Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Baunsa noma!<br />
Mshikaji alienda kuiba kwa baunsa. Wakati J<br />
anatoka tu, ghafla akakutana nae. Baunsa<br />
akachukua vile vitu na kuvirudisha ndani<br />
halafu akamshika mkono kama ‘mwana’ vile<br />
na wakaanza kutembea. Mshikaji akajua labda<br />
anapelekwa polisi. Kufika kituo cha polisi<br />
cha kwanza wakapita, cha pili wakapita tena<br />
mmh! Mshikaji akaingiwa na hofu kufika kituo<br />
cha tatu baunsa akawa anapita tena, mshikaji<br />
akamuona afande nje akapiga kelele ‘‘afandee<br />
mimi mwiziii’’<br />
Toto nidhamu sifuri<br />
Mtoto: Baba niletee glasi ya maji!<br />
Baba:: We mtoto una kichaa nini? kachukue<br />
mwenyewe!<br />
Mtoto: Bwana niletee!<br />
Baba: Usinisumbue, ntakuja kukupiga makofi!<br />
Mtoto: Basi ukija kunipiga makofi njoo na glasi<br />
ya maji<br />
J<br />
Hajatulia!<br />
Siku moja, mama<br />
mwenye nyumba alikuwa<br />
akimuuliza msichana wake<br />
wa kazi kuhusu kuisha<br />
haraka kwa vijiti vya<br />
kuchokonoa meno.<br />
Mama:<br />
Hizi “toothpicks” mbona<br />
zimeisha haraka?<br />
Dada wa kazi:<br />
Mimi mwenyewe sijui<br />
labda uwaulize watoto<br />
wako, mimi huwa<br />
nikimaliza kutumia tu,<br />
nazirudisha kwenye kopo<br />
lake!<br />
Mama: Haaaa!!??<br />
J<br />
! ! !!<br />
Yataka moyo kuwa dokta….<br />
Mgonjwa:<br />
Dokta mimi nina tatizo la kusahau, yaani<br />
nikisema neno au ukiniambia hapo hapo<br />
nasahau kabisa.<br />
Dokta: Tatizo lako limekuanza lini?<br />
Mgonjwa: Tatizo gani tena?<br />
Dokta: ???**$!!!<br />
J<br />
machi-aprili 2012 Si Mchezo!<br />
21