21.06.2013 Views

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

MAMBO MAPYA<br />

Unapofika Kimanzichana<br />

ukiulizia watu maarufu<br />

eneo lile wa kwanza<br />

kutajwa ni msanii 20%!<br />

Nasi tukasema si vibaya<br />

‘tukimpaisha’ kwa staili ya<br />

pekee, tukatinga nyumbani<br />

kwao japo kupata picha na<br />

familia yake! Unamuona<br />

mrembo Jema? (wa kwanza<br />

kulia). Huyo ni mtoto wa<br />

20% na aliyeshika majarida<br />

ni mama mzazi wa msanii<br />

20%.<br />

Madogo hawa wanapiga bonge la ‘kolabo’ kulishambulia jukwaa!<br />

Ilikuwa ni katika sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar huko Mkuranga<br />

ambapo mtoto Ramadhani Kasimu (aliyeshika ‘mic’) alikonga<br />

nyoyo za umati na wimbo “Naenda kusema kwa mama” wa msanii<br />

Asley. Huyo dogo mwingine pichani ni Jaffery A. Jaffery, alikwenda<br />

kutunza akanogewa akabaki uwanjani kumpiga tafu mwenzake!<br />

Naye alitunzwa ‘mshiko’ wa uhakika!<br />

6 Si Mchezo! machi-aprili 2012<br />

Kibubu bwana!<br />

Hahaha!<br />

Hiki kinaitwa kibubu. Inawezekana<br />

kili’batizwa’ jina hilo kwakuwa ‘hakisemi’,<br />

yaani hakionyeshi kilichomo<br />

ndani yake! Kibubu ni benki kiaina!<br />

Kinunue au kichongeshe uwe nacho<br />

nyumbani, ‘tupia’ humo fedha ndogondogo<br />

kila siku, jiti, bati, jero, buku<br />

na hata msimbazi kadri unavyozisaka.<br />

Baada ya mwaka au muda fulani uliojipangia,<br />

kivunje na utaona maajabu!<br />

Watu wamenunua mashamba kwa<br />

vibubu!

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!