28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ProgrAMU <strong>YA</strong> KUeNDeLeZA MATUMIZI <strong>YA</strong> MAToKeo <strong>YA</strong> TAfITI<br />

(reSeArcH INTo USe)<br />

Ni programu ya utafiti na maendeleo inayofadhiliwa na Idara ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID) ya<br />

Serikali ya Uingereza. Programu ilibuniwa ili kufanya tafiti za kilimo zitumike kwa ajili ya maendeleo,<br />

na kufanya utafiti wa jinsi gani inawezekana kufanya hivyo.<br />

Lengo kuu la programu hii nchini Tanzania lilikuwa kutafuta njia mbadala na kuwezesha kukuza uwezo<br />

wa wananchi kubuni na kuongeza matumizi ya tafiti, maarifa na teknolojia mpya katika kujenga<br />

biashara za kilimo zenye faida. Msisitizo mkubwa wa kazi ya Programu ya RIU Tanzania ulijikita kwenye<br />

kuendeleza na kuufanya ufugaji wa kuku wa kienyeji kuwa wa kibiashara, kwa kuwezesha na kuwekeza<br />

katika shughuli mbalimbali ili kutatua matatizo ya kimfumo yanayokwamisha kukua kwa sekta ya<br />

ufugaji wa kuku hasa kwa wakulima wadogo wadogo.<br />

68 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

Programu ya Kuendeleza Matumizi ya Matokeo ya Utafiti<br />

(<strong>Research</strong> <strong>Into</strong> <strong>Use</strong> – RIU Tanzania)<br />

MUVEK Development Solutions<br />

S.L.P 10527, Dar es Salaam, Tanzania<br />

Simu: +255 22 2700667/671, Faksi: +255 22 2700656<br />

Baruapepe: admin@muvek.co.tz<br />

© 2012

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!