21.06.2013 Views

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

30, tukachanga pesa ikafikia Sh<br />

105,000 na kila mmoja akanunua<br />

hisa kwa kadri awezavyo kwani<br />

aliyenunua hisa nyingi alikuwa<br />

na uwezo wa kukopa pesa nyingi<br />

pia.<br />

Wanasema ng’ombe wa maskini<br />

hazai na hata akizaa huzaa<br />

dume! Hawa nao baadaye<br />

walisepa na pesa za wanachama<br />

na hadi leo kesi iko mahakamani.<br />

Hapa napo nilikula hasara ya Sh<br />

52,000 hivi. Sikuchoka!<br />

Baadaye ilianzishwa SACCOS<br />

inaitwa Belita nikalipa kiingilio na michango<br />

nikawa mwanachama. Nilianza na mkopo wa<br />

Sh 50,000, nikaendelea kupanda na hivi majuzi<br />

nimekopa milioni nne. Narejesha bila tabu kwa<br />

kuwa nimewekeza fedha hizo katika biashara.<br />

Naishukuru mikopo maana imepanua biashara<br />

zangu, hivi sasa namiliki mkokoteni, baiskeli<br />

kumi, bajaj na nina mpango wa kuanza kujenga<br />

nyumba nyingine ya ukweli!<br />

Mkokoteni na baiskeli nakodisha, bajaj pia<br />

inakodishwa kubeba mazao na wagonjwa<br />

na nimepata tenda ya kusafirisha wanafunzi.<br />

Vyote hivi vinalipa kichizi!<br />

Mingo zote hizo zinaniwezesha kurejesha<br />

mkopo na kusomesha watoto wangu watatu<br />

na pesa ya kubadilisha<br />

mboga hainipigi chenga.<br />

Akaunti yangu ya benki<br />

nayo naendelea kuitunisha<br />

kwa faida inayobaki baada<br />

ya kutoa marejesho na<br />

matumizi.<br />

Nitaendelea kukopa,<br />

kuwekeza na kurejesha<br />

kwani mikopo ndiyo<br />

iliyonifikisha hapa. Cha<br />

muhimu ni malengo,<br />

nidhamu katika matumizi<br />

na marejesho na pia<br />

kujiwekea akiba benki.<br />

Nasema tena, NITAKOPA<br />

MPAKA KIELEWEKE!<br />

machi-aprili 2012 2012 Si Si Mchezo!<br />

5 5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!