Jinsi ya kudhibiti mbu katika mikorosho
Jinsi ya kudhibiti mbu katika mikorosho
Jinsi ya kudhibiti mbu katika mikorosho
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
1 2<br />
3<br />
JINSI YA KUDHIBITI MBU KATIKA<br />
MIKOROSHO<br />
1.0 Utangulizi.<br />
Kuna aina mbili za <strong>mbu</strong> wa korosho ambao<br />
huleta uharibifu mkubwa sana <strong>katika</strong> zao la<br />
korosho, hasa <strong>katika</strong> kanda <strong>ya</strong> kusini:<br />
♦ Mbu wa <strong>mikorosho</strong> (Helopeltis spp)<br />
♦ Mbu wa minazi (Pseudotheraptus wayii)<br />
1.1 Mbu wa Mikorosho (Helopeltis spp)<br />
Helopeltis ni wadudu jamii <strong>ya</strong> <strong>mbu</strong> wenye<br />
uwezo wa kuruka toka mkorosho hadi<br />
mwingine. Wadudu hawa wenye urefu wa<br />
milimita 5 - 10, wana mchanganyiko wa rangi<br />
<strong>ya</strong> njano, nyukundu na sehemu <strong>ya</strong> weusi<br />
kwenye mabawa (Picha 1). Wadudu hawa<br />
huchangamka na kurukaruka n<strong>ya</strong>kati za<br />
mchana, lakini asubuhi huwa watulivu<br />
kutokana na hali <strong>ya</strong> ubaridi.<br />
1.2. Mbu wa Minazi (Pseudotheraptus wayii)<br />
Mbu wa minazi wanafanana na wadudu<br />
waitwao kangambili ambao ni maarufu sana<br />
kwenye pamba na sufi. Wadudu hawa wana<br />
mchanganyiko wa rangi <strong>ya</strong> udongo na<br />
nyekundu na wana urefu wa milimita 14 - 15.<br />
Wadudu hawa wakiguswa hutoa harufu kali<br />
kama njia <strong>ya</strong> kujihami. Wanafahamika vizuri<br />
kwa majina <strong>ya</strong> kilugha kama vile “Nanoli”<br />
(Kimakonde); “Nandoli” (kimwera, ki<strong>ya</strong>o).<br />
2.0. Masha<strong>mbu</strong>lizi<br />
Aina hizi za <strong>mbu</strong> husha<strong>mbu</strong>lia maeneo<br />
machanga hasa majani, machipukizi, maua na<br />
tegu pia. Mbu hawa hutoboa eneo la<br />
masha<strong>mbu</strong>lizi kwa kutumia mwiba wa kwenye<br />
midomo <strong>ya</strong>o na kwa kufan<strong>ya</strong> hivyo, mate <strong>ya</strong>o<br />
yenye sumu huingia ndani <strong>ya</strong> mmea. Mate<br />
yenye sumu huleteleza makovu meusi <strong>katika</strong><br />
maeneo <strong>ya</strong> masha<strong>mbu</strong>lizi. Majani<br />
<strong>ya</strong>liyosha<strong>mbu</strong>liwa huweza kukunjamana,<br />
hatimaye kukauka. Machipukizi na maua<br />
<strong>ya</strong>naweza kudumaa <strong>ya</strong>siendelee na ukuaji,<br />
huku <strong>ya</strong>kibaki na makovu meusi.<br />
Penye masha<strong>mbu</strong>lizi makali <strong>ya</strong> <strong>mbu</strong> wa<br />
<strong>mikorosho</strong>, machipukizi kukauka pamoja na<br />
majani na kusababisha ugonjwa uitwao<br />
“debeki”. Ukaukaji huanza nchani na<br />
kuteremkia chini <strong>ya</strong> chipukizi. Mashada <strong>ya</strong><br />
maua <strong>ya</strong>liyosha<strong>mbu</strong>liwa hushindwa kuzaa<br />
kabisa. Miti iliyosha<strong>mbu</strong>liwa sana huonekana<br />
kama imebabuka na moto.<br />
Mbu wa minazi husha<strong>mbu</strong>lia pia tegu na<br />
mabibo machanga na kuacha makovu meusi<br />
yenye kuzama ndani kwenye ganda. Tegu<br />
zilizosha<strong>mbu</strong>liwa zikiwa changa sana,<br />
hubadilika rangi na kuwa nyeusi, husin<strong>ya</strong>a,<br />
kisha hupukutika chini. Pia baadhi <strong>ya</strong> korosho<br />
hizo huambatana na makovu.<br />
3.0. <strong>Jinsi</strong> <strong>ya</strong> Kuthibiti Mbu waharibifu.<br />
Mbu hawa wa aina zote mbili, pamoja na<br />
wadudu wa aina nyingine nyingi, wanaweza<br />
kuthibitiwa kwa njia mbili:<br />
3.1 Kutumia madawa<br />
Aina mbalimbali za madawa zimefanyiwa<br />
utafiti wa kina na kuonekana kwamba dawa<br />
aina <strong>ya</strong> KARATE ni bora kwa kuangamiza<br />
wadudu wa aina nyingi. Dawa hii hupuliziwa<br />
kutumia mashine za moto (Mist blower) au za<br />
kawaida (Knapsack sprayer) kutegemeana na<br />
ukubwa wa mkorosho. Kiwango<br />
kilichopendekezwa ni kuchangan<strong>ya</strong> mililita 3 -<br />
5 za dawa kwa lita moja <strong>ya</strong> maji kwa mti<br />
mkubwa. Upuliziaji unaanza mara baada <strong>ya</strong><br />
kuonekana masha<strong>mbu</strong>lizi na kurudia<br />
inapobidi. Matunda <strong>ya</strong>liyopuliziwa dawa<br />
<strong>ya</strong>situmike mpaka baada <strong>ya</strong> siku 21 (wiki 3).<br />
3.2 Kutumia uthibiti wa kibaolojia<br />
(Biological control).<br />
Pamoja na uwezo mkubwa wa kuthibiti na<br />
kuangamiza wadudu kwa kutumia madawa,<br />
lakini madawa ni <strong>ya</strong> gharama mno na <strong>ya</strong>na<br />
madhara sana <strong>katika</strong> mazingara yetu, ikiwa ni<br />
pamoja na kuua wadudu wenye manufaa kwa<br />
mazao yetu. Kwa ajili hiyo jitihada za kiutafiti<br />
zinafanyika ili kumsaidia mkulima kupunguza<br />
uwezekano wa kutumia madawa <strong>katika</strong> mazao.<br />
Utafiti wa kina umefanyika kuchunguza kama<br />
kuna wadudu aina nyingine ambao wanaweza<br />
kutumika kuangamiza wadudu waharibifu wa<br />
<strong>mikorosho</strong>. Hatimaye imeonekana kwamba<br />
wadudu aina <strong>ya</strong> Majimoto (Oecophylla<br />
longinoda) wanao uwezo mkubwa wa<br />
kuangamiza aina zote za <strong>mbu</strong> waharibifu wa<br />
<strong>mikorosho</strong>. Katika uchunguzi wetu, majimoto
4 5<br />
wameonekana mara nyingi tu wakikamata aina<br />
hizi za <strong>mbu</strong> wa <strong>mikorosho</strong> na kuwakokota hadi<br />
kwenye viota v<strong>ya</strong>o kwa ajili <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong><br />
chakula. Baadhi <strong>ya</strong> viota vilivyowahi<br />
kufunguliwa, vimekutwa na mabaki <strong>ya</strong> sehemu<br />
<strong>ya</strong> mbalimbali za <strong>mbu</strong> hawa, kama vile<br />
mabawa, miguu, midomo nk.,<br />
Matokeo <strong>ya</strong> majaribio yetu <strong>ya</strong>meonyesha wazi<br />
kwamba <strong>mikorosho</strong> yenye majimoto wengi<br />
haisha<strong>mbu</strong>liwi na <strong>mbu</strong> wa <strong>mikorosho</strong>.<br />
Majimoto wakitanda kwenye machipukizi,<br />
maua au tegu hufan<strong>ya</strong> ulinzi mzuri sana dhidi<br />
<strong>ya</strong> masha<strong>mbu</strong>lizi <strong>ya</strong> <strong>mbu</strong> waharibifu. Kwa ajili<br />
hiyo majimoto hujulikana kama rafiki wa<br />
mkulima.<br />
NB: Pata nakala <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> maelekezo (Na. 3)<br />
juu <strong>ya</strong> “Majimoto rafiki wa mkulima”<br />
A<br />
B<br />
C<br />
D<br />
UTAFITI NA MAENDELEO<br />
KANDA YA KUSINI<br />
JINSI YA<br />
KUDHIBITI MBU KATIKA<br />
MIKOROSHO<br />
Picha A: Mbu wa Mikorosho (Helopeltis spp)<br />
Picha B: Masha<strong>mbu</strong>lizi <strong>ya</strong> <strong>mbu</strong> wa Mikorosho<br />
Picha C: Mbu wa Minazi (P. wayii )<br />
Picha D: Masha<strong>mbu</strong>lizi <strong>ya</strong> <strong>mbu</strong> wa Minazi<br />
Imetolewa na<br />
KITUO CHA UTAFITI,<br />
NALIENDELE,<br />
S. L. P. 509,<br />
MTWARA