KILIMO KATIKA NJIA ZA MUNGU - Farming God's Way
KILIMO KATIKA NJIA ZA MUNGU - Farming God's Way
KILIMO KATIKA NJIA ZA MUNGU - Farming God's Way
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>KILIMO</strong> <strong>KATIKA</strong> <strong>NJIA</strong> <strong>ZA</strong><br />
<strong>MUNGU</strong><br />
KITABU CHA MAFUNDISHO<br />
NA Grant Dryden
MAFUNDISHO YA<strong>KILIMO</strong> <strong>KATIKA</strong> <strong>NJIA</strong> <strong>ZA</strong> <strong>MUNGU</strong><br />
MPANGILIO WA WASHA<br />
1. Utangulizi 9.00 9.30 Hitaji<br />
2. Sululisho la Kiungu 9.30 10.15 Kumtabua Mungu<br />
3. Sululisho laKiungu 10.15 11.00 Kutengeneza Hekalu<br />
4. Sululisho la Kiungu 11.15 11.45 Zaka na Dhabihu<br />
5. Sululisho la Kiungu 11.45 12.15 Kupanda na Kuvuna<br />
6. Sululisho la Kiungu 12.30 12.45 Utoshelevu<br />
7. Sululisho la Kiungu 12.45 13.00 Vita vya Kiroho<br />
8. Blanketi ya Mungu 14.00 14.30 Usiteketeze<br />
9. Mwanzo wa Ulimaji 14.30 15.00 Usifukue<br />
10. WWG 15.00 17.00 IUtekelezaji<br />
Majadiliano ya 1: Hitaji<br />
1) Kisa cha Boni<br />
2) Njaa na Umaskini – Habari zinazoonyesha hesabu kuhusu chakula katika<br />
Afrika<br />
Tani milion 21ya nafaka huingizwa kutoka nchi zingine<br />
Tani million 3 ya chakula cha Masaada<br />
Maisha ya watu kuharibika<br />
3) Mazao<br />
Kimo cha katikati sehemu ya chini ya jangwa ikiwa ratli 300 katika hekari<br />
Chakula kinachohitajika mtu mmoja katika mwaka mmoja – ratli 450 ie ratli 1,200ratli 1,500 katika jamii<br />
kwa mwaka.<br />
4) Mmonyoko wa udongo<br />
Kipimo cha katikati cha ratli 30,000 kwa hekari hupotea.<br />
Bidhaa kubwa kutoka Afrika inayopelekwa kwingine<br />
Zimbabwe inawesa kujaza gari mbili za moshi cha udungo kuzunguka ulimwengu ule inayopoteza kwa<br />
mwaka.<br />
Mto Tana Mto wenye samaki hata hivyo<br />
Mvua kidogo ya ratli 30,000 ikilinganishwa mazao ratli 300<br />
Mvua nyingi mahali pakavu<br />
Million nyingi za mbolea hupetea kwa njia ya mmonyoko wa undongo<br />
5) Kazi<br />
Wakulima wanajiangaliwa katika picha baya<br />
Hudharauliwa na jamii.<br />
Uhamiaji mijini.<br />
6) Rasilmali<br />
Bakuli ya Africa ya kuombea<br />
Hitaji la matingatinga– huvunjika na hayatengenezwi.<br />
Bei ya mbolea inakuwa juu,<br />
Mbegu zinakuwa na bei ya juu.<br />
Pesa zinazohitajika ni nyingi sana.<br />
7) Hali ya kilimo<br />
Baya – kwasababu ya ukosefu wa maarifa<br />
Kwa mfano: Kuzuia gugu hasa wakati wa kuvuno umekaribia<br />
Wakati mbegu zimekaribia kumea<br />
Kuongeza uzuri udongo katika kuutia mbolea<br />
1
Majadiliano ya 2: Sululisho ya Kiungu<br />
Hakuna elimu itakavyoweza kuvunja laana ya Mungu ya umaskini juu ya bara.<br />
Kilimo katika njia za Mungu – neno pamoja na tendo.<br />
Sululisho la Kiungu kwa swali “kwa nini?”<br />
1) Mkiri Yeye<br />
• Mithali 3:6 Katika njia zako zote mkiri Yeye, Naye atayanyosha mapito yako.<br />
• Mwanzo 1:29,28,14<br />
• Mwanzo 2:15 BWANA Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na<br />
kuitunza.<br />
• Yohana 1:1-3<br />
• Hosea 2:8-9 Maana hukujua ya kuwa mimi ndiye…<br />
• Isaya 40:21-28 Je! Hamkujua? hamkusikia? Hamkuambiwa tokea mwanzo? Hamkufahamu tangu<br />
kuwekwa misingi ya dunia? Yeye ndiye…<br />
• Amosi 4<br />
• Kumbukumbu la Torati 6:13-15 (Sheria) na Kum 7:12-16 (Ahadi)<br />
• 2 Mambo ya Nyakati 7:14 Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa Jina langu, watajinyenyekesha, na<br />
kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe<br />
dhambi yao, na kuiponya nchi yao.<br />
2) Kutengeneza Hekalu<br />
• Hagai 1:4-11 Zitafakarini njia zenu – hekalu Yangu inakaa katika hali ya huharibika<br />
• 2 Wakorintho 6:16-18 Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya<br />
kwamba, "Nitakaa ndani yao,na kati yao nitatembeaa, Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa<br />
watu wangu.<br />
• 1Wakorintho 3:16 Hamjui ya kuwa ninyi hekalu la Mungu, na yakuwa Roho wa Mungu anakaa ndani<br />
yenu?<br />
• 1Petro 2:5 Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mmejengwa mwe nyumba ya Roho, Ukuhani<br />
mtakatifu, mtoe dhabihu za roho, zinazokubalika na Mungu, kwa njia ya Kristo Yesu.<br />
3) Leteni zaka na dhabihu<br />
• Malaki 3 – Je mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia Mimi, mmeniibia zaka na<br />
dhabihu.<br />
• Ndoto za jamii ambazo zinazowapatia wachungaji, wanjane na yatima, wenye njaa riziki.<br />
• Ndoto za faida na ghala ambazo zinafurika kwa ajili ya kushugulikia elimu na afya ya jamii.<br />
4) Kupanda kwa Ukarimu na kwa furaha<br />
• 2 Wakorintho 9:6-7 Lakini nasema neno hili: Apandaye haba atavuna haba, apandaye kwa ukarimu<br />
atavuna kwa ukarimu. Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa husuni wala si<br />
kwa lazima, maana Mungu hupenda yeye atoae kwa moyo wa ukunjufu.<br />
• 2 Wathesalonike 3:10 Ikiwa mtu hataki kufanya kazi,basi, asile chakula.<br />
• Mithali 28:19 Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, Bali afuataye mambo ya upuzi atapata<br />
umaskini wa kumtosha.<br />
5) Utoshelevu– “Na aliye mnyonge na aseme niko na nguvu, na aliye maskini aseme<br />
niko tajiri”<br />
• Mahitaji ya kutegemea wengine itavunjwa<br />
• 2 Wakorintho 9:8-10<br />
• 2 Wakorintho 9:8 … mkiwa na riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo<br />
jema.<br />
• Shamba<br />
• Afya<br />
• Wakati<br />
• Usimamizi<br />
• Mbegu<br />
• Mbolea<br />
• Jembe<br />
2
• Mungu anapatiana – Mvua na mazao<br />
6) Vita za kiroho<br />
• Adui watatu – Taratibu za dunia, mwili na shetani na mapepo wake.<br />
• Mamlaka – Mathayo 28:18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia "Nimepewa mamlaka yote<br />
mbinguni na duniani”.<br />
• Waefeso 6:12 Kwa maana kushindana kwetu si juu ya damu na nyama, bali ni juu ya falme na<br />
mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.<br />
3
Majadiliano ya 3: Kilimo katika njia za Mungu<br />
Tafsiri:<br />
Ulimaji katika njia za Mungu ni jinsi ya ukulima ambayo unatoa mazao ya kumletea Mungu<br />
utukufu, na kuleta faida ya kustahimiri katika urithi kwa kizazi kitakapokuja.<br />
Utangulizi katika kilimo katika njia za Mungu<br />
Ulimaji katika njia za Mungu umeendelea kufanya kazi zaidi ya miaka ishirini na nane katika mashamba makubwa ya<br />
biashara, na Brian Oldreive katika shamba la Hinton, nchini Zimbabwe. Uamuzi wa kutekeleza ukulima katika njia za<br />
Mungu ulitokana na hitaji la kutaka kusahihisha mazao kuenda chini na bei ya ukulima kuongazeka, mmonyoka wa<br />
udongo kwa njia kubwa na kuwa na shida ya hali ya fedha. Kilimo katika njia za Mungu kilianzizwa ili kuendeza<br />
ukukima katika mashamba makubwana baadaye kuvutia kwa wakulima wenye mashamba mandogo ili nao pia, waweze<br />
kufaidika kutokana na mapato ya matokeo yenye kuvutia.<br />
Brian Oldreive alipata kuwa msimamizi Shambani la Hinton, karibu na Bindura lililoko Mashariki Kaskazini mwa<br />
Zimbabwe, mwezi wa kumi1982. Wakati huo, Shamba la Hinton lilikuwa katika hali baya ya fedha na mazao yalikuwa<br />
mabaya na lilikuwa katika hali ya ukasefu wa usitawi. Uchunguzi wake ulisukumwa na uangalizi wake kuhusu<br />
kupoteza udongo na maji kwa njia ya kutisha kupitia mmonyoko wa chembeche vizuri vya udongo. Alimuuliza Mungu<br />
amfundishe vile anvyiweza kushinda shinda ambazo alikuwa akikutana nazo na hivyo uvumbuzi juu ya kilimo katika<br />
njia za Mungu ukaanza. Mungu akaanza kumzungumzia kuhusu vile Yeye anatunza maumbile, wapi ambapo Yeye<br />
hajawahi kuchimbua udongo, wapi ambapo hajawahi kuharibu udongo katika kubuni mimea inayooza katika uzo wa<br />
ardhi. Mungu pia akaongea katika njia ya kueleweka kuhusu usimamizi; wakulima bora wanaitwa kukubali, kuwa<br />
waangalifu katika kutunza ardhi, katika njia ambazo watahakikisha kuwa mashamba ya kilimo yamepitishwa yakiwa<br />
urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine na kumletea Mungu utukufu.<br />
Utekelezaji kilimo katika njia za Mungu ulifanywa kwanza katika hekare mbili na punde kwa punde kuongezwa<br />
kuhusisha shamba lote. Siri ya utekelezaji katika njia ya pole pole ilikuwa kuhakikisha kwamba kila juhudi imefanywa<br />
ya ukulima kufikia ubora katika njia za Mungu. Katika muda mfupi, mazao na faida yalisitawi mara dufu, kiasi kwamba<br />
Shamba la Hinton liliweza kupanuliwa kwa kununua mashamba yaliyopakana, kutoka hekari 1200 mpaka hekari 3500.<br />
Uwaja mkubwa ulikuzwa maradufu, kwa mabandiliko ya mavuno, kwa muda wa miaka 18 wakati wa usimamizi wa<br />
Brian, kukiwa na aina nyingi za mazao kama mahidi, ngano, maharagwe, njugu karanga, pamba, mtama, maua, miwa,<br />
kahawa, mboga, njugu nyasi na & macadamia kokwa.<br />
Kwa ajili ya ulimaji katika njia za Mungu, Shamba la Hinton likapokea tuzo nyingi pamoja na kuwa: mkuzaji mahidi<br />
wa mwaka, mkuzaji ngano wa mwaka, hata na kuwa mmoja wa wanachama bora wanaoitwa chama cha Tani Kumi wa<br />
mazao ya mahidiyanayozidi toni10 kwa hekari (bora toni13 kwa hekari). Brian pia alikaribishwa katika mkutano wa<br />
mataifa kuzungumzia juu ya kutunza ukulima.<br />
Ufanisi katika shamba la Bwana Hinton punde ulionyesha tofauti na ufukara (umaskini) wa wakulima wa ujamaa<br />
waliokuwa wamepakana. Mashamba yaliyopakana yalikuwa katika mazoea ya ulimaji mbaya, eneo kubwa likiwa mvuo<br />
mkavu na kumonyoka kwa udongo kukiwa kawaida na mazao yakiwa dhaifu na baya. Mungu akaanza kuweka shauku<br />
kubwa katika moyo wa Brian, kuhamisha mazoezi ya kilimo katika njia za Mungu kwa wakulima wenye mashamba<br />
mandogo mashinani kote Afrika.<br />
Kilimo katika njia za Mungu kinahusu kulejeza mazoea ya ulimaji katika njia ambayo Mungu alikusudia ndivyo tuweze<br />
kuwa watu ambao watatimiza amri yake “tunza na fanya kazi katika bustani” katika njia ambayo inaweza kulejesha<br />
urithi wa dhamani kwa kizazi kijazo.<br />
“Ninafanya vile nimemwona Baba yangu akifanya…<br />
Ninasema yale nimemsikia Baba yangu akisema ….”<br />
Kulejeza vitu vyote kwa Mungu.<br />
Je! hii inastahili katika kilimo?<br />
Lakini kwanini????<br />
4
Majadiliano ya 4: Elimu ya kilimo katika njia za Mungu.<br />
1) Blanketi ya Mungu – Uziteketeze!!!<br />
30-100% ya ardhi hufunikwa katika mabaki ya mimea inayooza<br />
• Mgongano ya tone la mvua na uso wa ardhi unapunguzwa.<br />
• Hali ya udongo kuyeyuka inapunguka – kutoka 90% ambayo haijafunikwa ikilinganiswa na 6%<br />
ambayo iko na blanketi<br />
• Mchujo bora - 10% ikilinganiswa na 94%<br />
• Mmonyoko wa udongo unapunguzwa – tani30 kwa hekari kulinganisha na tani 0,6 kwa hekari<br />
• Kupunguzwa kwa mvuke<br />
• Hali ya kuwa na joto au baridi katika udongo inakuwa ya kiasi – ubora wa kuchipuka na kukua kwa<br />
mche au mbegu<br />
• Kutia nguvu kuendeleza kuwepo kwa jamii ya wanyama wa namna zote na jamii ya mimea yote ya<br />
nchi katika udongo<br />
• Utaratibu wa mizizi karibu na sura ya ardhi<br />
• Chakula bora ya kukuza mimea inapatikana<br />
• Mazao yanaongezeka<br />
• Uthabiti wa mazao wakati wa ukosefu wa mvua<br />
• Upungufu wa wingi wa gugu.<br />
2) Ulimaji bila kuchimba – Usifukue!!!<br />
• Hali ya kuvuruga udongo inakuwa kidogo<br />
• Maumbile ya udongo inaborezwa<br />
• Hali ya udongo kuweka maji inaongezeka<br />
• Mmonyoko wa udongo unapunguka<br />
• Kuboresha kuwepo kwa jamii ya wanyama na jamii ya mimea katika udongo – waliyo kwenye hewa<br />
na waliyo kwenye udongo<br />
• Kupunguza juhudi<br />
• Kupunguza gharama– gharama ya bidha za kupanda inapunguzwa kwa nuzu na ya tinga tinga kwa<br />
theluthu (sehemu ya tatu)<br />
• Mimea inapandwa punde tu baada ya mvua<br />
3) Usimamizi bora<br />
• Kwa wakati<br />
• Kwa namna bora<br />
• Hasara inakuwa kidogo<br />
• Mpangilio<br />
• Kuangalia<br />
• Kama ni kwa Bwana<br />
Hatua kwa hatua jinsi ya kutenda<br />
a) Vyombo vinavyohitajika<br />
• Jembe<br />
• Vikombe vya kuweka mbolea<br />
• Vijiti vya kupima<br />
• Uzi na vivuniko vya chupa<br />
• Mbolea au chochote kinachotia udongo nguvu<br />
• Mbegu<br />
b) Kutayarisha shamba<br />
• Usifukue<br />
• Usiteketeze<br />
• Vyeka na uondoe vizuizi<br />
5
• Zuia gugu<br />
• Mistari kwa umbo<br />
• Fukua shimo kipimo ya 60*75 cm kwenda chini<br />
• Mashimo – chimba upana – 8cm kwenda chini – udungo uende upande unaotelemka<br />
• Mashimo – 15cm kwenda chini weka mbolea<br />
• Maliza inapofikia mwezi wa Kumi sehemu za mvua<br />
c) Kuweka chokaa<br />
• Kulingana na utafiti kuhusu udongo<br />
• Weka sawasawa toka upande moja mpaka wa pili katika sehemu ya chini ya shimo<br />
d) Kuweka mbolea<br />
Kulingana na matalajio ya mavuno<br />
• Hakikisha mbolea imepatikana kufikia mwisho wa mwezi wa Kumi – tia kabla ya mvua<br />
• Kikombe ya ml12 ya “ DAP” au mkebe wa mbokea<br />
• Weka sawasawa toka upande moja mpaka wa pili katika sehemu ya chini ya shimo<br />
• Funika kidogo kwa udongo mpaka urefu wa kwenda chini unaohitajika kupanda mbegu umebaki<br />
• Ngojea mpaka mvua unaofaa umenyesha<br />
e) Kupanda<br />
• Baada ya mvua mzuri kutoka tarahe 15 Mwezi wa Kumi na Moja (Novemba 15)<br />
• Punde tu baada ya mvua – kwa muda wa siku mbili<br />
• Tatu (3) kwa shimo baadaye zipunguzwe mpaka mbili (2) kwa shimo - mimea 44,000 kwa hekari<br />
moja<br />
• Kwenye mistari imenyooka<br />
• Kupanda chini – urefu wa kiberiti kwa mahidi; upana wa kiberiti soya (maharagwe); uzito wa kiberiti<br />
kwa mtama<br />
• Funika kwa uangalifu<br />
• Usiweke blanketi kwa udongo umefunika kwake au juu ya mashimo<br />
• Madokezo ya siku za kupanda mahidi, mtama, pamba na njugu karanga<br />
Jumla ya kiasi ya mvua hupokewa<br />
Mm 100<br />
Mm 85<br />
Mm75<br />
Mm 50<br />
Mm 30<br />
Siku ya kupanda<br />
Juma la kwanza la Novemba<br />
Juma la pili la Novemba<br />
Juma la tatu la Novemba<br />
Jumu la nne la Novemba<br />
Juma la kwanza Desemba<br />
• Maua na soya (maharagwe) zinastahili kupandwa baadaye lakini ikiwa imechelewa iwe ni katikati<br />
Decemba.<br />
6
f) Kuzuia gugu<br />
• Yatoe wakati yako ndogo - siku ya tatu zikiwa na inchi 1 ikilinganishwa na siku 12 wakati siko na futi<br />
1<br />
• Hii inakupatia siku kadha za kupumzika ikilinganishwa na wakati hauwezi kufikia yote<br />
• Linakuwa hakuna magugu<br />
• Mazaa mawili kwa siku<br />
• Fukua kidogo tu chini ya ardhi – kata mizizi – isipokuwa nyasi inayotambaa.<br />
g) Mbolea (samadi) ya kutawanyia juu ya ardhi<br />
• 1 Ikiwa na urefu wa kimo cha goti– kulingana na mahitaji ya zao – kikombe ya ml 5<br />
• 2 Wakati baada ya zao kutoa kishada – kulingana na mahitaji ya zao – kikombe ya ml 5<br />
• Isiopungua cm 10 kutoka upande wa chini wa shina kwenda juu<br />
h) Kutawanyia juu ya ardhi<br />
• Ikiwa imekwisha kukua<br />
• Vunja upande wa juu wa gunzi<br />
• Tumia kwa blanketi<br />
i) Kuweka pua au shina kabla ya kuvuna<br />
• Simamisha upande wa chini wa shina ukisukuma chini kati ya mistari<br />
• Ongeza manufaa ya blanketi na kusaidia kupunguza magugu<br />
• Huvunja kukua wadudu wanaoharibu mimea ya mahidi<br />
j) Kuzuia magugu kabla ya kuvuna<br />
• Inaweka shamba bila magugu<br />
• Gugu moja kubwa huzaa mbegu 600,000<br />
• Magugu ya mwaka huu ndiyo itasababisha kushindwa kwa mazao mwaka ujao<br />
k) Mabadilio<br />
• Fanya mabadilio (mabadiliko) ya mazao mara kwa mara na jamii ya kunde. Mfano, maharagwe<br />
• Gawanyia sehemu ya 1/3 ya eneo la shamba iwe katika mzunguko<br />
• Mfano. maharagwe 1/3 , 2/3 mahidi<br />
Alternative Crop technology adjustment guidelines<br />
Crop Maize Groundnuts Sunflower Cotton Sorghum Soyabeans Cowpeas<br />
Seed Rate kg/ha 30 80 6 25 10 80 80<br />
Rows 75 37.5 75 75 75 75 75<br />
Spacing<br />
In-row 60 4 60 60 10 10 10<br />
Plant depth cm 5 3 2 2 2 2 2<br />
Plant Seeds/hole 3 1 3 4-6 1 1 2<br />
Thin to Seeds/hole 2 1 2 1-2 1 1 1<br />
Population Plants/ha 44,444 333,333 44,444 33,000 133,333 133,333 133,333<br />
Target yield tons/ha 5-7 1.5-2 2-2.5 2-2.5 2-2.5 1.5-2 1.5-2<br />
Compound Fertiliser<br />
Cup size ml #12 #8 #5 #8 #5 #5<br />
Rate kg/ha 293 196 122 196 122 122<br />
1) Cup size ml #8 #5 #5 #12<br />
Top dress Fertiliser 2) Cup size ml #5<br />
Rate kg/ha 256 98 98 144<br />
Lime Rate kg/ha 200<br />
7
Ota ndoto ya kulima katika njia za Mungu<br />
Motisha katika Biblia:<br />
Majadiliano 3: Mashamba yaloyonyunyuziwa maji vizuri<br />
a) Mwanzo 1:29,30 – Baraka za mungu na riziki<br />
b) Mwanzo 1:28 – Amri ya Mungu<br />
c) Mwanzo 2: 15 - Shamba la kupanda mbegu na kulihifadhi (chunga na ulitunze)<br />
d) Isaya 58:6,7 - Kufunga ambako Mungu amechagua<br />
e) Isaya 58:10,11 - Mwangaza wetu utaenda juu – Ataongoza na kutoshelesha<br />
f) Mathayo 25:35 - Tunaweza hudumia au kusaidia Mfalme<br />
Lakini mimi nani Bwana?<br />
Ni wazi kwamba mbinu ya kutekeleza hili jambo ni Kanisa, liweze kuwa na uwazi kutoa hesabu na kuleta mabadiliko<br />
katika moyo na mienendo. Injili hii ya mikono miwili inaweza kuhubiriwa katika Bara lote ya Afrika na kuvunja laana<br />
ya umaskini na kuondoa nira. Wachungaji, Viongozi, Wamishenari na Kanisa kwa jumla wanaweza kubuni mbinu<br />
nyingi zinazofaa kuleta matokeo inayohitajika, kuendeleza “kilimo katika njia za Mungu” katika bara yote Afrika.<br />
Ninyi ni Wana na Binti wa Mungu aliye juu.<br />
Na kama vile mnaona Baba yenu akifanya nanyi hivyo ndivyo mnastahiri kufanya.<br />
Na kama vile mnamsikia Baba yenu akinena, nanyi inawapasa kunena hivyo.<br />
Yule aliye na maskio ya kusikia, acha na asikie …<br />
Yule aliye na macho ya kuona, acha aweze kuona …<br />
Mashamba iliyonyunyuziwa maji vizuri<br />
Endeleza mbinu hii<br />
8