MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
1SeheMu ya KWanza: UMUHIMU WA KUZUIA NA KINgA ZA MAgoNjWA vi Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga
• Hupunguza athari za kiuchumi zitokanazo na maambukizi. • Hulinda afya za kuku ambao hawajaambukizwa. • Hupunguza kuenea kwa maambukizi kutoka kuku wagonjwa kwenda kuku wasio wagonjwa. • Huwakinga wanadamu wasipate maambukizi kutoka kwa kuku wagonjwa. • Huzalisha kuku na bidhaa zenye ubora wa juu ambazo hupata bei nzuri sokoni. Vifaranga wenye afya wa kuku wa kienyeji. Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga 1
- Page 1 and 2: Magonjwa Makuu ya kuku, Tiba na kin
- Page 3 and 4: YALIYoMo DIbAjI iii SHUKrANI iv UTA
- Page 5 and 6: DIbAjI Ndege wafugwao wana nafasi k
- Page 7: UTANgULIZI Sekta ya ufugaji wa ndeg
- Page 11 and 12: Taratibu za Kuzuia Kuenea kwa Magon
- Page 13 and 14: Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadil
- Page 15 and 16: Maelezo: Bakteria ni vimelea ambavy
- Page 17 and 18: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 19 and 20: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 21 and 22: Kuku wakubwa • Kuku wakubwa huony
- Page 23 and 24: Dalili Kuku wanaweza wasionyeshe da
- Page 25 and 26: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 27 and 28: Dalili Ugonjwa huu hushambulia zaid
- Page 29 and 30: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 31 and 32: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 33 and 34: Maelezo Virusi ni vimelea ambavyo h
- Page 35 and 36: Madoa makubwa ya damu kwenye firigi
- Page 37 and 38: Dalili • Chukua Tahadhari: Wageni
- Page 39 and 40: Kuku wenye mboni ya kijivu Kupooza
- Page 41 and 42: 3.2.4 NDUI YA KUKU (foWL Pox) Maele
- Page 43 and 44: Dalili • Tumbo kuvimba • Kuku k
- Page 45 and 46: Uchunguzi wa Mzoga • Uharo wenye
- Page 47 and 48: jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili •
- Page 49 and 50: Maelezo Protozo ni vimelea vyenye c
- Page 51 and 52: 3.3.2 HISToMoNASI (HISToMoNIASIS) M
- Page 53 and 54: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 55 and 56: Maelezo Minyoo huishi katika njia y
- Page 57 and 58: Tiba Dawa za Minyoo - kuwekwa kweny
• Hupunguza athari za kiuchumi zitokanazo na maambukizi.<br />
• Hulinda afya za kuku ambao hawajaambukizwa.<br />
• Hupunguza kuenea kwa maambukizi kutoka kuku wagonjwa kwenda kuku wasio wagonjwa.<br />
• Huwakinga wanadamu wasipate maambukizi kutoka kwa kuku wagonjwa.<br />
• Huzalisha kuku na bidhaa zenye ubora wa juu ambazo hupata bei nzuri sokoni.<br />
Vifaranga wenye afya wa kuku wa kienyeji.<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
1