Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP Haliuzwi - Femina HIP

feminahip.or.tz
from feminahip.or.tz More from this publisher
21.06.2013 Views

Mimi na mamsapu hatutaki utani! Tunadunduliza vijisenti vyetu taratiiibu. Wenyewe tumejiwekea malengo. Hata wewe unaweza. 2 Si Mchezo! machi-aprili 2012 Ndiyo, Bamsapu anatunza funguo, mie natunza kibubu. Mpo? Zama ndani ya toleo hili ujifunze kuhusu vikundi vya kuweka na kukopa na hata upatu! Watu wanafaidika bwana, asikwambie mtu! Si Mchezo! Huzalishwa na kusambazwa. Si Mchezo! husambazwa. Lilikozalishwa toleo hili.

Femina HIP Mhariri Majuka Ololkeri Pendo Mashulano Mwandishi Ng’orongo Nyamoni Washauri Betty Liduke Gaure Mdee Raphael Nyoni Mkurugenzi Mtendaji Dr. Minou Fuglesang Machapisho na Uzalishaji Amabilis Batamula Jiang Alipo Katuni na Usanifu BabaTau, Inc. Mpiga Chapa Jamana Printers Ltd Shughuli za Nje Constancia Mgimwa Nashivai Mollel Gloria Mkoloma Christine Bisangwa Rashid Kejo Usambazaji EAM Logistic Ltd Femina HIP na Washirika Si Mchezo! limefanyika kwa hisani kubwa ya Serikali za Sweden (Sida), Denmark (DANIDA) na Marekani kupitia USAID kama sehemu ya ufadhili wa PEPFAR kwa shirika la FHI360 mradi wa UJANA, PSI mradi wa HUSIKA pamoja na HIVOS. Toleo hili limefanyika kwa ushirikiano na JHU-CCP/TCCP na RFSU. Yaliyomo humu ndani ni jukumu la Femina HIP na hayawakilishi maoni au mitazamo ya wafadhili. Wasiliana nasi kwa: S.L.P. 2065, Dar es Salaam Simu: (22) 212 8265, 2126851/2 Fax: (22) 2110842 email: simchezo@feminahip.or.tz Si Mchezo! huchapishwa na Femina HIP. Sms: 0715 568222 YALIYOMO 4 Stori Yangu: Mikopo imenitoa 6 Mambo mapya: 8 Mambo ya Fedha: Zijue Vicoba 10 Hadithi ya Picha: Mkopo wa ngoma! 14 Je, Wajua: Kabla ya kukopa jipange 16 Tulichovuna: Tunajali Vicoba imetulia! 18 Chezasalama: Mwanamume wa ukweli... 20 Burudani: Vinapanda bei 22 Pasipo na Daktari: Minyoo bwana! 23 Huduma: Walianza kama utani 24 Katuni: Upatu unapogeuka Hupati! 27 Ukweli wa Mambo: Yanawakuta wengi 30 Ujana: Mila katika kupambana na VVU 31 Ushauri TAHARIRI Mamboz? Najua umeitikia pouwaaaa! Katika ‘kulipika’ toleo hili la 59, tuliwazukia wakazi wa Mkuranga. Ingawa tuliweka kambi wilayani, mishemishe zetu zilikuwa Kimanzichana na kwingineko vijijini. Tulikula nao stori kibao kuhusu mambo ya fedha, vikundi vya kuweka na kukopa, hususan SACCOS na VICOBA. Hatukusahau hata ule ‘mchezo’ wetu maarufu, UPATU! Nakuacha uzame ndani, nisikuharibie utamu. Kila la kheri! Pendo Tuanzie buku mbili Ndo naandika hivyo..! “Mmh! sasa umaskini baibai” machi-aprili 2012 Si Si Mchezo! 3

<strong>Femina</strong><br />

<strong>HIP</strong><br />

Mhariri<br />

Majuka Ololkeri<br />

Pendo Mashulano<br />

Mwandishi<br />

Ng’orongo Nyamoni<br />

Washauri<br />

Betty Liduke<br />

Gaure Mdee<br />

Raphael Nyoni<br />

Mkurugenzi Mtendaji<br />

Dr. Minou Fuglesang<br />

Machapisho na Uzalishaji<br />

Amabilis Batamula<br />

Jiang Alipo<br />

Katuni na Usanifu<br />

BabaTau, Inc.<br />

Mpiga Chapa<br />

Jamana Printers Ltd<br />

Shughuli za Nje<br />

Constancia Mgimwa<br />

Nashivai Mollel<br />

Gloria Mkoloma<br />

Christine Bisangwa<br />

Rashid Kejo<br />

Usambazaji<br />

EAM Logistic Ltd<br />

<strong>Femina</strong> <strong>HIP</strong> na Washirika<br />

Si Mchezo! limefanyika kwa hisani<br />

kubwa ya Serikali za Sweden (Sida),<br />

Denmark (DANIDA) na Marekani<br />

kupitia USAID kama sehemu ya<br />

ufadhili wa PEPFAR kwa shirika la<br />

FHI360 mradi wa UJANA, PSI mradi<br />

wa HUSIKA pamoja na HIVOS. Toleo<br />

hili limefanyika kwa ushirikiano na<br />

JHU-CCP/TCCP na RFSU.<br />

Yaliyomo humu ndani ni jukumu la<br />

<strong>Femina</strong> <strong>HIP</strong> na hayawakilishi maoni<br />

au mitazamo ya wafadhili.<br />

Wasiliana nasi kwa:<br />

S.L.P. 2065, Dar es Salaam<br />

Simu: (22) 212 8265, 2126851/2<br />

Fax: (22) 2110842<br />

email: simchezo@feminahip.or.tz<br />

Si Mchezo! huchapishwa na<br />

<strong>Femina</strong> <strong>HIP</strong>.<br />

Sms: 0715 568222<br />

YALIYOMO<br />

4 Stori Yangu: Mikopo imenitoa<br />

6 Mambo mapya:<br />

8 Mambo ya Fedha: Zijue Vicoba<br />

10 Hadithi ya Picha: Mkopo wa ngoma!<br />

14 Je, Wajua: Kabla ya kukopa jipange<br />

16 Tulichovuna: Tunajali Vicoba imetulia!<br />

18 Chezasalama: Mwanamume wa ukweli...<br />

20 Burudani: Vinapanda bei<br />

22 Pasipo na Daktari: Minyoo bwana!<br />

23 Huduma: Walianza kama utani<br />

24 Katuni: Upatu unapogeuka Hupati!<br />

27 Ukweli wa Mambo: Yanawakuta wengi<br />

30 Ujana: Mila katika kupambana na VVU<br />

31 Ushauri<br />

TAHARIRI<br />

Mamboz? Najua umeitikia pouwaaaa! Katika ‘kulipika’ toleo<br />

hili la 59, tuliwazukia wakazi wa Mkuranga. Ingawa tuliweka<br />

kambi wilayani, mishemishe zetu zilikuwa Kimanzichana na<br />

kwingineko vijijini. Tulikula nao stori kibao kuhusu mambo ya<br />

fedha, vikundi vya kuweka na kukopa, hususan SACCOS na<br />

VICOBA. Hatukusahau hata ule ‘mchezo’ wetu maarufu, UPATU!<br />

Nakuacha uzame ndani, nisikuharibie utamu. Kila la kheri!<br />

Pendo<br />

Tuanzie<br />

buku mbili<br />

Ndo<br />

naandika<br />

hivyo..!<br />

“Mmh! sasa<br />

umaskini<br />

baibai”<br />

machi-aprili 2012 Si Si Mchezo!<br />

3

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!