You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Faida za kutumia njia<br />
za uzazi wa mpango<br />
Kupanga uzazi kuna faida<br />
nyingi kwa mama, baba, watoto<br />
na familia kwa ujumla<br />
Kwa mama:<br />
n Itamsaidia kurejesha afya<br />
baada ya kujifungua<br />
n Inampa nafasi ya kutosha<br />
ya kuonyesha mapenzi kwa<br />
watoto na kwa mumewe<br />
n Inampa mama nafasi ya<br />
kuhudumia familia na<br />
kufanya shughuli za maendeleo<br />
Kwa watoto:<br />
t Mama mwenye<br />
afya huzaa watoto<br />
wenye afya<br />
t Watapata mapenzi<br />
na huduma<br />
ya wazazi kwa<br />
ukamilifu<br />
Kwa baba:<br />
n Anapunguza mzigo wa jukumu<br />
la kuihudumia familia<br />
n Inamsaidia kumudu mahitaji<br />
ya familia (elimu, chakula,<br />
malazi na mengineyo)<br />
n Inampa nafasi ya kutosha<br />
ya kuonyesha mapenzi kwa<br />
watoto na kwa mkewe<br />
n Anapata muda wa kuhudumia<br />
familia na kufanya<br />
shughuli za maendeleo<br />
Chukua hatua!<br />
n Panga pamoja na mpenzi wako,<br />
amueni lini mnataka kuzaa, watoto<br />
wangapi na wapishane kwa umri<br />
gani<br />
n Kwa ushauri wa mtaalam, kubalianeni<br />
njia ya uzazi wa mpango<br />
ambayo inawafaa.<br />
Ni haki na wajibu wa mwanamume<br />
kushiriki katika<br />
kupanga uzazi. Familia bora<br />
hujengwa na mwanamume<br />
na mwanamke pamoja<br />
machi-aprili 2012 Si Mchezo!<br />
19