Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
1 2 3<br />
UPANGAJI WA KOROSHO KATIKA<br />
MADARAJA<br />
_____________________________________<br />
Utangulizi<br />
Kutekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kanuni za kilimo bora cha<br />
korosho ndiyo njia pekee itakayomhakikishia<br />
mkulima mazao mengi na bora. Ubora <strong>wa</strong><br />
korosho huanzia moja k<strong>wa</strong> moja shambani<br />
kutegemeana na matunzo ya shamba na<br />
mikorosho yenyewe.<br />
Ni dhahiri k<strong>wa</strong>mba hali ya he<strong>wa</strong> iki<strong>wa</strong> nzuri,<br />
shamba likape<strong>wa</strong> matunzo mazuri pamoja na<br />
mikorosho kupe<strong>wa</strong> kinga thabiti dhidi ya<br />
magonj<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>dudu <strong>wa</strong>haribifu, mkulima<br />
anaweza kujihakikishia mavuno mengi na<br />
bora. K<strong>wa</strong> kufanya hivyo mkulima ataweza<br />
kupata korosho nyingi za daraja la k<strong>wa</strong>nza<br />
ambazo zitampatia malipo mazuri.<br />
Kuokota <strong>Korosho</strong><br />
<strong>Korosho</strong> zilizokomaa vizuri huanguka<br />
zenyewe kutoka kwenye miti (Picha Na 1).<br />
Aina nyingi za mikorosho huangusha korosho<br />
ziki<strong>wa</strong> zimeunganika na bibo lake. Uokotaji<br />
<strong>wa</strong> korosho hufanyika kila baada ya siku moja<br />
au zaidi kutegemeana na utaratibu <strong>wa</strong> mwenye<br />
shamba alivyojipangia. Hali ya he<strong>wa</strong>, ukub<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong> shamba na wizi ni baadhi ya mambo<br />
ambayo yanaweza kumfanya mkulima aokote<br />
korosho zake kila mara.<br />
Picha Na 1 <strong>Korosho</strong> zilikomaa huanguka zenyewe<br />
Baada ya korosho hizo kuokot<strong>wa</strong>,<br />
hutenganish<strong>wa</strong> na bibo na kisha nyama<br />
inayobakia kwenye kikonyo cha korosho<br />
huondole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia kisu au kifaa cho<br />
chote chenye makali.<br />
Kukausha korosho<br />
<strong>Korosho</strong> zilizovun<strong>wa</strong> zinataki<strong>wa</strong> zianikwe<br />
kwenye jua angalau k<strong>wa</strong> siku mbili au tatu<br />
kutegemeana na hali ya he<strong>wa</strong>. Wakati<br />
zimeanik<strong>wa</strong> zinataki<strong>wa</strong> kugeuz<strong>wa</strong> geuz<strong>wa</strong> ili<br />
kuhakikisha zote zinakauka vizuri. <strong>Korosho</strong><br />
zichaguliwe na kupang<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> madaraja<br />
kabla ya kuhifadhi<strong>wa</strong> kwenye magunia.<br />
<strong>Upangaji</strong> <strong>wa</strong> korosho <strong>katika</strong> madaraja ni <strong>wa</strong><br />
muhimu ili kumwezesha mkulima apate bei<br />
nzuri k<strong>wa</strong> daraja la k<strong>wa</strong>nza.<br />
<strong>Korosho</strong> zipangwe kwenye madaraja mawili<br />
k<strong>wa</strong> kuzingatia sifa zifuatazo:-<br />
Daraja la K<strong>wa</strong>nza (Standard Grade- SG) –<br />
Picha Na 2.<br />
• Zimekomaa vizuri, unyevu asilimia 12.<br />
• Zitatoa mlio <strong>wa</strong> sauti kali ukiziangusha<br />
kwenye sakafu.<br />
• Zina rangi ya kijivu au kikahawia<br />
kilichofifia.<br />
• Hazina makunyanzi.<br />
• Hazina madoa kwenye ganda la nje.<br />
• Zina umbile safi.<br />
Picha 2. <strong>Korosho</strong> za Daraja la K<strong>wa</strong>nza (SG)<br />
Daraja la Pili (Under Grade – UG) Picha<br />
Na 3<br />
• Zimekomaa vizuri, unyevu asilimia 12.
4<br />
5<br />
• Zitatoa mlio <strong>wa</strong> sauti kali ukiziangusha<br />
kwenye sakafu.<br />
• Ganda lake la nje lina madoa doa.<br />
• Zina makunyanzi.<br />
• Hazina rangi ya kijivu <strong>wa</strong>la kikahawia<br />
UTAFITI NA MAENDELEO<br />
KANDA YA KUSINI<br />
<strong>Korosho</strong> za daraja la k<strong>wa</strong>nza na la pili zote ni<br />
budi ziwe na sifa za msingi za kukauka vizuri<br />
na ujazo <strong>wa</strong> kutosha ndani (karanga)<br />
UPANGAJI WA KOROSHO KATIKA<br />
MADARAJA<br />
Picha 3. <strong>Korosho</strong> za Daraja la Pili (UG)<br />
<strong>Korosho</strong> zisizotaki<strong>wa</strong>.<br />
• Hazikukomaa vizuri.<br />
• Hazijakauka au mbichi.<br />
• Zimeota.<br />
• Zina makunyazi.<br />
• Nyeusi<br />
Hazina rangi ya kijivu au kikahawia<br />
kilichofifia.<br />
Imetole<strong>wa</strong> na<br />
KITUO CHA UTAFITI,<br />
NALIENDELE,<br />
S. L. P. 509,<br />
MTWARA Novemba 2003