MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kuzuia na Kinga<br />
• Maranda yenye ukungu yaondolewe na kuchomwa moto.<br />
• Kuku walioathirika wachinjwe, mabanda yasafishwe, maranda mapya yaingizwe kwenye mabanda.<br />
Hakikisha maranda ni makavu.<br />
• Mizoga ya kuku wagonjwa ichomwe moto<br />
• Mabanda yapuliziwe dawa yenye Kopa salfeti<br />
• Vyombo visafishwe na kuwekwa dawa<br />
• Katika maeneo yenye fukuto, Sodiam propionate ichanganywe na chakula kuzuia Fangasi wasiote. Pata<br />
ushauri wa daktari.<br />
60 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga