Hadithi ya Mpho Utambulisho - Raising Voices
Hadithi ya Mpho Utambulisho - Raising Voices Hadithi ya Mpho Utambulisho - Raising Voices
Ukatili Watokea 3 Huko hospitalini, unaelezea dalili zako kwa muuguzi, na anachungulia mara moja vipele vyako. Anaguna kidogo na anakwambia utahitaji kupimwa VVU na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya zinaa. Unahamaki. “Sina VVU,” unasema. “Sawa, huwa unatumia kinga?”nesi anakuuliza. Unainama chini kwa aibu. “Kuinama kwako kunamaanisha hapana,” nesi anasema huku akikuchukua damu kwa manung’uniko, “mimi hata sielewi ninyi wasichana wa siku hizi – bado wadogo lakini mnafanya mapenzi.” Nesi anatoka nje kabla hujauliza mengi zaidi, akikuacha peke yako. Unasubiri kwa muda mrefu sana na unachanganyikiwa kuona amekuja mwanamke mwingine Unageugeuza macho yako, ukishangaa kama unapewa mhadhara. Unahisi moyo unaanza kwenda wanaweza kuishi na ugonjwa huu. Huelewi kwa nini anakwambia mambo haya. Kisha kwa upole anasema, “Mpho, una VVU.” Maneno yanakukanyaga masikioni na chumba kizima kinaonekana kama vile kinakuwa kidogo na unazimia. Baadaye unazinduka ukiwa kwenye kitanda cha hospitali na unamuona nesi aliyekuhudumia mwanzoni amekaa humo chumbani. “Hatukujua nani tuwasiliane tena baada ya nesi kukuita uingie tena kuongea na mshauri. uchukue kadi namba 3. Ikiwa unataka kwenda nyumbani na kunyamaza kimya, nenda kwenye Kurudi Nyumbani na uchukue kadi namba 1. Hadithi ya Mpho B10
Hadithi ya Mpho Marafiki na Majirani 3 A11
- Page 1 and 2: Hadithi ya Mpho Utambulisho A1
- Page 3 and 4: Hadithi ya Mpho Ukatili Watokea 1 A
- Page 5 and 6: Hadithi ya Mpho Marafiki na Majiran
- Page 7 and 8: Hadithi ya Mpho Familia 1 A4
- Page 9 and 10: Hadithi ya Mpho Familia 2 A5
- Page 11 and 12: Hadithi ya Mpho Ukatili Watokea 2 A
- Page 13 and 14: Hadithi ya Mpho Elimu 1 A7
- Page 15 and 16: Hadithi ya Mpho Marafiki na Majiran
- Page 17 and 18: Hadithi ya Mpho Songa Mbele 1 A9
- Page 19: Hadithi ya Mpho Ukatili Watokea 3 A
- Page 23 and 24: Hadithi ya Mpho Elimu 2 A12
- Page 25 and 26: Hadithi ya Mpho Kurudi Nyumbani 1 A
- Page 27 and 28: Hadithi ya Mpho Fursa 1 A14
- Page 29 and 30: Hadithi ya Mpho Shirika Lisilo la K
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Mpho</strong><br />
Marafiki na Majirani 3<br />
A11