28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Tiba<br />

• Tumia Madini stahiki kulingana na tatizo.<br />

• Pata ushauri wa daktari.<br />

Kuzuia na Kinga<br />

• Changanya Madini kwenye chakula na maji ya kuku.<br />

• Chakula cha kuku kijumuishe virutubisho vyenye asili ya wanyama ambavyo ni chanzo kizuri cha Madini<br />

3.6.3 UPUNgUfU WA ProTINI (ProTeIN DefIcIeNcIeS)<br />

Maelezo<br />

Upungufu wa Protini ni uhaba wa Protini mbalimbali katika mwili wa kuku/ndege kutokana na kukosekana kwa<br />

Protini hizo katika vyakula na hivyo kusababisha dalili za ugonjwa katika kuku. Ukosefu huathiri aina zote za<br />

ndege na umri.<br />

Dalili<br />

• Manyoya ya kuku/ndege hutimka<br />

• Kuku wanatafunana na kudonoana<br />

• Miguu kupooza na kukosa nguvu<br />

• Vifo ni vichache<br />

Tiba<br />

• Tumia Protini (Amino Acid) stahiki kulingana na tatizo.<br />

• Pata ushauri wa daktari.<br />

Kuzuia na Kinga<br />

Changanya Proteni yenye ubora wa juu kwenye chakula cha kuku.<br />

Chakula cha kuku kijumuishe virutubisho vyenye asili ya wanyama ambavyo ni chanzo kizuri cha Proteni<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

57

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!