MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Tiba<br />
• Tumia Vitamini stahiki.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Hakikisha unawapatia kuku majani mabichi kila mara.<br />
• Changanya Vitamini kwenye chakula na maji ya kuku.<br />
• Chakula cha kuku kijumuishe virutubisho vyenye asili ya wanyama ambavyo ni chanzo kizuri cha Vitamini<br />
3.6.2 UPUNgUfU WA MADINI (MINerAL DefIcIeNcIeS)<br />
Maelezo<br />
Upungufu wa Madini ni uhaba wa Madini mbalimbali katika mwili wa kuku/ndege kutokana na kukosekana kwa<br />
Madini hayo katika vyakula na hivyo kusababisha dalili tofauti za ukosefu katika kuku. Ukosefu huathiri aina zote<br />
za ndege na umri.<br />
Dalili<br />
• Mifupa na mdomo kupinda<br />
• Kuku wanakuwa na tabia ya kula vitu ovyo<br />
• Kuku wanakula kinyesi<br />
• Kuku wanatafunana na kudonoana<br />
• Miguu kupooza<br />
• Viungio vya mwili kuvimba<br />
• Kuku wanakuwa na uvimbe wa jumla katika mwili<br />
• Vifo ni vichache<br />
56 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga