21.06.2013 Views

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Faida za kutumia njia<br />

za uzazi wa mpango<br />

Kupanga uzazi kuna faida<br />

nyingi kwa mama, baba, watoto<br />

na familia kwa ujumla<br />

Kwa mama:<br />

n Itamsaidia kurejesha afya<br />

baada ya kujifungua<br />

n Inampa nafasi ya kutosha<br />

ya kuonyesha mapenzi kwa<br />

watoto na kwa mumewe<br />

n Inampa mama nafasi ya<br />

kuhudumia familia na<br />

kufanya shughuli za maendeleo<br />

Kwa watoto:<br />

t Mama mwenye<br />

afya huzaa watoto<br />

wenye afya<br />

t Watapata mapenzi<br />

na huduma<br />

ya wazazi kwa<br />

ukamilifu<br />

Kwa baba:<br />

n Anapunguza mzigo wa jukumu<br />

la kuihudumia familia<br />

n Inamsaidia kumudu mahitaji<br />

ya familia (elimu, chakula,<br />

malazi na mengineyo)<br />

n Inampa nafasi ya kutosha<br />

ya kuonyesha mapenzi kwa<br />

watoto na kwa mkewe<br />

n Anapata muda wa kuhudumia<br />

familia na kufanya<br />

shughuli za maendeleo<br />

Chukua hatua!<br />

n Panga pamoja na mpenzi wako,<br />

amueni lini mnataka kuzaa, watoto<br />

wangapi na wapishane kwa umri<br />

gani<br />

n Kwa ushauri wa mtaalam, kubalianeni<br />

njia ya uzazi wa mpango<br />

ambayo inawafaa.<br />

Ni haki na wajibu wa mwanamume<br />

kushiriki katika<br />

kupanga uzazi. Familia bora<br />

hujengwa na mwanamume<br />

na mwanamke pamoja<br />

machi-aprili 2012 Si Mchezo!<br />

19

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!