21.06.2013 Views

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Baunsa noma!<br />

Mshikaji alienda kuiba kwa baunsa. Wakati J<br />

anatoka tu, ghafla akakutana nae. Baunsa<br />

akachukua vile vitu na kuvirudisha ndani<br />

halafu akamshika mkono kama ‘mwana’ vile<br />

na wakaanza kutembea. Mshikaji akajua labda<br />

anapelekwa polisi. Kufika kituo cha polisi<br />

cha kwanza wakapita, cha pili wakapita tena<br />

mmh! Mshikaji akaingiwa na hofu kufika kituo<br />

cha tatu baunsa akawa anapita tena, mshikaji<br />

akamuona afande nje akapiga kelele ‘‘afandee<br />

mimi mwiziii’’<br />

Toto nidhamu sifuri<br />

Mtoto: Baba niletee glasi ya maji!<br />

Baba:: We mtoto una kichaa nini? kachukue<br />

mwenyewe!<br />

Mtoto: Bwana niletee!<br />

Baba: Usinisumbue, ntakuja kukupiga makofi!<br />

Mtoto: Basi ukija kunipiga makofi njoo na glasi<br />

ya maji<br />

J<br />

Hajatulia!<br />

Siku moja, mama<br />

mwenye nyumba alikuwa<br />

akimuuliza msichana wake<br />

wa kazi kuhusu kuisha<br />

haraka kwa vijiti vya<br />

kuchokonoa meno.<br />

Mama:<br />

Hizi “toothpicks” mbona<br />

zimeisha haraka?<br />

Dada wa kazi:<br />

Mimi mwenyewe sijui<br />

labda uwaulize watoto<br />

wako, mimi huwa<br />

nikimaliza kutumia tu,<br />

nazirudisha kwenye kopo<br />

lake!<br />

Mama: Haaaa!!??<br />

J<br />

! ! !!<br />

Yataka moyo kuwa dokta….<br />

Mgonjwa:<br />

Dokta mimi nina tatizo la kusahau, yaani<br />

nikisema neno au ukiniambia hapo hapo<br />

nasahau kabisa.<br />

Dokta: Tatizo lako limekuanza lini?<br />

Mgonjwa: Tatizo gani tena?<br />

Dokta: ???**$!!!<br />

J<br />

machi-aprili 2012 Si Mchezo!<br />

21

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!