> mengi, soya pia huhitaji udongo wenye<br />
rutuba na usiotuamisha maji. Hivyo endapo soya italimwa katika<br />
sehemu yenye rutuba hafifu, itahitaji mbolea kama ma<strong>zao</strong><br />
mengine ijapokuwa huvumilia udongo wenye rutuba hafifu. Kwa<br />
hiyo uamuzi wa kutumia au kutotumia mbolea na kiwango <strong>cha</strong><br />
kutumia utategemea rutuba iliyopo kwenye udongo katika eneo<br />
husika. Hata hivyo, soya huhitaji wastani wa kilo 80 hadi 100 za<br />
mbolea aina ya DAP na TSP kwa hekta moja na kilo 60 hadi 80 kwa<br />
mbolea aina ya CAN kwa hekta moja. Mtaalamu aliyepo karibu na<br />
mkulima anaweza kushauri hali ya rutuba ya udongo katika eneo<br />
husika. Jambo la kuzingatia wakati wa kup<strong>and</strong>a ni kuhakikisha<br />
kuwa mbolea haigusani na mbegu kwa sababu mbolea itaunguza<br />
mbegu na hazitaota. Samadi iliyoiva pamoja na mbolea nyingine<br />
za asili pia zinafaa kutumika katika kilimo <strong>cha</strong> soya.<br />
7<br />
kijitabu hitimisho.indd 13<br />
5/17/06 11:36:14 PM