MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Maelezo<br />
Magonjwa yatokanayo na upungufu wa lishe yanasababishwa na vyakula vya kuku kukosa virutubisho muhimu<br />
kama vile Proteini, Wanga, Vitamini na Madini; au husababishwa na mfumo wa fiziolojia kutokufanya kazi vizuri<br />
katika mwili wa kuku. Magonjwa ya kawaida ya upungufu wa lishe kwenye kuku yanatokana na upungufu wa<br />
Vitamini, Protini au Madini.<br />
3.6.1 UPUNgUfU WA vITAMINI (AvITAMINoSIS)<br />
Maelezo<br />
Upungufu wa Vitamini ni uhaba wa Vitamini mbalimbali katika mwili wa kuku au ndege kutokana na kukosekana<br />
kwa Vitamini hizo katika vyakula, hivyo kusababisha dalili za ukosefu katika kuku. Ukosefu huathiri aina zote za<br />
ndege na umri.<br />
Dalili<br />
• Ukungu kwenye macho<br />
• Kuku hawakui vizuri, wanadumaa<br />
• Vifaranga wadogo kuharisha<br />
• Kuku kukonda<br />
• Vidole vya kuku vinapinda na kuku kushindwa kutembea<br />
• Ngozi kuathirika<br />
• Ulimi kuvimba<br />
• Magamba madogo kuzunguka mdomo na macho<br />
• Miguu kupooza<br />
• Vifo ni vichache<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
55