Haliuzwi - Femina HIP

Haliuzwi - Femina HIP Haliuzwi - Femina HIP

feminahip.or.tz
from feminahip.or.tz More from this publisher
21.06.2013 Views

HADITHI YA PICHA 10 ‘MKOPO WA NGOMA!’ Mama Mwajei amejaliwa mtoto mmoja tu, hivyo anamlea kama mboni ya jicho! Siku ya siku imewadia, Mwajei kavunja ungo. Ndiyo! Kawa mkubwa sasa. Kawekwa ndani mwezi, sasa ni wakati wa kumtoa, wenyewe wanasema ‘kumkogesha maji’. Amepania kumfanyia bonge la sherehe, tatizo mshiko. Anafanyaje? Nini kinatokea? Fuatilia…. Imeigizwa na Kimanzichana Vijana Troupe” Duh! Namie mwezi ujao nakamata kitita Sema usemavyo lakini hapa ngoma itachezeka na pombe zitanyweka mpaka kieleweke Si Mchezo! machi-aprili 2012 Hongera sana. Laki tano hiyo, hesabu Asante sana Naona hukataziki, sasa mie simo na utakuja kujuta Mama Mwajei ndo keshaamua, kila mtu anamshangaa Ama kweli tamaa mbele mauti nyuma! Si pale Kibisa Saccos mume wangu? Mikopo nje nje… Una akili sana waifu, kachukue tufanye biashara Mungu anipe nini mimi! Shughuli ya Mwajuma itaacha historia Alhamis mwamu, Ijumaa mbiga, Jmosi mkole, usiku wake rusharoho, Jpili mwali anatoka. Upo? Haya jirani, asante kwa mwaliko, tuko pamoja

Shost, mie nikipata tu mkopo namtoa mwanangu. Mzee nshamweka sawa Niliyopewa haitoshi kwa biashara. Mie naona tuitumie kumtoa mwajuma Chonde chonde! Itakutokea puani hiyo! Tena mie simo kabisaaa! He! Mumeo kakubali? Yaani mkopo umcheze mtoto? Maspika fanya manne kama hili. Sitaki muziki wa kitoto Usitie shaka, hapa umefika Hajakubali shost, nimemwongopea wa biashara Mmh! Hii akili au matope? Umcheze mtoto kwa mkopo? Utaulipaje? Ulisema ya biashara, leo unaniambia ya ngoma! Sitaki kusikia Mimi ndo niliyesaini na mimi ndo nitadaiwa na ndo nshaamua Ndo ushakuwa mkubwa, nakupatia ushanga mweupe na mwekundu, nitakueleza kazi zake… machi-aprili 2012 Si Mchezo! 11

HADITHI YA PICHA<br />

10<br />

‘MKOPO WA NGOMA!’<br />

Mama Mwajei amejaliwa mtoto mmoja<br />

tu, hivyo anamlea kama mboni<br />

ya jicho! Siku ya siku imewadia,<br />

Mwajei kavunja ungo. Ndiyo! Kawa mkubwa<br />

sasa. Kawekwa ndani mwezi, sasa ni wakati wa<br />

kumtoa, wenyewe wanasema ‘kumkogesha maji’.<br />

Amepania kumfanyia bonge la sherehe, tatizo<br />

mshiko. Anafanyaje? Nini kinatokea? Fuatilia….<br />

Imeigizwa na Kimanzichana Vijana Troupe”<br />

Duh! Namie mwezi<br />

ujao nakamata kitita<br />

Sema usemavyo<br />

lakini hapa ngoma<br />

itachezeka na<br />

pombe zitanyweka<br />

mpaka kieleweke<br />

Si Mchezo! machi-aprili 2012<br />

Hongera sana.<br />

Laki tano hiyo,<br />

hesabu<br />

Asante sana<br />

Naona hukataziki,<br />

sasa mie simo na<br />

utakuja kujuta<br />

Mama Mwajei ndo<br />

keshaamua, kila mtu<br />

anamshangaa<br />

Ama kweli<br />

tamaa mbele<br />

mauti nyuma!<br />

Si pale Kibisa Saccos mume<br />

wangu? Mikopo nje nje…<br />

Una akili sana<br />

waifu, kachukue<br />

tufanye biashara<br />

Mungu anipe<br />

nini mimi!<br />

Shughuli ya<br />

Mwajuma<br />

itaacha<br />

historia<br />

Alhamis mwamu, Ijumaa mbiga,<br />

Jmosi mkole, usiku wake rusharoho,<br />

Jpili mwali anatoka. Upo?<br />

Haya jirani, asante kwa<br />

mwaliko, tuko pamoja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!